Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Nesi mkunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2022
701
1,849
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
 
Wewe ndo umelitafakari kidini!

Mhimu ni;

Kinakachowapeleka hapo wazungumzaji na jambo linalowakusanya, siyo jambo la kisiasa

Ni jambo la utata na hatima ya nchi yetu

Na si kweli kwamba wazungumzaji hao ni wanachadema wote

Wengine ni mabalozi serikali ya ccm na ambao hata leo wana kadi za ccm

Na isitoshe, Bandari zetu siyo za Chadema wala chama chako ni za Tanganyika

Hivyo, unapaswa hata wewe kuwaunga mkono wananchi hao wenye kada zote nchini
 
Hatuwezi kuwasubiri mashekhe wamaoshindwa kuyaona makosa ya Samia kwasabb ya uislam wake.

Ukombozi unaanza na mtu mmoja ama kundi moja. Mtu huyo ama kundi yaweza kuwa waislam ama wakristo

Zingatia hoja na madhumuni ya mkusanyiko siyo aina ya watu waliokusanyika
 
Unasema wale wameleta Udini kwenye Mjadala wa Bandari wewe unaleta Siasa....

In short nyote ni walewale tu.

Binafsi kama mdau / stakeholder wa Bandari kwa tiketi ya Utanzania wangu sijali hata kama anayesema ni Shetani.

Bora Shetani anayetetea / pambania mali za UMMA kuliko so called Malaika anayefisha kinachoendelea kuhusu Mali za UMMA (eti mtuamini)
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Huu ndio ukweli.
 
Kuna msemaji wa Imani ya kihindu, muslimu au Pagani ambae amejitolea kulisemea swala la bandari ktk mkutano huo na wa andaaji wamemnyima nafasi kutokana na dini yake??. Àcheni akili za kufarakanisha jamii yetu Kwa kushindwa kujibu hoja za msingi ktk mkataba.
Chama cha kidini.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
umehongwa
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!

KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Wajanja tulishajua kitambo kuwa hii ni vita ya Kidini na CHADEMA kwa kuwa uwanzishwaji wake ulikuwa na mrengo huo ili ku counter attack CUF kipindi hicho na waka take advantage. Wewe umeona wapi Ma askofu wachungaji na viongozi wengine wa kikristu wakawa ghafla wameguswa na issue ya Bandari ilihali hatukuwasikia hapo kabla kwenye issue nyingine za ki inchi. Ina maana tangu Uhuru hii ndo jambo kubwa zaidi?
 
Back
Top Bottom