home

  1. Suley2019

    12-year-old boy flees home after beating 19-year-old brother to death

    A 12-year-old Primary Three pupil has fled their home in Miraa Village, Masafu Sub-county, Busia District, after allegedly beating his 19-year-old brother to death following a disagreement over a home-made ball. The suspect, who is a juvenile, is said to have fatally punched Umar Nsubuga who...
  2. Roving Journalist

    More women now hold powerful Cabinet posts in Tanzania

    President Samia Suluhu Hassan keeps boosting the role of women in her government as she entrusts them with key ministerial roles that could ultimately define her legacy as the first woman Head of State in the history of the country. Apart from Dr Stergomena Tax - who was yesterday sworn-in as...
  3. Roving Journalist

    The Kilimanjaro RC, orders 500 scammed youths to return to their home regions in 7 days

    Kilimanjaro Regional Commissioner has given seven days to more than 500 youths, allegedly scammed by Alliance Motion in Global, in Moshi, to return home. The RC issued the order on Wednesday, September 15, 2021 while speaking to the youths where he said those who will violate the order and...
  4. Ngamba

    Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza Bio Gas digester at home

    Naomba msaada jinsi ninavyoweza tengeneza bio gas digest ndogo nyumbani, nataka tengeneza kwa kutumia tank ya lita 100 kwa kutumia malighafi(materials) ninayoweza kupata kwa urahisi ni garama nafuu. Nashukuru kwa msaada nitakaopata
  5. K

    Picha: Hiki ni kiumbe gani? (Kama samaki mtu mdogo) nimekuta home

    Salamu za asubuhi, hiki kiumbe nimekuta kimefukiwa nyumbani kwangu sehemu ya kuingilia kibarazani bado sijaelewa ni kiumbe gani. Msaada kwa ambae amewahi kukutana na kitu Kama hiki. Ukiangalia kwa umakini utaona mkia Kama wa samaki, kichwa Kama binadamu na mikono kabisa.
  6. Kingsmann

    Katika hili mlichemka pakubwa sana, haiwezekani tozo izidi kodi ambayo ipo kihalali

    Hebu angalia gharama hizi za huu muamala hapa chini[emoji116] 👉Gharama ya muamala(kodi) = 3500/= 👉Tozo ya mshikamano = 7500/= Hii uliona wapi? Hata kama ni uzalendo huu sasa ni unyanyasaji, hata kama ni mshikamano huu sasa ni mshikwamano. Yani tozo ambayo kiuhalisia ilipaswa iwe hiari...
  7. N

    Tujikumbushe kichekesho cha dunia: Yanga vs Ndanda FC 2016

    Tuesday , 10th May , 2016 Mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kati ya wenyeji Ndanda FC na Yanga uliokuwa ufanyike Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara sasa utafanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi. Afisa habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Alfred...
  8. EJOSMAT

    INAUZWA Vifaa vya electronics vinauzwa

    Printer hp 7500 a wide format------laki 3 Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu Sigma lense 170-500----------------laki 4 Studio light na background yake laki 4 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267 664
  9. Chizi Maarifa

    Wazee mmemwambia mambo haya Rais? Au mnataka tuje tafutiana lawama home?

    Isije ikawa mlikuwa mnafurahia tu kuja kupata futru jioni. Halafu baadaye muanze kutusumbua sisi. Mmepata nafasi ya kuongea na Rasi je mmemwambia haya... 1. Vijana wenu hatuna kazi 2. Hamjalipwa au mnasumbuliwa mafao 3. Mna matatizo kwenye kupata huduma za Afya 4. Vijana wenu wanaonewa na Vyombo...
  10. J

    Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

    Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma. Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM...
  11. D

    Home theater inauzwa

    Wakuu nauza home theater yangu, Watts 800 Haina blootuth Inahitaji marekebisho kidogo upande wa cd Zaidi ya hapo kila kitu kinafanya kazi, bei 350,000 Picha na mawasiliano zaidi 0658644485
  12. Geza Ulole

    After vaccination back home, 140 tourists from Israel to jet into Tanzania in May

    140 tourists from Israel to jet into Tanzania in May THURSDAY APRIL 08 2021 ADVERTISEMENT By Zephania Ubwani More by this Author Arusha. In a renewed bid to woo back visitors after the devastating impact of Covid-19, 140 tourists from Israel will jet into the country next month. The...
  13. K

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Wakuu kwema? Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table. Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
  14. Inkotanyi 94

    Ushauri kuhusu sony home theatre dz950

    Asalaam aleikum. Najivunia jf lakin najivunia zaidi watanzania wana moyo wa kutoa ushauri inapobidi. Mambo ya mind your own bussiness si utamaduni wetu. Nimenufaika mno na ushauri ninaopataga jf. Leo naomba ushauri wa kitaalam na kimazoea ukitaka kununua home theatre ya sony dz 950. Je kuna...
  15. Mtu Asiyejulikana

    Hawa mbwa hawana urafiki na mtu wasiyemfahamu. Ulinzi Shirikishi niliwakatalia baada ya kuwa naibiwa home then wanataka niwachangie mwisho wa mwezi

    Hawa mbwa nawapenda ni very strong. Imagije dume anafika kilo 80 asili yao ni South Africa. Kwa Makaburu huko Wanaitwa Boerboel. Hawa jamaa hawana woga kabisa. Na miaka ya nyuma walikuwa wakitumika mpaka kupambana na leopards au mbwa mwitu. Home ninao watatu na nlipata kutoka kwa rafiki yangu...
  16. The Assassin

    Wapi naweza kupata wireless home theater kwa hapa Daslam.

    Wakuu, nimebadilisha life style, sasa napenda kuangalia documentaries hivyo nataka kununua vifaa vya kisasa vya kielektroniki vyenye viwango vya kimataifa. Sasa nimeshauriwa kua kuna home theater system ambazo sio za mawaya waya, na mimi sitaki sebule yangu ijae mawaya waya. Hivyo naomba...
  17. Valencia_UPV

    Wahaya kama Wachaga, tunarudi home Krismasi

    Kama ilivyo desturi ya ndugu zetu Wachaga nasi tumeanza kwenda home Bukoba city kipindi Cha mwisho wa mwaka (kwa njia mbalimbali hususani Ndege-Scheduled and chartered, private expensive cars na kidooogo mabasi). NB: Tunaendelea na mazungumzo na KLM na Emirates walete ndege direct Bukoba...
  18. Mwita Mtu Mrefu

    TV4Sale Home Base Smart TV 43" kwa Tsh. 620,000 tu

    HOMEBASE SMART TV INCH 43 FULL HD INATUMIA: HDMI PORTS 2 USB PORTS 2 VGA AUDIO INPUT INAINGIA: You Tube Netflix Location: ubungo external. Nipigie: 0744033555
  19. Tony254

    Kenyans in the diaspora sent back home remittance worth $ 3 billion in 2020

    Wakenya wanaoishi nje ya nchi wametuma nyumbani pesa kiasi cha dola bilioni tatu katika mwaka wa 2020. Hii idadi ni kubwa kushinda idadi ya pesa waliyotuma katika mwaka wa 2019. Kinachoshangaza ni kuwa mwaka wa 2020 uliathiriwa vibaya sana na corona virus lakini licha ya hayo bado Wakenya...
  20. Majumba saba

    Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

    Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno! Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja. Hope zinapatikana bila shaka.
Back
Top Bottom