Kada maarufu wa CHADEMA, James Mbowe ameandika kuhusiana na utaratibu ulionzishwa na Askofu Josephat Gwajima kuendesha mikutano ya Injili huku akitumia kufanya kampeni za siasa.
===
"Bishop Gwajima nisikilize kwa makini huenda umezungukwa na watu ambao hawakuambii ukweli! Lakini huu usanii wako unaofanya kupitia jina la Yesu acha mara moja hii tabia.
"Hivi kwanza nikuulize wewe ni mbunge naamini unajua Protocal hivi unavyomtaja Mama samia, Mbunge wa Makambako, Kisha Mwisho unamtaja Yesu Hivi nikuulize kati ya Yesu na Rais Samia nani anatakiwa kutajwa wa kwanza?
"Pili unaenda kwenye Mikutano ya Injili unapeperusha Bendera ya CCM na Bendera ya Bunge je Hiyo mikutano yako imedhaminiwa na CCM na Bunge? Je tuamini ni Ushamba wako au washauri wako wanakupoteza?
"Haya unayofanya nakwambia wazi ni chukizo mbele za Mungu ni vyema ukatubu na uache mara moja mambo yako ya kumtaja Yesu kwrnye Mikutano yako yenye ajenda za Kisiasa, Mungu ni Mungu mwenye Wivu hashirikiani utukufu wake na kiumbe awaye yote, Acha kabisa kumtaja Rais Samia kwenye mikutano yako hatutaki umchonganishe Rais wetu na Mungu.
"Awamu ya Sita mlimsifia Magufuli mkafika mahali pa kukufuru Mungu mkaanza kumuita Magufuli Mh Mungu,
"Yawezekana Rais hajaona unachofanya ingawa unatafuta Sifa lakini nakuhakikishia hizi siyo Sifa ni Kufuru kwa Mungu.
"Mimi nimekueleza wazi kwasababu nakupenda ningeweza kunyamaza kama wengine walivyoamua kunyamaza. Lakini sipo tayari kuona Jina la Yesu linatumika ndivyo sivyo nikanyamaza.
"Asomaye na afahamu."
===
"Bishop Gwajima nisikilize kwa makini huenda umezungukwa na watu ambao hawakuambii ukweli! Lakini huu usanii wako unaofanya kupitia jina la Yesu acha mara moja hii tabia.
"Hivi kwanza nikuulize wewe ni mbunge naamini unajua Protocal hivi unavyomtaja Mama samia, Mbunge wa Makambako, Kisha Mwisho unamtaja Yesu Hivi nikuulize kati ya Yesu na Rais Samia nani anatakiwa kutajwa wa kwanza?
"Pili unaenda kwenye Mikutano ya Injili unapeperusha Bendera ya CCM na Bendera ya Bunge je Hiyo mikutano yako imedhaminiwa na CCM na Bunge? Je tuamini ni Ushamba wako au washauri wako wanakupoteza?
"Haya unayofanya nakwambia wazi ni chukizo mbele za Mungu ni vyema ukatubu na uache mara moja mambo yako ya kumtaja Yesu kwrnye Mikutano yako yenye ajenda za Kisiasa, Mungu ni Mungu mwenye Wivu hashirikiani utukufu wake na kiumbe awaye yote, Acha kabisa kumtaja Rais Samia kwenye mikutano yako hatutaki umchonganishe Rais wetu na Mungu.
"Awamu ya Sita mlimsifia Magufuli mkafika mahali pa kukufuru Mungu mkaanza kumuita Magufuli Mh Mungu,
"Yawezekana Rais hajaona unachofanya ingawa unatafuta Sifa lakini nakuhakikishia hizi siyo Sifa ni Kufuru kwa Mungu.
"Mimi nimekueleza wazi kwasababu nakupenda ningeweza kunyamaza kama wengine walivyoamua kunyamaza. Lakini sipo tayari kuona Jina la Yesu linatumika ndivyo sivyo nikanyamaza.
"Asomaye na afahamu."