Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 277
- 786
Tanzania ni nchi ambayo tuna lugha 2 rasmi za kiserikali zinazotutambulisha
Je katika mazungumzo na watu wa Rika mbalimbali ni kauli ipi mtu akikwambia unaona ina heshima au inaonyesha dharau kwako
1. Kati ya Samahani na Sorry
Pale mtu anapokukosea
2. Good morning na Habari za asubuhi
Akiwa anakusalimu
3. Excuse me na tafadhali
Pale mtu anapotaka kukuomba jambo
4. Hey na Habari
Na nyinginezo
Je katika mazungumzo na watu wa Rika mbalimbali ni kauli ipi mtu akikwambia unaona ina heshima au inaonyesha dharau kwako
1. Kati ya Samahani na Sorry
Pale mtu anapokukosea
2. Good morning na Habari za asubuhi
Akiwa anakusalimu
3. Excuse me na tafadhali
Pale mtu anapotaka kukuomba jambo
4. Hey na Habari
Na nyinginezo