Afisa afya JNIA: Wanaowekwa karantini huchagua Hotel wenyewe na bei ni kati ya sh 30,000 na sh 150,000

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,959
Afisa afya wa uwanja wa ndege wa JNIA amesema siyo kweli kwamba wanaowekwa katika karantini wanalazimishwa kukaa hotel za bei kubwa.

Amesema kamati ya mkoa imechagua Hotel kadhaa kulingana na hadhi ya abiria wanaowasili hivyo kiwango cha malipo ni kati ya sh 150,000 kwa wenye uwezo hadi sh 30,000 kwa akina " mwenzangu na miye!

Hivyo wanaolalamika wana sababu nyingine labda lakini gharama kiukweli wanajichagulia wao wenyewe.

Source: ITV kumekucha
 
Siasa, siasa, siasa, siasa, siasa hatari sana.

Ile video ya yule mama imejieleza vizuri, tujifunze na turekebishe pale tulipokosea tuache siasa za kijinga..
 
Siasa, siasa, siasa, siasa, siasa hatari sana.

Ile video ya yule mama imejieleza vizuri, tujifunze na turekebishe pale tulipokosea tuache siasa za kijinga..
Afisa afya na siasa wapi na wapi bwashee?!

Acha hizo.
 
Afisa afya wa uwanja wa ndege wa JNIA amesema siyo kweli kwamba wanaowekwa katika karantini wanalazimishwa kukaa hotel za bei kubwa.

Amesema kamati ya mkoa imechagua Hotel kadhaa kulingana na hadhi ya abiria wanaowasili hivyo kiwango cha malipo ni kati ya sh 150,000 kwa wenye uwezo hadi sh 30,000 kwa akina " mwenzangu na miye!

Hivyo wanaolalamika wana sababu nyingine labda lakini gharama kiukweli wanajichagulia wao wenyewe.

Source: ITV kumekucha
Sasa 30K unaona ndogo katika kipindi hiki cha mdororo wa hela?

Kwanini wasingetenga hata shule kama alivyofanya Rais Museveni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa anamathihara 30,000 × 14 = 420,000/- hapo ujala kutwa ×3
Mfano chai 2,000×14 dayz =28,000/=
Lunch 4,000 × 14days =56,000/-
Dinner 4,000 ×14 dayz =56,000/-
Jumla kuu ~560,000/ kwa siku 14.
Hapo kama ni mtumishi au mfanya bishara wa kawaida unakuta kipato ni kiduchu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu ka hicho.... Watu wanaenda hotelini na badae wako mtaani... Ujinga ujinga
 
Kuna mtu/watu wanafaidika na hilo deal hao wenye hotel waliochaguliwa watakuwa wanatoa some % (kufa kufaana)

Maana issue was so simple kuliko kuwaingiza watu gharama hivyo wangetumia hostels za vyuo tu za Kampala University au Mabibo hostels au za Magufuli chakula wapikiwe cafeteria ili kuwasaidia watu maana huko hotelini ni kuwakamua hela na huenda ndiyo lengo
 
Kuna mtu/watu wanafaidika na hilo deal hao wenye hotel waliochaguliwa watakuwa wanatoa some % (kufa kufaana)

Maana issue was so simple kuliko kuwaingiza watu gharama hivyo wangetumia hostels za vyuo tu za Kampala University au Mabibo hostels au za Magufuli chakula wapikiwe cafeteria ili kuwasaidia watu maana huko hotelini ni kuwakamua hela na huenda ndiyo lengo
Hivi mtu kachangiwa hela ya kwenda kutibiwa India karudi anakutana na msala huo itakuaje sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka hao watu wanafanya shughuli zao ndani na NJE ya nchi, iweje vipato vyao viwe vidogo!?
Huyu jamaa anamathihara 30,000 × 14 = 420,000/- hapo ujala kutwa ×3
Mfano chai 2,000×14 dayz =28,000/=
Lunch 4,000 × 14days =56,000/-
Dinner 4,000 ×14 dayz =56,000/-
Jumla kuu ~560,000/ kwa siku 14.
Hapo kama ni mtumishi au mfanya bishara wa kawaida unakuta kipato ni kiduchu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa anamathihara 30,000 × 14 = 420,000/- hapo ujala kutwa ×3
Mfano chai 2,000×14 dayz =28,000/=
Lunch 4,000 × 14days =56,000/-
Dinner 4,000 ×14 dayz =56,000/-
Jumla kuu ~560,000/ kwa siku 14.
Hapo kama ni mtumishi au mfanya bishara wa kawaida unakuta kipato ni kiduchu

Sent using Jamii Forums mobile app
bado hujapata ndovu ya baridi au wine maana huko jela.
 
Afisa afya wa uwanja wa ndege wa JNIA amesema siyo kweli kwamba wanaowekwa katika karantini wanalazimishwa kukaa hotel za bei kubwa.

Amesema kamati ya mkoa imechagua Hotel kadhaa kulingana na hadhi ya abiria wanaowasili hivyo kiwango cha malipo ni kati ya sh 150,000 kwa wenye uwezo hadi sh 30,000 kwa akina " mwenzangu na miye!

Hivyo wanaolalamika wana sababu nyingine labda lakini gharama kiukweli wanajichagulia wao wenyewe.

Source: ITV kumekucha
asitufanye sisi wajinga,
aseme ukweli kuwa hapo awali walikosea kuchagua hotel za gharama sana ila baada ya wahanga kujirekodi video na kulalamika ndiyo wamefanya mabadiliko hadi hotel za kuanzia 30,000 ziko kwenye list.
 
Back
Top Bottom