injili

  1. I

    Baada ya hayati Magufuli kufariki 'mikutano ya injili' imeanza

    moja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana. mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea...
  2. D

    Hatimaye Aggrey Mwanri awa Mchungaji rasmi. Sasa ukisikia soma hiyoo! Ujue ni somo la Injili

    Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache. Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao. Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta. Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.
  3. S

    Kipindi hiki cha maombolezo sisi wapendwa tunafaidi sana nyimbo za injili maeneo ya starehe

    Yaani ni mwendo wa nyimbo za injili tuuu... upako kila sehemu. Bar zimegeuka platforms za nyimbo za injili ... safiii
  4. E

    Magufuli amehubiri injili kama wakina Petro na Yohana

    Ni mwanadamu wa kwanza duniani kuutangazia ulimwengu kipindi cha shida kwamba Mungu yupo na anaponya baada ya akina Petro na Yohana. Ni mwanadamu wa kwanza duniani kutamka Mungu oyeeeee bila kuogopa alimtangaza Mungu hadharani.
  5. J

    Askofu Malasusa: Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi wa kipekee, hata Yesu alihubiri Injili kwa miaka mitatu tu!

    Askofu Malasusa wa DMP amesema kinachoangaliwa siyo wingi bali ubora wa kazi uliyoifanya hapa duniani na kwamba hayati Magufuli amehudumu kwa muda mfupi kama Rais lakini kazi zake ni nyingi na bora. Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi wa kipekee barani Afrika. Askofu Malasusa amesema hayo...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Chris Embarambamba kupimwa akili kutokana na uchezaji wake kwenye video wenye kutia shaka

    Watetezi wa haki za binadamu nchini Kenya wametaka mwanamuziki kutoka kabila la Kisii nchini humo afanyiwe uchunguzi wa akili kutokana na matukio ambayo amekuwa akiyafanya kwenye video zake. Uchunguzi huo unatarajiwa kufanyika katika hospitali ya magonjwa ya akili ya Mathari. Iwapo...
  7. Mnyatiaji

    Je,ilikuwa mpango wa Mungu Afrika kutawaliwa ili tupate Injili au kujua dini?

    Nimekuwa nikijiuliza hilo swali apo juu mara kadhaa kama tusingetawaliwa kuanzia waarabu mpka mkoloni mzungu inamaanisha hizi dini zisingekuepo.Je,hayo yalitokea kama mapenzi ya Mungu?
  8. Makanyaga

    Huyu mwimbaji nguli wa Muziki wa Injili anakuja wiki hii kutoka Afrika Kusini

    Anakuja kwenye Tamasha la Twende Zetu kwa Yesu linalotarajiwa kufanyika tarehe 19/12/2020, yaani Jumammosi ya wiki hii.
  9. Samia atosha tukutane2030

    Mwanamuziki Ashley Nassary ndiye mwanamuziki bora wa Injili kwa wanaoimba kwa kutumia lugha ya Kiswahili

    Huyu kijana ni most talented na amejaa mafuta ya Roho wa Mungu. Mungu amwinue zaidi
  10. beth

    Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

    Polisi ya Rwanda imetangaza kwamba msanii maarufu wa nyimbo za injili, Kizito Mihigo amekutwa amejinyonga kwenye Kituo cha Polisi. Kwa mujibu wa tangazo la Polisi, maiti ya msanii huyo imepatikana katika chumba alichokuwa anazuiliwa kwenye Kituo cha Polisi mtaa wa Remera, mjini Kigali. Polisi...
  11. J

    Injili na Qur'an ni Neno la Mungu siyo makaratasi yanayoshikika mkononi!

    Ni swala la uelewa tu na wala halihitaji nguvu kubwa wala kutunisha msuli. Ni kwamba hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulichanachana au kulichoma moto NENO la Mungu. Kwahiyo tusikuze mambo ambayo kimsingi tulipaswa kuyapuuza. Si vema, busara wala haki kuruhusu mihemko ya kidini isiyo ya lazima...
  12. wilcoxon

    Tunaopenda nyimbo za injili tukutane upendo TV

    Ujio wa hii channel mpya ya upendo TV kwakweli nimeufurahia, zinapigwa nyimbo za injili muda wote. Kwa sisi wapenda nyimbo za injili hili ni la kupongezwa Pia jamaa wanapiga nyimbo zote bila ubaguzi tofauti na wale wenzetu wa j/mosi, hapa naona kabisa wanafanya kile YESU alichoagiza, kutangaza...
  13. KijanaHuru

    Mtu aliyelaaniwa kuishi hadi kiama

    Habari Wana JF Nilipenda sana huu uzi ukae jukwaa la Jamii Intelligence Lakini nimeshindwa kutokana na matatizo tunayofanyiwa kule kila uzi ukiuweka unakuwa sio approved na ukizingatia uzi unakuwa hauna shida yoyote, basi wacha tukutane hapa hapa tu. Sasa naendelea na hoja kama kichwa...
Back
Top Bottom