Nimewaza ivyo 😎Itakua ya LUPITA NYONGO
Macho yako bado mabikra kabisa dah...paradise hiyo?Its a paradis aisee daah
Ha ha haaaaa mabikira,🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉macho yako bado mabikra kabisa dah...paradise hiyo?
Ni kweli njoo utoe bikra hii🤗😜macho yako bado mabikra kabisa dah...paradise hiyo?
....Mkuu Saidia... Unafikaje hapo? Room ni shs Ngapi?Coincidence, I was there yesterday, Bahati mbaya bei ya vyumba imesimama, halafu hata logistic za kufika hapo inatakiwa ujipange
Kweli sana inaaminika hivyo, hata mimi niliwahi fika hapo tulikuwa na wenzangu kuna kazi tulikuwa tunafanya,Waambie na kuhusu bei na watu huku wanaamini eti hoteli hii inamilikiwa na Arnold Schwarzenegger nilishafika ni pazuri sana ipo Kipili-Lake Tanganyika
Tatizo huna pesaTatizo ni mkoa ilipo.
Kweli Kabisa, maana ipo kisiwani tena yenyewe tu hapo hamna hata makazi ya watu. Ili kufika hapo lazima upande botiCoincidence, I was there yesterday, Bahati mbaya bei ya vyumba imesimama, halafu hata logistic za kufika hapo inatakiwa ujipange
Panda gari hadi sumbawanga mjini, halafu upande gari za Kwenda kipili then upande boat 🛥 za kwenda huko kisiwani,....Mkuu Saidia... Unafikaje hapo? Room ni shs Ngapi?
Ni kweli sina hela za kwenda kigoma,lkn hela za kwenda Dar,Arusha,Mwz,Zenji Mungu hakuninyima.Ta
Tatizo huna pesa
Ukiwa na pesa za kutosha dunia utaiona kama kijiji 😒Ni kweli sina hela za kwenda kigoma,lkn hela za kwenda Dar,Arusha,Mwz,Zenji Mungu hakuninyima.
Sasa pesa zangu hazifai kwenda kuona dunia na kua kama mwanakijiji.Ukiwa na pesa za kutosha dunia utaiona kama kijiji 😒