hotel

  1. Analogia Malenga

    Shambulio la Mogadishu: Vikosi vya Somalia vyazima shambulio baya katika Elite Hotel

    Vikosi maalumu vya Somalia vinasema vimemaliza uvamizi Somali uliofanywa katika hoteli iliyopo katika mji mkuu Mogadishu ambayo ilivamiwa na wananamgambo wa al-Shabab Takriban watu 10 wameripotiwa kuuawa katika hoteli ya - Elite Hotel iliyopo katika eneo la ufukwe wa Lido, pamoja na wanamgambo...
  2. kisu

    Natafuta hoteli nzuri (3 star kwenda juu) iwe karibu sana na Mlimani City Mall

    Nategemea kuja Dar kutoka ng'ambo hivi karibuni, na ninataka kukaa karibu sana na mlimani mall ili niwe naenda kwa miguu toka hotelini ingawa mguu wangu mmoja ni mbovu kidogo, natafuta hoteli nzuri (3 star kwenda juu) iwe karibu sana na Mlimani Mall. Napendelea kukaa karibu na mlimani mall ili...
  3. Erythrocyte

    Kumekucha: Maalim Seif kuunguruma Zanzibar, ni kwenye ukumbi wa kisasa wa Hotel Verde, nchi kutikisika

    Wote mnakaribishwa .
  4. Erythrocyte

    GE2020 Mchungaji Msigwa rasmi kutangaza nia Dodoma hotel Jumapili 14 Juni

    Wote mnakaribishwa Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara...
  5. Chakorii

    Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

    Habari za jiona wapendwa.poleni na majukumu ya maisha. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika..ninarafiki yangu (me)lakini sasa ni kama ndugu maana tulipotoana ni mbali.Yes. Yuko kwenye hotel industry kwa muda kidogo na sasa anataka kwenda kufanya kazi Serengeti Four Seasons...
  6. britanicca

    Hivi Tausi waliopelekwa JS Hotel hapo awali nani aliidhinisha? Nani mmiliki?

    Ugawaji wa Tausi huu Ugawaji wa Tausi, kabla ya Raisi Hajagawa tausi kwa wastaafu, kuna hotel inaitwa JS imeshapatiwa hao Tausi kitambo, Ni mmiliki nani na nani hasa aliruhusu wato Ikulu? Britannica
  7. The Sheriff

    Mfalme wa Thailand ajiweka karantini na ''vimwana'' 20 kwenye hoteli ya kifahari

    Inaelezwa kuwa Mfalme wa Thailand amechukua hoteli ya kifahari nchini Ujerumani ili kujitenga ikiwa ni hatua za kujikinga na virusi vya Corona, huku akiwa na wanawake 20. Mfalme huyo, Maha Vajiralongkorn, mwenye umri wa miaka 67, ameripotiwa kuchukua hoteli nzima ya Grand Hotel Sonnenbichl...
  8. J

    Afisa afya JNIA: Wanaowekwa karantini huchagua Hotel wenyewe na bei ni kati ya sh 30,000 na sh 150,000

    Afisa afya wa uwanja wa ndege wa JNIA amesema siyo kweli kwamba wanaowekwa katika karantini wanalazimishwa kukaa hotel za bei kubwa. Amesema kamati ya mkoa imechagua Hotel kadhaa kulingana na hadhi ya abiria wanaowasili hivyo kiwango cha malipo ni kati ya sh 150,000 kwa wenye uwezo hadi sh...
  9. K

    Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa

    Baadhi ya Wasafiri waliofika Uwanja wa Ndege wa Dar na kutakiwa kujiweka Karantini kwa gharama zao wakilalamika kuwa wametakiwa kukaa hoteli zenye gharama Wasafiri hao wameomba msaada kwa Mamlaka hususan Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwani wametakiwa kukaa katika hoteli za Southern Sun, Rungwe...
  10. J

    Makonda: Wageni kutoka nchi zilizoathirika na Corona wanapowasili tu huwekwa karantini katika Hotel maalum kwa siku 14

    Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema wageni wote wanaoingia jijini wakitokea nchi zilizoathirika zaidi na corona watawekwa karantini ya siku 14 katika hoteli maalum kwa gharama zao wenyewe. Makonda amesema Hotel hizo hazitatangazwa kwa sababu za kiusalama na kuepusha unyanyapaaji kwa wageni...
  11. Erythrocyte

    Hotel aliyofikia Lema jijini Dar es Salaam yazingirwa na Polisi, alikuwa aongee na Wanahabari

    Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP Polisi hao wenye silaha...
  12. Influenza

    Bernard Membe aitwa kwenye Kikao cha Kamati ndogo ya Udhibiti wa Nidhamu CCM

    Kupitia Ukurasa wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter, aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amesema ameitwa Jijini Dodoma kwenye Kikao hicho cha CCM Amesema amepata barua ya kuitwa hapo jana na ataudhuria bila kukosa au kuchelewa kikao hicho kitakachofanyika Februari 06 saa 3...
  13. K

    GR Hotel Mbeya inaongozwa na mtu aisye mtanzania kwa miaka 3 sasa. Je, hakuna mtanzania mwenye sifa ya kuwa Meneja hapo?

    This Hotel for three years or so, is under the management of a foreigner, though is locally owned by a Tanzanian. Ni kweli hakuna Mtanzania anaweza kuwa manager hapa? Tunalalamikia kazi hakuna, ni kweli hatuna mtanzania anaweza endesha hotel hii ya kiwango cha chini hivi? Authorities kazi...
  14. J

    Live ITV: Rais Magufuli anafungua Hotel ya Verde Azam Luxury Resort & SPA mtoni jijini Zanzibar inayomilikiwa na S S Bakhresa

    Ni tukio kubwa na la kihistoria kwani hii ni hoteli ya kipekee kabisa nchini Tanzania, Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara. Karibuni!
  15. Ndama dume

    Cate hotel iko wapi hapa mjini

    Wadau habarini ya jioni, poleni na pilika za dar hii, mshamba nimeingia toka mkoani na nimeambiwa Hotel nzuri ya kiwango changu ni CATE HOTEL je hapa mjini iko upande upi maana nimeahidiwa kwenda kula tunda kimasihara!!
  16. budebajr

    Uwakala wa soko la utalii na usafiri wa ndege (Travel & tours)

    Tujuzane machache soko la utalii tunalionaje, kuanzia miaka ya nyuma na hivi sasa hususani ukuaji, maeneo yanayokua, changamoto, muamko wa wazawa (Watanzania) na hata ongezeko la watalii kutoka nje ya nchi.
  17. YEHODAYA

    Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

    Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24 Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi. Nilikuwa Nigeria niliingia saa...
  18. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Director of Revenue Management at Mount Meru Hotel

    About us Welcome to the Mount Meru Hotel, Arusha, Tanzania. Discover the place where heavens meet the earth, where the rhythm of nature pounds to the beat of an African drum, and where life is all about a revival of the senses. An oasis of tranquillity on Tanzania’s gateway to major tour tourist...
  19. BASIASI

    Kwanini hoteli za Zanzibar hazitoi risiti za TRA wakati za Bara zinatoa? Shida nini?

    Wiki mbili zilizopita nimefanikiwa kulala hotel nne tofauti. Lengo si kuwasema lengo ni watu walipe kodi nchi iendelee. Katika hotel zote hakuna hata moja inayotoa risiti za TRA na unalipa 85000+. Nikianza na hii ya five star hapo Darajani nyingine kule Nungwi. Nyingine iko pale Kilimani...
  20. BASIASI

    Serikali ya Zanzibar dhibitini hawa street boys Forodhani Hotel, mtakosa mapato sana

    Nilikuwa wiki mbili Zanzibar niliyaona ni hatari sana kwa heshima ya Tanzania. Forodhani Hotel imejaa wahuni watoto wadogo street boys leo hii wanaona wazungu wamekaa wanaomba kila mtu. Haitoshi wanapigania chakula wanachopewa na wazungu, inahuzunisha sana. Wakati haya yakiendelea nje ama...
Back
Top Bottom