Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Mh. Tundu A. Lissu habari ya asubuhi,
Mimi si mwanachama wa CHADEMA wala CCM Ila my country Tanzania na watanzania ni kila kitu kwangu. Lakini pia naomba nikiri wazi kuwa naichukia CCM kwa dhati kabisa kwanza kwa kuamua kuwekeza kwenye ujinga na umasikini wa watanzania ili waendelee kuwatawala huku wakiwalaghai kwa vitu vidogo vidogo kama vile stendi, masoko, flyover, ndege etc.
Ujinga wa watanzania uliotengenezwa na CCM ndo unawafanya waone kuwa ndege ni maendeleo, masoko na stendi ni maendeleo hata Kama hali zao kiuchumi ni mbaya sana.
Nikirudi kwenye hoja yangu ya msingi kwako, nakuomba sana hotuba zako za kampeni ziwe na yafuatayo
1. Shukrani kwa watanzania kwa maombi yao na michango yao bila kujari itikadi zao,washukuru sana.
2. Elezea in brief kile kilichokupata tarehe 17/9 na muujiza wa kusurvive 32 bullets ili waweze kuconnect why umewashukuru.
3. Waambie watanzania njia pekee uliyonayo ya kuweza kuwalipa maombi na michango yao ni kuja kuwa tumikia na ndo maana umekuja kuwaomba ridhaa ya kuwatumikia pamoja na kwamba bado una risasi zingine ndani ya mwili.
Toa mifano mizuri ya kazi ulizofanya kwa wanasingida Mashariki na watanzania wengine,ikiwezekana tengeneza documenteries on how you addressed changamoto za watu wa Singida na mzi-project kwenye mikutano yenu kabla wewe hujaanza kuzungumza na pia hizo documentary zioneshwe kwenye Kila ofisi ya CHADEMA.
4. Elezea utavyoaddress changamoto za wananchi zilivyosababishwa na CCM na Magufuli.
5. Challenge kazi na uongo wa Magufuli kwa kutoa mifano hai toka nchi jirani. Mfano Ethiopia wana ndege zaidi ya Mia,Wana bwawa kubwa la kuzalisha umeme hadi Magufuli aliomba auziwe umeme( Crip yake ikipatikana itakuwa nzuri) Wana SGR lakini wananchi wake kila siku wanatoroka nchi na wengine wamekamatwa sana hapa kwetu( ulipata idadi ya waithiopia waliokamatwa hapa nchini will be great) waoneshe watu tofauti ya maendeleo ya watu na vitu.
Toa mifano inayogusa familia mfano ujenzi wa nyumba. Kwamba mtu anaanza Kwanza kuendelea kwa kupata kipato kinachomtosheleza kula ndo ananza kufikiria nyumba na gari
6. Onesha uongo wa Magufuli, ikiwezekana zitengenezwe documentary zinazoonesha unafiki wake kwa mabeberu, tuanze na Ile aliyogeuka kuwa dereva wa beberu alipokuja kuzindua ujenzi wa interchange ya ubungo na kisha yule mwanaume wa Barrick
7. Elezea connection ya cheo cha Rais na mlo wa familia unaowekwa mezani kwao, toa mifano ya intervations kwenye market system ya mazao ya korosho, kahawa, tumbaku na mbaazi yalivyoadhiri vipato vya familia na kisha elezea nini wewe utafanya kuhakikisha wanapata bei nzuri na soko la uhakika
8. Elezea namna Serikali yako itakavyopiga jeki biashara zilizoadhiriwa na corona
9. Issue ya katiba is key
10. Issue ya elimu ya bure hadi chuo kikuu ni muhimu. Waeleze watanzania namna CCM inavyomwandaa mtoto wa masikini kuwa fukara, dereva wa boda boda.Taja kiwango cha ada katika level mbalimbali za elimu halafu waulize wananchi kwamba kama mtu ameshindwa kulipa elfu 60 anawezaje kulipa Milioni 2 plus huko elimu ya juu kwa maana na vyuo vya Kati na vile vya elimu ya juu.
Toa idadi ya wanafunzi wanaomaliza kila mwaka na wale waopewa mikopo
Please note: Ujinga uliotengezwa na CCM kwa miaka mingi, Magufuli ameumeremetisha sana kwa hiyo ukiongea vitu at presidential level watu hawatakuelewa, toa mifano iliyopo kwenye family level.
