Deogratias Mutungi
Senior Member
- Oct 1, 2019
- 137
- 179
HOJA ZA DK HUSSEIN MWINYI ZINATOSHA KUMPA NCHI OKTOBA, 28
Dkt. Hussein Mwinyi mgombea wa nafasi ya Urais Zanzibar anastahili kuchaguliwa kwa kura za ndio nyingi na kupewa nchi ili awaongoze Wazanzibar, nimefatilia mikutano yake ya kampeni na kubaini kuwa ni miongoni mwa wagombea bora wenye kujenga hoja zinazo mulika kutatua matatizo ya Wazanzibari, Mwinyi anaendesha siasa za hoja na ahadi mpya za kutatua kero wala si mashambulizi kwa wenzake, Pia hoja zake zinajikita kwenye ubunifu wa vyanzo vipya vya ajira kwa Wazanzibari.
Aidha Mwinyi anaguswa fika kizalendo na changamoto za Wazanzibari na ndio maana yupo tayari kuziishi na kuzitatua kwa vyovyote vile.
Mpaka sasa nimegundua Dkt. Mwinyi ana uwezo wa kipekee wa kujenga hoja za Kiuchumi dhidi ya watu na vitu aidha ni mwanaujamaa anayeamini katika falsafa ya kuwakomboa watu wa rika la chini ambao ndio wenye huitaji zaidi, Kwa kutumia jicho la tatu Zanzibar iliyostawi chini ya Mwinyi inarejea mikononi mwa Wazanzibari, Ni rai yangu kuomba Wazanzibar kuitumia fursa hii ya kumchagua kwa wingi Dkt. Mwinyi ili aweze kutimiza ndoto zao, ni nadra sana taifa kuwapata viongozi wenye kariba ya Mwinyi, hivo tuitumie vema fursa hii.
Ndoto za Dkt. Mwinyi kwa Wana-Zanzibar ni ndoto za kizalendo ambazo uwezi kuzisikia kwa kiongozi mwingine kati ya wanaogombea urais visiwani humo.
Dkt. Hussein Mwinyi mgombea wa nafasi ya Urais Zanzibar anastahili kuchaguliwa kwa kura za ndio nyingi na kupewa nchi ili awaongoze Wazanzibar, nimefatilia mikutano yake ya kampeni na kubaini kuwa ni miongoni mwa wagombea bora wenye kujenga hoja zinazo mulika kutatua matatizo ya Wazanzibari, Mwinyi anaendesha siasa za hoja na ahadi mpya za kutatua kero wala si mashambulizi kwa wenzake, Pia hoja zake zinajikita kwenye ubunifu wa vyanzo vipya vya ajira kwa Wazanzibari.
Aidha Mwinyi anaguswa fika kizalendo na changamoto za Wazanzibari na ndio maana yupo tayari kuziishi na kuzitatua kwa vyovyote vile.
Mpaka sasa nimegundua Dkt. Mwinyi ana uwezo wa kipekee wa kujenga hoja za Kiuchumi dhidi ya watu na vitu aidha ni mwanaujamaa anayeamini katika falsafa ya kuwakomboa watu wa rika la chini ambao ndio wenye huitaji zaidi, Kwa kutumia jicho la tatu Zanzibar iliyostawi chini ya Mwinyi inarejea mikononi mwa Wazanzibari, Ni rai yangu kuomba Wazanzibar kuitumia fursa hii ya kumchagua kwa wingi Dkt. Mwinyi ili aweze kutimiza ndoto zao, ni nadra sana taifa kuwapata viongozi wenye kariba ya Mwinyi, hivo tuitumie vema fursa hii.
Ndoto za Dkt. Mwinyi kwa Wana-Zanzibar ni ndoto za kizalendo ambazo uwezi kuzisikia kwa kiongozi mwingine kati ya wanaogombea urais visiwani humo.