Wengi tumezoea yale meno ya kwenye viatu vya mpira ndiyo njumu. Lakini asili kabisa ya neno njumu ni hako kakipele wanakoweka mbele ya rungu.
Hako ni hatari sana. Ndiko kanapasua fuvu la kichwa. Wamasai wanatumia sana marungu yenye njumu. Kama kuna mtu anafahamu yanakouzwa anijulishe...