historia

Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Historia ya Marehemu

    HISTORIA YA MAREHEMU Na, Robert Heriel Alikuwa rafiki yangu mkubwa, alipo nilikuwepo, alichopenda nilikipenda, alichochukia nilikichukia. Watu wengi walituona ndugu. Wengine walituita mapacha tusiofanana. Kumbukumbu zake mpaka leo hii zinaniumiza, zinaujaza moyo wangu huzuni kuu, ni rafiki...
  2. P

    Historia kuandikwa leo Tanzania: Yanga na Laliga kusaini mkataba wa mchakato wa mabadiliko wa mfumo wa klabu

    WanaJF, Leo kuanzia saa moja usiku nchi itazizima kwa kufanyika tukio kubwa la kihistoria hapa nchini wakati mabingwa kwa kihistoria nchini, Yanga na kampuni ya Laliga ya Spain watakapokuwa wanaingia mkataba wa kuanza kwa mchakato wa mabadiliko ya mfum wa uendeshaji wa timu ya Yanga Mchakato...
  3. R

    China na historia mbaya ya kueneza magonjwa duniani (pandemics): The case of Bubonic Plague

    .... imeandikwa kuwa the Black Death ambayo iliua karibu 60% ya watu duniani ilianzia China. The Black Death: What Bubonic Plague Reveals About COVID-19 Coronavirus Pandemic The so-called Black Death, or pandemic of the Middle Ages, began in China and made its way to Europe, causing the death...
  4. YEHODAYA

    Masomo ya Civics, Kiswahili na Historia yaondelewe yawekwe ya Kilimo, Ufugaji na Ufundi

    Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo Masomo ya O level kama Kiswahili, Civics na Historia yanapoteza tu muda watoto. Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na raslimali...
  5. Mohamed Said

    Kama nilivyowaona katika utafiti wa historia ya Tanganyika

    KAMA NILIVYOWAONA KATIKA UTAFITI WA HISTORIA YA TANGANYIKA BARAZA LA MAWAZIRI WA TANGANYIKA 1963 Julius K. Nyerere, 41 years old, President Rashidi Mfaume Kawawa, 34 years old, Vice-President Sheikh Amri Karuta Abedi, 39 years old, Minister of Justice Derek Noel Maclean Bryceson, 40 years...
  6. P

    Historia yangu ya mapenzi iliyoniachia Makovu kiuchumi na kisa cha Maskini akipata matako hulia Mbwata

    Ukisikia usemi “ Maskini akipata matako hulia Mbwata” basi mimi ni mfano halisi wa hili, 2010 mwishoni kabisa nikiwa bado bwana mdogo tu, around 20’s na Bahati ikawa upande wangu nikawa tayari nimepata ajira katika moja ya taasisi inayolipa vizuri mno hapa nchini. Account yangu ya bank ikawa...
  7. mheshimiwamtemi

    Historia ya "Shikamoo"

    "Shikamoo" limekuwa ni neno linalotumika kuonesha heshima baina ya watu. Desturi na tamaduni za Afrika mashariki hutumia neno hili kama salamu ambapo anayeitikia husema "Marhaba". Pengine umewahi kujiuliza mini hasa maana ya "Shikamoo" Binafsi nakumbuka kuna Mzee mmoja aliwahi kunitukana...
  8. anonymousafrica

    Historia & Shujaa: Dedan Kimathi, Afrika na Uafrika Vol. 1

    Alizaliwa, akapambana na kuuliwa kikatili, tofauti na wengine, yeye hata nchi yake ilipanga kufutilia mbali historia yake na kumtambua. Marehem akumbukwe kwa mazuri bwana. Hata anapopumzika ajiskie kweli alifanya kitu. Hii ni imani yangu mimi muafrika, kama hyukubali pole sana. Awamu mbili za...
  9. anonymousafrica

    HISTORIA: Josiah Mwangi Kariuki, Afrika na Uafrika VOL 1

    Josiah Mwangi Kariuki, almaarufu kama J.M Kariuki. Mwanaharakati na mwanasiasa na maarufu, aliyekaa gerezani kama mwanachama wa Mau Mau, kundi ambalo lilikuwa limepigania uhuru wa Kenya mnamo 1963. Aliyechaguliwa kwenye bunge la Kenya na kuwa mtu muhimu kwa Rais wa Kenya. Mtu mwenye chachu ya...
  10. Jile79

    Yafahamu magonjwa 20 ya mlipuko mabaya zaidi katika historia ya dunia

    Awali ya yote napenda kutoa pole nyingi kwa Watz walioathirika na hili gonjwa kwa namna moja ama nyingine huku wakiendelea kupambana na Ugonjwa wa Corona kila mtu kwa staili yake tukiwa tumepoteza mwelekeo hasa baada ya wataalamu na wanasiasa nchini kutofautiana katika mbinu za kukabiliana na...
  11. anonymousafrica

