hotuba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020

    Salaam Wakuu, MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara Tundu Lissu anatarajiwa kuwasili nchini leo saa saba na dakika ishirini saa za afrika Mashariki. Lissu amekaa nje ya nchi miaka mitatu sasa baada ya kuondoka kwa shambulio la risasi lililotokea mjini...
  2. JOYOPAPASI

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, awashushua TAKUKURU na Watendaji wote wanajipendekeza kwake na kupeleka miradi ya Maendeleo Chato

    “Mnasema mnataka kujenga Ofisi ya TAKUKURU Chato nawashangaa, TAKUKURU Chato wana Ofisi ya Wilaya tuliwapa Jengo tena la ghorofa lipo juu milimani kwenye shamba la Marehemu Baba yangu ambalo alinyang’anywa, msizungumze mambo kwa kunifurahisha mimi na kujipendekeza this is not the way”-JPM wakati...
  3. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

    M/Mkiti wa CHADEMA Taifa (B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on...
  4. mgt software

    JamiiForums Tanzania Ili kujua Tathmini ya Uhai wa Vyama vyote, kila chama kipewe siku ya kujaribu mitambo, polisi walinde raia tu, kusiwepo hotuba

    Wana JF. Kwa kuwa vyama vyote vilisinyaa na kukosa bashasha na kuweka siasa pembeni ili kupisha Magufuri afanye kazi yake ya kuleta maendeleo. Vyama vyote viliitikia ingawaje kunavingine vilikuwa haviafiki na kuishia kuwa na migogoro na police. Wengine walifikia hatua ya kufungwa na wengine...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Karne 21 iliyotolewa na Rais wa Malawi Dr. Lazarus Chakwera

    Kwa walioskiza hotuba yake Leo, ni ukweli kwamba ni itaingia katika Historia kama hotuba ya kipekee katika karne ya 21. Mambo aliyotaja, kama Magufuli angemsikiliza angejiuma kidole lakini pia angejifunza mengi. The new President of Malawi, Lazarus Chakwera, has told the BBC that his win in...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Itakavyokuwa hotuba ya Bernard Membe ya Kuwaunganisha wapinzani

    Ni wazi kuwa Benard Membe anaenda upinzani. Mkakati unakamilika tarehe 21 Julai, 2020. Tukae mkao wa mapambano! Katika inayotarajiwa kuwa hotuba yake Benard Membe anaelezwa kuleta picha kubwa zaidi ya inavyofikirika katika kambi ya upinzani. Katika maelezo yake ataanza na kuelezea kuwa katika...
  7. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Magufuli imewatandika wengi wateule

    TUMEMSKIA MH RAIS MAGUFULI LEO? Na Elius Ndabila 0768239284 Leo Mh Rais akimuapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Monduli na Arusha mjini ametoa hotuba ambayo inaweza kuwa msumali wa moto kwa baadhi ya viongozi. Hotuba ya Mh Rais ilikuwa na dhima nyingi, lakini ninataka...
  8. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais ya kuvunja Bunge la 11: Ni vitu gani kama vioo vipo mbele ya Mheshimiwa Rais - teleprompter ya kusomea ni nini?

    Nipo hapa naangalia hotuba ya Mweshimiwa Rais, sasa kuna kitu kinanitatiza kuna vioo viwili vipo mbele ya Mweshimiwa Rais mbele sijaelewa ni vitu gani vile?
  9. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Marais Wastaafu wa Tanzania wapo Dodoma wakisubiri hotuba ya Rais Magufuli

    Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu Dr Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais Mstaafu Dr. Gharib Bilal wakiwa Bungeni mjini Dodoma wakisubiri kusikia hotuba ya kulivunja Bunge leo kutoka kwa Rais Dkt. John Magufuli.
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

    Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja. Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu bado unayo nafasi ya kurekebisha hotuba yako! Usiongelee Macro issues kupita kiasi!

    Kweli kabisa ile hotuba yako ya mwanzo kuna sehemu hukufanya vizuri kabisa. Bado una muda katika siku zijazo hebu jaribu kufikiria kuongeza baadhi ya mambo ambayo hukuyagusa vizuri kwenye hotuba yako. Hukugusa baadhi ya mambo nyeti sana yanayoendelea nchini. Hukuongela kuhusu hatima ya...
  12. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa muelekeo wa hotuba ya Lissu CHADEMA hakiwajui Watanzania kinaweza kisipate hata nusu ya kura ilizopata 2015

    Nazani miaka ya 2013 nilisema humu CCM huendeshwa kisay ransi na kinajua namna ya kuendesha siasa kuliko Chadema Ila mashabiki wa siasa na so wachambuzi walikuja na kashfa na kejeli na wanazani mbinu ya kusaidia chama NI kukisifu tu mitandaoni na sio kukipa mbinu mbadala. Wajue hawaendi kufanya...
  13. technically

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari Tanzania vimethibitisha aliyoyasema Lissu

    Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya. Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha...
  14. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

    Amani iwe nanyi Wadau. kama wote mnavyojua leo ndo siku ile ambayo watanzania kwa pamoja wameweza kushuhudia hotuba ya kwanza kutoka kwa gwiji la upinzani, ndugu Tundu Antipas Lissu. Hotuba iliyokuwa imejaa utulivu, akili, busara na hekima iliyotukuka. Kama kawaida CCM walipanga yao, kwanza...
  15. CHADEMA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

    Hotuba ya Tundu Lissu, FULL TEXT: KWANINI NAGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA? Wananchi na raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania popote walipo, ndani na nje ya nchi yetu; Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA); Marafiki wa Jamhuri ya...
  16. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

    Habari! Katika kipindi kifupi kijacho, rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kulihutubia taifa la Marekani kulingana na vyanzo kutoka Ikulu ya White House huku ajenda kuu ikiwa ni masuala ya ubaguzi wa rangi pamoja na umoja wa kitaifa. Jambo jingine linalotarajiwa kuzungumziwa zaidi na...
  17. middo lulyheart

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Waziri Kabudi Umoja wa Mataifa - UN, kwa niaba ya rais Magufuli - 27 Septemba 2019

    Leo Mh Paramagamba Kabudi amehutubia mkutano wa 74 wa Umoja 2a Taifa jijini NewYork marekani. Tanzania tumedhamiria kubadili maisha ya watu wetu: Kabudi Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania akihutubia Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa...
  18. tatum

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Hali ya Uchumi ya Tanzania 2018 na Mpango wa Maendeleo wa 2019/2020

    Soma Hotuba yote ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/20. Thursday June 13 2019 Soma hotuba yote ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango akiwasilisha bungeni taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa...
Back
Top Bottom