Mengine wenzangu wataongezea.
Mimi si mwanachama wa CHADEMA wala CCM Ila my country Tanzania na watanzania ni kila kitu kwangu. Lakini pia naomba nikiri wazi kuwa naichukia CCM kwa dhati kabisa kwanza kwa kuamua kuwekeza kwenye ujinga na umasikini wa watanzania ili waendelee kuwatawala huku wakiwalaghai kwa vitu vidogo vidogo kama vile stendi, masoko, flyover, ndege etc.
Ujinga wa watanzania uliotengenezwa na CCM ndo unawafanya waone kuwa ndege ni maendeleo, masoko na stendi ni maendeleo hata Kama hali zao kiuchumi ni mbaya sana.
Nikirudi kwenye hoja yangu ya msingi kwako, nakuomba sana hotuba zako za kampeni ziwe na yafuatayo
1. Shukrani kwa watanzania kwa maombi yao na michango yao bila kujari itikadi zao,washukuru sana.
2. Elezea in brief kile kilichokupata tarehe 17/9 na muujiza wa kusurvive 32 bullets ili waweze kuconnect why umewashukuru.
3. Waambie watanzania njia pekee uliyonayo ya kuweza kuwalipa maombi na michango yao ni kuja kuwa tumikia na ndo maana umekuja kuwaomba ridhaa ya kuwatumikia pamoja na kwamba bado una risasi zingine ndani ya mwili.
Toa mifano mizuri ya kazi ulizofanya kwa wanasingida Mashariki na watanzania wengine,ikiwezekana tengeneza documenteries on how you addressed changamoto za watu wa Singida na mzi-project kwenye mikutano yenu kabla wewe hujaanza kuzungumza na pia hizo documentary zioneshwe kwenye Kila ofisi ya CHADEMA.
4. Elezea utavyoaddress changamoto za wananchi zilivyosababishwa na CCM na Magufuli.
5. Challenge kazi na uongo wa Magufuli kwa kutoa mifano hai toka nchi jirani. Mfano Ethiopia wana ndege zaidi ya Mia,Wana bwawa kubwa la kuzalisha umeme hadi Magufuli aliomba auziwe umeme( Crip yake ikipatikana itakuwa nzuri) Wana SGR lakini wananchi wake kila siku wanatoroka nchi na wengine wamekamatwa sana hapa kwetu( ulipata idadi ya waithiopia waliokamatwa hapa nchini will be great) waoneshe watu tofauti ya maendeleo ya watu na vitu.
Toa mifano inayogusa familia mfano ujenzi wa nyumba. Kwamba mtu anaanza Kwanza kuendelea kwa kupata kipato kinachomtosheleza kula ndo ananza kufikiria nyumba na gari
6. Onesha uongo wa Magufuli, ikiwezekana zitengenezwe documentary zinazoonesha unafiki wake kwa mabeberu, tuanze na Ile aliyogeuka kuwa dereva wa beberu alipokuja kuzindua ujenzi wa interchange ya ubungo na kisha yule mwanaume wa Barrick
7. Elezea connection ya cheo cha Rais na mlo wa familia unaowekwa mezani kwao, toa mifano ya intervations kwenye market system ya mazao ya korosho, kahawa, tumbaku na mbaazi yalivyoadhiri vipato vya familia na kisha elezea nini wewe utafanya kuhakikisha wanapata bei nzuri na soko la uhakika
8. Elezea namna Serikali yako itakavyopiga jeki biashara zilizoadhiriwa na corona
9. Issue ya katiba is key
10. Issue ya elimu ya bure hadi chuo kikuu ni muhimu. Waeleze watanzania namna CCM inavyomwandaa mtoto wa masikini kuwa fukara, dereva wa boda boda.Taja kiwango cha ada katika level mbalimbali za elimu halafu waulize wananchi kwamba kama mtu ameshindwa kulipa elfu 60 anawezaje kulipa Milioni 2 plus huko elimu ya juu kwa maana na vyuo vya Kati na vile vya elimu ya juu.
Toa idadi ya wanafunzi wanaomaliza kila mwaka na wale waopewa mikopo
Please note: Ujinga uliotengezwa na CCM kwa miaka mingi, Magufuli ameumeremetisha sana kwa hiyo ukiongea vitu at presidential level watu hawatakuelewa, toa mifano iliyopo kwenye family level.
Mengine wenzangu wataongezea.