sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Jipya limeibuka wamarekan kulalamika account zao za instagram kufollow account ya Biden bila ruhusa yao.
Kwa tafiti zilizofanywa ni kwamba ilikuwa ni aibu kwa Biden kuwa na followers chini ya milioni 1 hivyo uamuzi wa haraka ilibidi ufanyike kuhakikisha kwa namna yoyote ile Biden inabidi apate followers wengi ambapo kwa sasa kapiga hatua kutoka followers milioni 1 hadi milioni 18
Jambo hili halijaishia hapa tu, watu waki unfollow au kublock page ya instagram ya Biden, Basi ni baada ya masaa machache tu hulazimishwa kui follow upya kitu ambacho ni cha ajabu sana maana page zingine uki unfollow au ku block huwa hazionekani.