King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).
Kila nikiwaza hatima yangu na ya taifa langu naona njia nyingi haziwezi kutuletea suruhu
Mfano njia za
Kisayansi/teknolojia
Sisi kama taifa bado tupo nyuma sana hatuna mbinu Bora za kisayansi za kutuwezesha kutatua changamoto zinazotukabiri,
Kisiasa/kidemokrasia
Kwenye siasa naona...
Nafuatilia kwa karibu sana mitandaoni hii vita vya Iran marekanani na Israel.. Ni wazi sasa propaganda imehamia kwenye AI kwa asilimia 100
Video zinazorushwa kina AI nyingi sana mpaka kuna baadhi unashindwa kutofautisha halisi na feki
Lakini pia ni mwanzo wa vita ijayo itakuwa ni laser war tupu...
Kuna Ile umemtembelea mgonjwa halafu baada ya muda kidogo anakwambia nifatie maji ya kunywa
Ile unatoka tu kurudi unakuta mtu hauko nae Tena
Je umewahi kukutana na Hali ya namna hiyo ni machungu kiasi gan ulipitia
Na je ulichukua hatua gani
Why ukisha mvua nguo tu mwanamke ukitoka njee ya kile chumba una kua una mdharau una mchukulia ni mtu wa kawaida sana ata kama uli angaika kumpata?
Hii ni kwangu tu au
Habari Wajamii,
Mod ukifuta uzi litakukuta jambo...
Leo nataka tuzungumze kuhusu kitu kipya ambacho kimezinduliwa hapa Tanzania — Pendeza Booking App — app inayolenga kubadilisha jinsi tunavyohifadhi na kupata huduma za uzuri (salons, barbershops, spas, na zaidi).
📱 App hii ni nini hasa...
Kenya Power has explained why some customers are now getting fewer electricity units for the same token amount.
If you buy tokens worth Ksh 3,000, up to 20% (about Ksh 600) may be automatically deducted to clear arrears, leaving less money to buy units.
Also, tariffs depend on your average...
Hapa tunazugumzia bilionea alietengeneza empire yake kwa kuwa master wa man-magement, corporate na negotiations.
Mwamba wa miaka 79, kasimama lisaa limoja na nusu, bila makaratasi bila maneno ya siasa bali akiwa na confidence na facts za mambo aliyoyafanya.
Mwamba amesimama muda wote...
https://youtu.be/UiIa2i29PZ4?si=2FBzIVDQBmQWwV81
Sikiliza mistari, mstari kwa mstari
Sikiliza beat, sijui nani aliwatengenezea
Sikiliza Father Nelly(RIP) anavyonata na hilo beat
Sikiliza ujumbe mzito, ujumbe relevant mpaka leo
Ninazijua nyimbo zote za Rap toka 2010s kushuka chini. Nawajua...
Wanangu wa kubeti chukuweni notis hii hapa najua itakuwa ngumu sana kuaminika kwasababu wengi wenu wanaamini ni impossible na wengine wataniuliza kwanini mimi sijabeti hivo 😀😃😄 ila any way huu ndo ukweli wa matokeo kama nitadanganya nitukaneni vyovyote mtakavyojua au kama mtabisha subirini...
Kuna mambo mengine ya kipumbavu sana.
Nimekua nasoma habari za mmoja wa wanaharakati wa Tanzania kunusurika kutekwa huko nchini Nairobi, na mmoja wa watekaji amekimbia na wengine wamekamatwa.
Nimekua najiuliza hii kidiplomasia imekaaje? Je sio ni kama kitendo Cha uvamizi kwenye nchi husika...
Nilipata dili safi, nikamtafuta huyu ninayemwita “rafiki” twende tukapige kazi tugawane 50/50 kama wanaume.
Kumbe mwenzangu ana roho ya korosho.
Bila kuniambia neno, akaenda kwa boss aliyenipa kazi nyuma ya mgongo wangu. Kufika huko akauliza nimemchaji sh ngapi. Akaambiwa ile ile bei...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Tanzania Tupo level za juu sana, tupo mbali sana ,tunacheza katika anga letu linapokuja suala la mikakati na mipango. Sisi ni Taifa kubwa ,sisi ni Taifa La Mungu ,Sisi Ni Taifa Barikiwa,Sisi Ni Mpango wa Mungu.
Napata raha sana ,napata furaha sana ,nakoshwa...
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema wanafunzi wa uhandisi watakaoleta suluhu ya changamoto zinazokabili nchi ikiwemo ujenzi na marekebisho ya barabara, pamoja na tatizo la foleni watazawadiwa milioni 10.
Napoandika hii post leo, na siku za karibuni waziri mkuu amekuwa ziarani Mkoa wa Kilimanjaro, naomba na kumsihi Waziri Mkuu aifanyie uchunguzi ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi mjini, mipango miji na TARURA kwa kula rushwa nakuuza maneno ya wazi au kuwezesha maneno ya wazi kuuzwa kwa watu...
Anonymous
Thread
backbenchers
fichua
fichua rushwa
fichua uovu
hii
manispaa ya moshi mjini
mkuu
tanganyika amka
wananchi tumechoka
waziri
waziri mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.