    Historia: Chuo Kikuu cha Timbuktu, Afrika na uafrika vol 1

    Miaka ya 2000, msanii wa mtindo wa Hiphop kutoka Marekani #Nas alitamba kwa nyimbo ya i can. Nyimbo ambayo iliimbwa na inaimbwa na wengi pale tu wanapositia mdundo au kuskia kiitikio chake kitamu. Dakika ya 2 sek 42 anaanza kuzungumzia urithi wa Afrika. Hakuacha kuitaja timbuktu kama sehemu...
  12. anonymousafrica

    Historia: Chuo kikuu cha Timbuktu, Afrika na Uafrika vol 1

    Miaka ya 2000, msanii wa mtindo wa Hiphop kutoka Marekani #Nas alitamba kwa nyimbo ya i can. Nyimbo ambayo iliimbwa na inaimbwa na wengi pale tu wanapositia mdundo au kuskia kiitikio chake kitamu. Dakika ya 2 sek 42 anaanza kuzungumzia urithi wa Afrika. Hakuacha kuitaja timbuktu kama sehemu...
  13. R

    Uzembe wa wanasayansi na Serikali za Duniani hii ni wa kulaumiwa kuhusu pandemics. Hawakujifunza kutokana na historia ya Spanish flu!.

    Hii inaonyesha wazi kuwa dunia yetu tu wazembe na tunastahili tunachokipata, ingawa watoto wetu wadogo hawana makosa ya madhira wanayoyapata. Soma hii excerpt from CDC "The 1918 H1N1 flu virus caused the deadliest pandemic of the 20th century. To better understand this deadly virus, an expert...
  14. Askarimtu

    Jifunze Kichagga (Vunjo) & na historia ya Wanyiramba

    Salam, Lugha hii ya kichagga (vunjo) ni katika daraja la mwanzo (elementary level). Hongera kwa waandishi. Lengo ni kusambaza ujuzi tu. Nyie wanyiramba kumbe ni watu wa kutoka Sudan?? Stay safe and enjoy!
  15. marco polo jr

    Historia katika picha hivi ndivyo dikteta Kwame Nkurumah alivyopinduliwa Ghana 1966

    Hio ilikuwa mwaka 1966 baada ya waghana kuchoshwa na udikteta wa kwame nkurumah ambaye alijifanya Mungu mtu alikuwa hataki kukosolewa alipinduliwa akaenda kuishi uhamishoni guinea ambako alifia huko
  16. Mag3

    Once bitten, twice shy...je historia itajirudia?

    Historia ni kumbukumbu, historia ni mwalimu, historia haidanganyi, historia hutahadharisha na historia hutoa funzo na hujirudia baada ya muda fulani na katika nyakati tofauti. Flashback: Mwaka 2011 dawa ya ajabu ilidaiwa kupatikana. Hii dawa ilidaiwa kutibu si tu ugonjwa moja, hapana, dawa...
  17. J

    Spika Ndugai asipokuwa makini bunge " lake" linaweza kuweka Historia hasi ya ajabu kabisa duniani

    Tujikumbushe; 1. Tundu Lissu alitunguliwa marisasi akiwa anahudhuria vikao vya bunge. 2. Kitwanga alitumbuliwa baada ya kuingia bungeni akiwa amelewa chakari 3. Bunge lilimuhoji CAG na kumkagua 4. Nassari alifukuzwa ubunge kwa kosa la kumsindikiza mkewe kujifungua 5. Wabunge zaidi ya 10...
  18. Apps-tz

    Je, unahitaji kupata historia sahihi ya matumizi ya pesa zako? Tumia njia hii

    Bila shaka unaweza ukawa ni mmoja ya watu ambao ulishawahi kufanya miamala na ukahitaji kupata historia ya miamala yako yote kwenye mpangilio mzuri, ili uweze kubajeti pesa zako au kufahamu vizuri matumizi yako. Lakini changamoto ni kwamba kuna ugumu katika kupata historia ya matumizi yako hasa...
  19. wazanaki

    Hebu tujikumbushe historia kidogo

    TUMETOKA MBALI WAKUU
  20. Allein mushi

    Je, waijua Historia ya Gwiji wa Soka Ronaldinho Gaucho?

    Mwaka 1983 Brazil waliingia katika msiba mzito kisoka pale walipompoteza gwiji wao Manuel Francisco dos Santos almaarufu kwa jina la Garincha. Garincha ni moja ya kizazi cha dhahabu cha soka la Brazil kilichoibuka mwishoni mwa miaka ya 1950s akiingoza vyema nchi hiyo kunyakua ubingwa wa dunia...
Back
Top Bottom