Marais Wastaafu wa Tanzania wapo Dodoma wakisubiri hotuba ya Rais Magufuli

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,811
4,533
Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu Dr Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais Mstaafu Dr. Gharib Bilal wakiwa Bungeni mjini Dodoma wakisubiri kusikia hotuba ya kulivunja Bunge leo kutoka kwa Rais Dkt. John Magufuli.
1592289677657.png

1592289700270.png
 
Hata Zitto Kabwe tangu Bunge hili lianze hakuhudhuria hata kikao kimoja na akalijulisha Bunge asilipwe posho za Vikao lakin Jana ghafla bin Vuu akatinga Bungeni kuja kusikiliza hotuba bora ya Nusu Karne toka kwa The Great JPM
 
Back
Top Bottom