VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 663
- 910
Habarini wanajamvi!
Nilikuwa naomba kujulishwa aina gani ya TV ni bora zaidi kati ya hizo tajwa.
Nilikuwa nahitaji TV 43",Hisense nimeambiwa 800,000/=tshs.,Home tech nimeambiwa 680,000/= dukani.
Kulingana na bei Hisense ipo juu je vipi kuhusu ubora?Mimi sijui ila Hisense inaweza kuwa bei ila ubora ukawa sawa na Home tech.Naombeni wataalamu mnisaidie.
Nilikuwa naomba kujulishwa aina gani ya TV ni bora zaidi kati ya hizo tajwa.
Nilikuwa nahitaji TV 43",Hisense nimeambiwa 800,000/=tshs.,Home tech nimeambiwa 680,000/= dukani.
Kulingana na bei Hisense ipo juu je vipi kuhusu ubora?Mimi sijui ila Hisense inaweza kuwa bei ila ubora ukawa sawa na Home tech.Naombeni wataalamu mnisaidie.