Post ya Harmonize kuweka rekodi Instagram bongo

Dec 27, 2020
43
70
Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram.

Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.

Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.

Screenshot_20210101-142318.png
 
Post ya harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa instagram.

Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.

Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.
Mbona anamwandiko mbaya hivi

Kaandika Kama anakimbizwa
 
Unafiki mtupu he has pointed no regrets or any wrong doing, he is too damn shit fake, hiking his visibility through Diamond isnt gona change his graph. He is far far lower class to Diamond. Diamond kindly relax on this shit, Kondemavi has been too short-lived on his sarcasm. No need for soonest reply, let's simply reply "Your Most Kind", Thank you.
Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram.

Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.

Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.

View attachment 1664708
 
Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram.

Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.

Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.

View attachment 1664708

Mange mbona alikuwa anagonga views hadi laki 5 Mkuu?
 
Back
Top Bottom