injili

  1. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

    KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI? Na Thadei Ole Mushi. Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya. 1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini. 2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu. 4. Wengine...
  2. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Mkutano mkubwa injili kutoka kwa Mhubiri Maarufu wa Kenya Nabii Ezekiel Odero uliokuwa ukiendelea wapigwa stop na Serikali

    Mkutano mkubwa wa Injili uliokuwa ukiendelea katika viwanja vya shule ya msingi Ngarenaro jijini Arusha na Mhubiri maarufu toka Kenya Nabii Ezekiel Odero umepigwa marufuku na serikali mchana huu. Wakiwa katikati ya mahubiri ghafla ilitangazwa kuwa ni marufuku kuendelea na maombi hayo jambo...
  3. Dr Restart

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Injili: Nyimbo za Papii Clever, Dorcas pamoja na Merci Pianist zinanibariki sana

    Amani iwe juu yenu wana wa Mungu. Nina miezi kama mitatu sasa, nyimbo za wahusika zimekuwa zikijirudia katika orodha ya nyimbo ninazosikiliza mara nyingi. Papi Clever na Dorcas ni wanandoa, Merci Pianist ni mtaalam wa kupiga kinanda kwa kiwango kikubwa sana. Mimi ni muumini wa nyimbo za...
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu Manzi kila nikikutana naye Guest ananiwekea Nyimbo za kwaya na Injili. Nimechoka sasa!

    Hii sijui niiteje au Ndio Wokovu unanifata fata kila niendako. Je nikubali mwito wa wokovu au nikaze fuvu? Huyu manzi mama nilivyosema nikifika naye tu ndani kwa ajili ya mnyanduano basi utasikia ameweka kwenye simu yake nyimbo za Injili mara kwaya. Na mimi najifanya kama sisikiii naendelea...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi Wachungaji kututafsiria Injili Wakati sisi Wenyewe tunajua Kusoma na Kuelewa?

    Imekuwa ni kawaida Wachungaji kutafsiri Neno la Mungu ( Injili) Wakati wa mahuburi Lakini Biblia imeandikwa kwa Lugha inayoeleweka Mfano Yesu baada ya kutembezwa umbali mrefu na baadaye kusulubiwa msalabani alisema " naona Kiu" Sasa hii kauli ya " naona Kiu" imekuwa na tafsiri nyingi sana...
  6. J

    JamiiForums Tanzania James Mbowe amvaa Askofu Gwajima kuchanganya mikutano ya injili na siasa za Rais Samia

    Kada maarufu wa CHADEMA, James Mbowe ameandika kuhusiana na utaratibu ulionzishwa na Askofu Josephat Gwajima kuendesha mikutano ya Injili huku akitumia kufanya kampeni za siasa. === "Bishop Gwajima nisikilize kwa makini huenda umezungukwa na watu ambao hawakuambii ukweli! Lakini huu usanii...
  7. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Mtoto Antoni yupo na kipaji kikubwa Cha uimbaji wa muziki wa Injili.

    Huyu kijana Yohana Antony is blessing kid Katika uimbaji wa Injili Let's we support Good music from our Mother Land , praise and worship
  8. sanalii

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kisabato ndio wanaoiishi Injili

    Kama mmeamua kuifata injili ifatwe inavyotaka, kuipinga injili ni uovu 1 Timotheo 2 :9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani. Nenda makanisa mengine ukute...
  9. Championship

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

    Vigezo vilivyotumika: 1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu 2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo 3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika 4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi. Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kusikiliza nyimbo za injili(dini) wakati 'mnangonoka' kwa wanandoa na 'mnazini' kwa wasiooana ni jambo jema?

    Tena kuna wakati unasikia kabisa mtu anakandamizwa(anangonolewa) vilivyo na sauti ya kuulilia mkurudungu wa aliye kifuani kwake ukiisikia dirishani, ila hapo hapo tena unasikia playlists za gospel songs tupu zinaimba. Kwa mnaojua mna imani hii ni sawa?
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Koffi Olumide inasemekana ameamua kuimba nyimbo za Injili

    Baada ya kuupokea uwokovu wa Bwana moyoni mwake, nguli huyu inasemekana ameamua kuutumikia muda wake uliobaki duniani kuliimba jina la Bwana na kusifu utukufu wake.
  12. aka2030

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kuhubiri injili kwenye magari ya abiria ni kero kubwa, LATRA muingilie kati

    Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno la Bwana bila kujua watu waliopo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka. Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
  13. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Mume wa aliyekuwa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nigeria, amekanusha mashtaka ya mauaji ya mkewe

    Peter Nwachukwu,aliyekuwa Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili wa Nigeria aliyefariki mwezi Aprili mjini Abuja amekana mashtaka yote yanayohusiana na kifo chake na madai ya unyanyasaji katika ndoa yao Kifo cha Osinachi Nwachukwu kilizua ghadhabu baada ya familia yake kudai kuwa alikuwa...
  14. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Nigeria (Osinachi Nwachukwu) akamatwa

    Polisi wamemkamata mume wa mwimbaji nyota wa nyimbo za Injili nchini Nigeria, Osinachi Nwachukwu, baada ya kufariki siku ya Ijumaa Aprili 8, 2022 katika hospitali ya Abuja. Ripoti za awali zilisema kuwa msanii huyo mwenye umri wa miaka 42 alikuwa akiugua saratani ya koo, lakini familia yake...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Muimba injili Pinela Justine akiwa amepozi! Hawa ndio waimba injili wetu

  16. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

    Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake “Ekwueme” amefariki dunia. Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo, amefikwa na mauti jioni ya Aprili 8, 2022, hii baada ya kupambana na ugonjwa usiojulikana kwa takriban...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima afanya mkutano wa Injili Kongwa, wengi wahudhuria mapepo yalipuka

    Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe jana alifanya mkutano mkubwa katika jimbo la Spika mstaafu mzee Ndugai katika kata ya Kibaigwa. Maelfu ya wana Kongwa walihudhuria na kupokea uponyaji ikiwemo kutolewa majini na mashetani pia. Mungu wa mbinguni awabariki sana!
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi mkoani Mbeya laandaa kongamano la injili litakaloongozwa na Mwl. Christopher Mwakasege

  19. The druid

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ombi la nyimbo za cosmas chidumule za injili

    Yeyote mwenye nyimbo original za cosmas chidumule za "libarikiwe neno hili" na "ya nini mizigo hiyo" naomba anisaidie whatsapp no 0717297545 Kwa upendo wa kristo.
  20. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Huu utakuwa mkutano wa injili maarufu kuliko yote Tanzania

    Is it a coincidence? Programmed by the Heavens or it was planned? Kama ilikuwa planned basi jamaa alie plan atakuwa genius wa PR, Alastair arudi shule akasome. Wameweka matangazo Dar nzima sasa hivi watanzania kwenye social networks wanafanya free publicity bila kujua kama wanasaidia...
Back
Top Bottom