home

  1. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Wahaya kama Wachaga, tunarudi home Krismasi

    Kama ilivyo desturi ya ndugu zetu Wachaga nasi tumeanza kwenda home Bukoba city kipindi Cha mwisho wa mwaka (kwa njia mbalimbali hususani Ndege-Scheduled and chartered, private expensive cars na kidooogo mabasi). NB: Tunaendelea na mazungumzo na KLM na Emirates walete ndege direct Bukoba...
  2. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Home Base Smart TV 43" kwa Tsh. 620,000 tu

    HOMEBASE SMART TV INCH 43 FULL HD INATUMIA: HDMI PORTS 2 USB PORTS 2 VGA AUDIO INPUT INAINGIA: You Tube Netflix Location: ubungo external. Nipigie: 0744033555
  3. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyans in the diaspora sent back home remittance worth $ 3 billion in 2020

    Wakenya wanaoishi nje ya nchi wametuma nyumbani pesa kiasi cha dola bilioni tatu katika mwaka wa 2020. Hii idadi ni kubwa kushinda idadi ya pesa waliyotuma katika mwaka wa 2019. Kinachoshangaza ni kuwa mwaka wa 2020 uliathiriwa vibaya sana na corona virus lakini licha ya hayo bado Wakenya...
  4. Majumba saba

    JamiiForums Tanzania Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

    Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno! Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja. Hope zinapatikana bila shaka.
  5. Wacha1

    JamiiForums Tanzania British Home Secretary Implicated in Nigerian Corrupt deal

    Priti Patel repeatedly backed company accused of obtaining Nigerian gas contract through corruption Priti Patel repeatedly backed company accused of obtaining Nigerian gas contract through corruption (msn.com) Priti Patel sought to publicly intervene three times on behalf of an offshore company...
  6. Vhagar

    JamiiForums Tanzania Kuna mliobahatika kuomba kazi Home Contruction Company na kupata

    Heshima kwenu wanabodi. Muda huu katika kuperuzi peruzi huku mtandaoni nimekutana na sponsored ads kwa kampuni inayoitwa Home contruction. Inasema ina miaka mitano hapa nchini. Ila binafsi ndio nimekutana nayo. Imetoa nafasi za kazi kwa fani mbali mbali. Kwa nafsi yangu nikasema ngoja nikapply...
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Hii kwangu imekuwa changamoto kubwa. Hata natamani kukimbia home

    Habari! Mimi nmejenga sehemu moja hapa Dar kms 16 kufika Posta kwenye Mnara wa Askari. Nachelea kusema ni mbali na Jiji au si mbali sana. Kiwanja nilinunua kikubwa sana.of course Mzee alitununulia miaka hiyo ya 90s then nami nikaja ongezea so nina eneo la kutosha hasa. Nmejenga na nimepata...
  8. Masokotz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania The Home Wrecker

    Kun tatizo ambalo nimeliona sana kipindi hiki Kuna mabinti wengi sana ambao wanaona ni sawa na kawaida kabisa kuwa na uhusiano na mume wa mtu na vijana ambao pia wanaona ni sawa kabisa kuwa na uhusiano na mke wa mtu.Tena kwa ujasiri kabisa wanasema kwaba WAKO IN LOVE Hili swala limefanya...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

    Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA). Uchaguzi 2020 - Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu
  10. ECPENDABLE

    JamiiForums Tanzania Wataalam waliowahi kutumia home theatre system SONY WATT 300 wanipe ubora wake in performance au miyeyesho nakaribisha majibu

    Wakuu, msaada kwa ambae amewahi kutumia Sony home theater Watt 300 vipi ubora wake wa sound na performance machaguo yangu ni kama mnovoona kwenye picha nikamate sony au hilo subwoofer nakaribisha majibu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ten of the Deadliest Martial Arts Styles in the World- Don't try this at Home

    Ten of the Deadliest Martial Arts Styles in the World- Don't try this at Home For centuries mankind has been involved in warfare and violence and as a consequence had to develop weapons and fighting skills to defend themselves against enemies. There are many ways to dissolve conflict including...
  12. Dr Bill

    JamiiForums Tanzania Nimemaliza kuongea na Rafiki yangu anayeishi Marekani, Ananiambia 'we are still working from home beacuse of Corona, America is becoming boring place'

    Tuache siasa tuache majungu Magufuli ni mwanasayansi asiekuwa muoga na anaejua nini anafanya. Sio kwamba ana miujiza ila alichoweza kuwaaminisha watanzania ni kwamba corona ni mafua ya kawaida sana kawaida ila haiwezi kushindana na uwezo wetu wa kukabiliana na hali tete au hali ngumu...
  13. Ndikwega

    JamiiForums Tanzania Msaada: Home Theatre yangu spika ndogo mbili hazitoi sauti!

    Habarini wadau! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ni kuwa nikazichanga kidogo nikatafuta mziki wangu uwe unanifariji kidogo ni Sony nz950 watt 1000. Ajabu ni kuwa siku naunganisha mziki uliimba speaker ndogo zote nne ndaefu, ila kuanzia nadhani kesho yake sauti zikakata mbili zikabaki...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Deki ya DVD Home Theatre (LG) inauzwa 130000/=

    NAUZA DEKI YA LG HOME THEATER DH4530T SPECIFICATIONS 330W (5.2ch) BASS BLAST 1080P FULL HD UP-SCALING USB CONTENTS PLAYBACK HDMI out & SIMOLINK PORTABLE IN NAMBA YA SIMU; 0783696253
  15. C

    JamiiForums Tanzania GE2020 Bernard Membe nakupenda sana, nakuomba umuachie Tundu Lissu agombee tuiondoe CCM madarakani

    Kwa dhati ya moyo wangu napenda kukiri kuwa mimi ni admirer wako toka ukiwa Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania. Lakini kwa hali ya Siasa ilivyo nchini mwetu na kiu ya watanzania kuondokana na kivuli kizito kilichodumu kwa zaidi ya miaka 59 cha umasikini uliokithiri, ujinga, maradhi, ukiukwaji...
  16. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania How we ignorantly destroys our marital home

    How We Ignorantly Destroys Our Marital Home. Rev. Funke Felix-Adejumo --------- Many of you, even though your husband's are physically alive, some of you have killed them with the way you speak to them. You disrespect your husband in such a way that the man has forgotten his first name. You...
  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania The Citizen: My body is full of braces and a bullet, says Tundu Lissu

    Monday July 27 2020 Chadema deputy Chairman (Mainland), Tundu Lissu has said his body is full of braces, scars plus one bullet that is still lodged in his bone. IN SUMMARY Mr Lissu, who is former Singida East Member of Parliament (MP), said that the bullet that is lodged in his body could not...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Virusi vya Corona: Watu 572 wapoteza maisha Afrika Kusini kwa saa 24 zilizopita

    It goes without saying that the reason Africa will face the worst of Covid-19 last is because we are very poorly connected to the rest of the world. We do very little business with the rest of the world, which spared us the initial hit. Probably more people move from China to the US in a week...
  19. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

    Nimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
  20. B

    JamiiForums Tanzania Hili suala linanitesa sana moyoni. Natamani ningekuwa Home

    Nina kagari ambako naomba nifahamishwe kama kuna dealers wake hapa TZ. Ni Jeep ya mwaka 2019 nataka kuifanyia service Sasa waswas wangu isije ikaguswa guswa na hawa mafundi ambao hawajasomea.binafsi napenda nipate fundi mkuu mwenye doctorate ya mechanics au au hata masters then wasaidizi ndo...
Back
Top Bottom