Wakuu salamu popote mlipo, pia poleni na heka heka za kila siku maana kwa ground mambo ni magumu sana, tuendelee kujitafta.
Nirudi kwenye key, kwa ufupi sana:......
"wewe legendary kama uliweza kujinasua na kutoka kabisa kwenye mfumo wa kujichukulia sheria mkononi, hakika siti yako ipo mbele...