Universal-soldier
Member
- Dec 27, 2020
- 43
- 70
Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram.
Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.
Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.
Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.
Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.