LWAITAMA / VUTA NIKUVUTE HOJA YA MAJIMBO / USHINDANI MKALI 2020.. Part 1
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini Dkt. Azaveli Lwaitama amesema ushindani katika uchaguzi wa mwaka 2020 ni mkali hasa katika kueleza hoja za maendeleo ya taifa. Lwaitama amezungumza hayo kwenye mahojiano maalum na MwanaHALISI TV...
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini Dkt. Azaveli Lwaitama amesema ushindani katika uchaguzi wa mwaka 2020 ni mkali hasa katika kueleza hoja za maendeleo ya taifa. Lwaitama amezungumza hayo kwenye mahojiano maalum na MwanaHALISI TV...