TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

buffalo44

JF-Expert Member
May 8, 2016
3,102
6,181
Wakuu habari zenu.

Natumai mu wazima.

Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.

TTCL walinipa hii details.
IMG-20220122-WA0001.jpeg


Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.

Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.

Nikaamua kucheki Voda Supa kasi

Screenshot_20220127-182712.png


Voda wana laki 115000 lakini nimeenda Voda Shop Ubungo plaza wananiambia wana Laini ya Supakasi Unlimited 50k kwa mwezi.

Watalaamu naomba ushauri ni ipi reliable isiyo na speed ya kusua sua ili nichukue nihustle kutafuta hela.

Mabando ya 3k kila siku yanaumiza alafu unatumia kibahili sio.

Naombeni msaada sana.

Shukrani in advance.
 
Voda wana laki 115000 lakini nimeenda Voda Shop Ubungo plaza wananiambia wana Laini ya Supakasi Unlimited 50k kwa mwezi.

Watalaamu naomba ushauri ni ipi reliable isiyo na speed ya kusua sua ili nichukue nihustle kutafuta hela.
Ulitakiwa kuomba ufafanuzi kuhusu hizo the so-called unlimited kwa sababu ingawaje huwa wanasema ni unlimited, mara nyingi kama sio zote zinakuwa sio unlimited wala nini! Ulitakiwa kufahamu wanatoa GB ngapi kwa sababu sio kwamba ni unlimited GBs!

Zamani hawa watu nilishagombana nao sana! Unalipa wanakuambia unlimited one months, unashangaa baada ya siku kadhaa bundle imekata au wamepunguza speed na kuwa ya jongoo!

Ikabidi niwapandie huko huko ndipo wakaniambia huwa wanafanya makadirio, kwa mfano wanakupa 30GB huku wakiamini zitakutosha mwezi mzima na ndo maana wanasema unlimited!!

Sasa kama matumizi yako ni makubwa tofauti na makadirio yao, ndipo hapo bado siku 15, umeshatumia 25GB... sasa utamaliza vipi siku zilizobaki, ndipo wenyewe wanakuwa wameweka cap kwamba zikabaki 5GB, automatically speed inapungua mno, to the point hata ku-download file kubwa inakuwa issue!
 
Wakuu habari zenu.

Natumai mu wazima.

Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.

TTCL walinipa hii details.
View attachment 2097538

Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.

Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.

Nikaamua kucheki Voda Supa kasi

View attachment 2097542

Voda wana laki 115000 lakini nimeenda Voda Shop Ubungo plaza wananiambia wana Laini ya Supakasi Unlimited 50k kwa mwezi.

Watalaamu naomba ushauri ni ipi reliable isiyo na speed ya kusua sua ili nichukue nihustle kutafuta hela.

Mabando ya 3k kila siku yanaumiza alafu unatumia kibahili sio.

Naombeni msaada sana.

Shukurani in advance.
Mkuu Supakasi ni tofauti na kasi internet?

Maana mm natumia kasi internet, wanatoa gb 37 zikiisha wanapunguza speed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitakiwa kuomba ufafanuzi kuhusu hizo the so-called unlimited kwa sababu ingawaje huwa wanasema ni unlimited, mara nyingi kama sio zote zinakuwa sio unlimited wala nini! Ulitakiwa kufahamu wanatoa GB ngapi kwa sababu sio kwamba ni unlimited GBs!

Zamani hawa watu nilishagombana nao sana! Unalipa wanakuambia unlimited one months, unashangaa baada ya siku bundle imekata au wamepunguza speed na kuwa ya jongoo!

Ikabidi niwapandie huko huko ndipo wakaniambia huwa wanafanya makadirio, kwa mfano wanakupa 30GB huku wakiamini zitakutosha mwezi mzima na ndo maana wanasema unlimited!!

Sasa kama matumizi yako ni makubwa tofauti na makadirio yao, ndipo hapo bado siku 15, umeshatumia 25GB... sasa utamaliza vipi siku zilizobaki, ndipo wenyewe wanakuwa wameweka cap kwamba zikabaki 5GB, automatically speed inapungua mno, to the point hata ku-download file kubwa inakuwa issue!
Fiber ni unlimited ndio maana speed unakadiriwa.
 
Ebu tupe mchanganuo vizuri hiyo laini ya voda inauzwa shingapi kwasbabu yapo mabando ya 50,000 ambayo ni limited

Isijekuwa hiyo laini inauzwa 200k
Waliniambia nikijisajili for supakasi 50k kila mwezi ndio napewa.
 
Ulitakiwa kuomba ufafanuzi kuhusu hizo the so-called unlimited kwa sababu ingawaje huwa wanasema ni unlimited, mara nyingi kama sio zote zinakuwa sio unlimited wala nini! Ulitakiwa kufahamu wanatoa GB ngapi kwa sababu sio kwamba ni unlimited GBs!

Zamani hawa watu nilishagombana nao sana! Unalipa wanakuambia unlimited one months, unashangaa baada ya siku bundle imekata au wamepunguza speed na kuwa ya jongoo!

Ikabidi niwapandie huko huko ndipo wakaniambia huwa wanafanya makadirio, kwa mfano wanakupa 30GB huku wakiamini zitakutosha mwezi mzima na ndo maana wanasema unlimited!!

Sasa kama matumizi yako ni makubwa tofauti na makadirio yao, ndipo hapo bado siku 15, umeshatumia 25GB... sasa utamaliza vipi siku zilizobaki, ndipo wenyewe wanakuwa wameweka cap kwamba zikabaki 5GB, automatically speed inapungua mno, to the point hata ku-download file kubwa inakuwa issue!
Shukuran sana mkuu.

Itabidi kuwaomba maelezo zaidi.
 
TTCL kama unaishi eneo ambalo miundombinu ya fiber imepita...

Unlimited internet huwa inakuwa hivi mara nyingi... Unapewa kiasi fulani cha data with maximum throughput, kile kiasi kikishakwisha basi unakuwa allocated kwenye speed ndogo
Shukuran sana. Nashukuru JF kwa hili. Nina kazi za graphics na season kuuzia za kudownload isije kuwa nawekea Gb za social media.
 
Back
Top Bottom