PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,853
Kwa mnaofuatilia YouTube channel ya CHADEMA MEDIA TV utakubaliana nami, kila atakaposimama Lissu, unaona nyuso za tabasamu kwa wananchi.
Wananchi wanakuwa wakimsikiliza kwa makini kana kwamba yeye ndiye Rais, hanunui jogoo wala hatoi zawadi kwa wananchi maskini lakini wote wanatabasamu.
Kila anachozungumza Lissu ni ukweli mtupu ila inabaki kwa wapinzani wake kuukataa ukweli.
Wananchi wanakuwa wakimsikiliza kwa makini kana kwamba yeye ndiye Rais, hanunui jogoo wala hatoi zawadi kwa wananchi maskini lakini wote wanatabasamu.
Kila anachozungumza Lissu ni ukweli mtupu ila inabaki kwa wapinzani wake kuukataa ukweli.