Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi namba 13 ya mwaka 2004 kipengele cha 48 mgombea aliewekewa pingamizi anatakiwa kwenda kujibu hoja mbele ya mgombea aliyemwekea pingamizi na kujibu hoja
Sasa leo Mhe. Lissu amemuwekea mgombea mwenzake John Pombe Magufuli wa CCM pingamizi baada ya kushindwa...
Jaji Kaijage na team yake ya Tume ya uchaguzi kama si busara zao za kukubali kufanya uhakiki wa wadhamini wa mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya Uchaguzi basi ni dhahiri Lissu...
Nani atasimama jukwaani, azungumze na akubalike kwa watanzania ili kumsaidia John kujibu hoja za mbeba maono? John hawezi kupangiilia hoja akaielezea na ikaeleweka. Anahitaji wasemaji wazuri.
Kulikuwa na vichwa mahili kama vile Nape, Kinana, Makamba Sr & Jr, Mwigulu na Bulembo. Lkn wote hawa...
Mods naomba msiunganishe Uzi huu ubaki kama ulivyo. Natumaini hamjambo wana JF wenzangu.
Nilirudi kwenye hoja yangu ya msingi. Ni dhahiri kuwa kutokana na janga lililoikumba dunia na hatua zilizochukuliwa na kila nchi, hapa kwetu Tanzania hatua zilizochukuliwa na Rais wetu zimeonekana...
Wasalaam,
Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .
Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.
Mathalani...
Wana jamvi wasalaam,
Huku mtaani kwetu ile hoja maarufu iliyodumu takribani miaka mitatu ya kuwa upinzani especially CHADEMA imekufa imejifia na wapambe wa hoja hiyo wameingia hofu.
CCM wanajua sana kula na vipofu, kwa muono wangu nahisi waliitangaza hoja wakijua bwana Fulani hupenda kuskia...
Katika mkutano wa mapokezi ya wagombea urais kwa tiketi ya ACT, mheshimiwa Membe alipewa dakika chache tu za kuwasalimia wazanzibari, katika dakika hizo Membe aliongea mambo mawili ambayo yaliwafurahisha sana Wazanzibari nayo ni
1)Mamlaka ya nchi ya Zanzibar ndani ya muungano
2) Kuwarudisha...
Amani ya Mungu alie mbinguni iwe juu ya Watanzania wote.
Juzi mzee Butiku amesikika akisisitiza watu kutuwaogopa viongozi ambao ni wanadamu wenzetu, ambao kimsingi tukiwapigia kura, wanakuwa ni watumishi wetu kwa kukusanya kodi na kusimamia shughuli za maendeleo.
Hata maandikiko matakatifu...
Habari zenu watanzania!
Huu ni mwaka wa uchaguzi ambapo zimebaki miezi michache chama chetu pendwa ccm kwenda kujinyakulia ushindi wake wa kishindo kuanzia kuanzia ngazi ya za chini kabisa hadi urais...
Jitokezeni kwa wingi kusapoti chama chenye uhakika wa kushinda ili mpendwa wetu Jpm...
Najua pengine ukali wa speech zako kwa namna Fulani unachangiwa na madhila uliyopitia ambayo Mungu wa Rehema alikuepusha.
Labda tu kukushauri unapoanza safari ndefu ya kampeni katika kuwaomba watanzania wakuchague jaribu kuwa moderate unapokuwa unatoa speech zako na pia jikite Zaidi katika...
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo...
Vitus Nkuna: Tumepata Shida Sana.
Jibu: Hizi ni kelele na wala sio hoja. Hujasema wazi ni shida zipi, kwani zipo shida za uvivu, shida za ndoa n.k. Muungwana hasemi kama hana ushahidi wa kusema wazi. Mjinga anasema kwa kuwa ni kawaida kusemasema ovyo ovyo!
Vitus Nkuna: Ndugu zetu wamepotezwa...
Muda mfupi mh Tundu Lissu atakuwa mbashara kuanzia saa 8: 00 mchana,Vituo vitakavyokuwa live Ni @standardKenya na @KTNNews, hii Ni kwamjibu wa Tumaini Makene
======
Mwandishi: Mchakato wa kupona ulikuwaje?
Lissu: Asante kwa kushiriki kwenye kipindi chenu na kuongea na wananchi wa Kenya kuhusu...
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama
HOJA
1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa
2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU
3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote.
4...
Nimefurahishwa sana na mahojiano kati ya Zitto na Mwandishi wa BBC,Idhaa ya Kiswahili,Sammy Awami kuhusiana na swala zima la uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu.
Nimefurahishwa zaidi na busara,utulivu na umakini wa Zitto katika kujibu maswali huku akionyesha kukomaa kisiasa hasa anaposisitiza...
Tunalaani suala la kuwekwa ndani Sheikh Ponda eti kwa waraka. Hii imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa Kiislamu huku viongozi wa dini nyingine wakisema watakavyo hata kushawishi maandamano. Huu ni uonevu wa hali ya juu wa vyimbo vya dola kwa Waislamu
#KomeshaUkandamizajiWaKiaheriaNaUtekaji...
Wanabodi,
Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa.
Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo...
Lissu, a human rights and environmental lawyer, is a vocal critic of government corruption and the current president, John Magufuli. He has been arrested several times in the past and still has charges of uttering seditious words against the Tanzanian state authority outstanding against him...
Ki ukweli, tukiachana na itikadi za ki chama, bado upinzani hawana mkakati mathubuti wa kushika dola.
Bado, hawana hoja nzito na za kudumu za kuwashiwish wananchi hadi waamue kuwapigania wakanate dola.
Hoja zao ni nyepesi mno, na hata hivyo hazi click sana kwa majority ya watanzania.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.