historia

Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Mwita Waitara awa lulu mkoani Mara aweka historia ya kupokea wanachama zaidi ys 1400 kutoka CHADEMA na vyama vingine vya upinzani

    Mbunge wa ukonga mh Mwita Waitara amepokea wanachama wapya zaidi ya 1400 waliojiunga na CCM wakitokea Chadema na vyama vingine vya upinzani. Waitara ameweka historia ya kuwa kiongozi wa kwanza mkoani Mara na pengine Tanzania nzima kwa kuweza kupokea " Lundo" la wapinzani wanaojiunga CCM kwa...
  2. D

    Tukumbushane historia ya influenza /corona/ kirusi cha mafua duniani

    Ugonjwa huu uliwai kuibuka duniani mwaka 1918 ambapo uliua watu takribani milioni 50 duniani, ulikuwa unaitwa Flu Influenza epidemiki H1 N1 ambapo wanasema ulianzia Uhispania na China baadaye kuenea Ulaya, Asia, Amerika na afrika. Historia haisemi wazi wazi kuwa vita ya kwanza ilisitiswa na...
  3. GodstarTZ

    Kumbukumbu zangu: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka wanadiplomasia wao wanne

    Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo ilitokea nchini Lebanon mnamo mwaka 1985. Mnamo mwezi wa tisa, tarehe 30, mwaka 1985, kundi la watu...
  4. Pascal Mayalla

    Wito: CJ Prof. Ibrahim Juma, make a historia kwa Mahakama kutimiza wajibu wake kulinda haki. Tumia Suo Moto kui-check Serikali pia ruhusu Pro Bono

    Wanabodi Samahani. Naomba kuanza na kuomba msamaha kwa kutumia maneno ambayo sio ya lugha ya Kiswahili wala lugha ya Kiingereza bali ni maneno ya lugha ya Kilatini kwasababu sikijui Kiswahili chake, wala Kiingereza chake, ni maneno ambayo yanafundishwa hivyo hivyo. Imani Kubwa na Jaji Mkuu wa...
  5. Sudi jr

    Magonjwa hatari zaidi yalioua watu wengi katika historia ya dunia kuanzia 167AD -2020

    ANTONINE PLAGUE (165 AD) daeth toll: 5 million cause: Unknown Location: Rome ( uliambukizwa na askari ya waliofika Rome kutoka mesopotania- 165AD) maeneo yaliyo athirika zaidi Greece, egypt, Asia, PLAGUE OF JUSTINIAN (541-542) Death Toll: 25 million Cause: Bubonic Plague Location...
  6. MsemajiUkweli

    Mbatia awashukia CHADEMA, adai ni wabinafsi na wasiojua historia ya mageuzi nchini! Adai wakiendelea kumwita msaliti atamwaga siri zao

    Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi na Mbunge wa Vunjo, James Mbatia ametoa tuhuma kali kwa chama cha CHADEMA kwa kudai kuwa hawajui historia ya mageuzi nchini ndio maana wanadhani mwanachama wa CHADEMA akihamia NCCR-Mageuzi ni usaliti bila kujua kuwa viongozi wengi ndani ya CHADEMA walikuwa...
  7. Elius W Ndabila

    Upinzani historia inawahukumu

    Leo asubuhi nilipoamka nilikutana na Tweet moja ya Mh. Jakaya Kikwete Rais Mstaafu wa Tanzania. Twitter iliandikwa hivi, ‘’ What a wonderful bird's eye view of our beautiful Mount Kilimanjaro, I was able to capture today February 12th, 2020. I was on a TGFA flight from Nairobi to Dar es Salaam...
  8. Habibu B. Anga

    Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

    Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata kitabu changu cha "OPARESHENI ZA KIJASUSI ZILIZOFANIKIWA ZAIDI" Kitabu hiki kina kurasa 214 na...
  9. wakusoma

    Nani mwenye historia ya John Rupia, Mwana TANU na tajiri wa kwanza mweusi mitaa ya Kariakoo?

    Mwenye ndondoo za mzee wetu huyu marehemu atushushie. Inasemekana alikuwa mfadhili wa TANU na tajiri wa Kariakoo.
  10. getrusa

    Ni ipi historia ya Uganda?

    Wakuu nimeona taarifa za kuuwawa kwa mmoja kati ya maofisa wa polisi Uganda Jambo hili limenipa tafakuri kidogo kutaka kujua historia ya kiutawala ama kiuongozi ya Uganda tangu kupata kwao uhuru. Siyajui mengi lakini kwa kile kidogo ninachofahamu Uganda imepita katika machafuko kadhaa kabla ya...
  11. kbm

    Historia ya Daraja la Selander la Jijini Dar es Salaam

    Naomba kujua kuhusu daraja la Salender ambalo liko jijini Dar es Salaam 1. Lilijengwa mwaka gani. 2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo. 3. Na ni nani aliyesimama ujenzi kipindi hicho. 4. Na kwa nini eneo hilo la barabara na daraja hilo linaonekana liko imara sana. 5. Na...
  12. S

    Historia ya kisiwa cha Mafia

    LOCATION:- Mafia ni kisiwa kilichopo ndani ya bahari ya hindi,kina jumla wakazi 46,000 kwa sensa ya 2012.Kinapatikana katika mkoa wa pwani. Kutoka jijini Dar es salaam, kuna njia tatu kuu 1.Usafiri wa majahazi (kisiju) 2.Usafiri wa boti (nyamisati) 3.Usafiri wa ndege (JNIA) WAKAZI WAKE...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ifahamu historia ya Ziwa Nyasa

    IFAHAMU HISTORIA YA ZIWA NYASA Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki ikiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria Nyanza na Ziwa Tanganyika. Lina urefu wa 560 km na upana wa 50-80 km. Vilindi vyake vinaelekea hadi mita...
  14. babalao 2

    Mjue Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa undani

    HISTORIA FUPI YA MWALIMU NYERERE MPAKA MAUTI YALIPOMFIKA Tarehe ya kuzaliwa: 13 Aprili 1922 Mahali pa kuzaliwa: Butiama Tarehe ya kifo: 14 Oktoba 1999 Rais wa kwanza wa Tanzania: Alingia ofisini 1964 - 1985 Alifuatwa na: Ali Hassan Mwinyi Dini: Mkristo Mkatoliki Elimu yake Chuo Kikuu cha...
  15. Deejay nasmile

    Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

    Mfano 1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.? 2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
  16. duet

    Naomba kujuzwa historia ya Wakinga

    Naomba kujua historia ya Wakinga, asili, tamaduni na mengineyo.
  17. Echolima

    Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

    Jana wakati naangalia TBC Kwenye sherehe za Mashujaa zilizoongozwa na Rais nilipatwa na masikitiko makubwa sana hasa nilipouona ule Mnara wa MASHUJAA wa vita vya Kagera niliwakumbuka sana wapiganaji wenzangu waliopoteza maisha yao wakiwa mstari wa mbele wa mapambano ya kuuondoa Utawala wa Nduli...
Back
Top Bottom