Kiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa ila katika kizazi hichi tulicho sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.
Bongo Flava Star Harmonize is reportedly under arrest in Kenya and is being held Kileleshwa police station, a day after headlining the Afrika Moja Concert at the KICC, Citizen TV has reported.
Harmonize, who was supposed to leave the country on Sunday, was arrested after he reportedly failed to...
Harmonize ametiwa mbaroni na yuko jela hapa Kenya sasa hivi. Amekamatwa kwa utapeli. Inasemekana amelipwa pesa ila amekataa kufanya show. Ila kuna jambo limefanyika kati ya Eric Omondi na Harmonize ambalo hatuelewi.
Kijana anapeperusha vyema bendera naskia analipwa shows hatokei kafatwa hotelini mabaunsa wake wanaleta ubabe kamzengua hadi Omondi na Mike sonko, wanadai kuna holidays huko sijui ni Idd au msiba wa kibaki ila inawezekana akakaa ndani hadi Alhamisi.
===
More
Tanzanian Bongo Star Harmonize is...
Harmonize alikuwa na show nchini Kenya lakini kwa mara nyingine tena amekosa watu kama kawaida yake akifanya shows nje ya Tanzania.
Na alipojaribu kutoroka hiyo aibu aliishia kukoswa koswa na kipigo kitakatifu kutoka kwa wakenya wachache waliojitokeza.
Bahati nzuri polisi waliwahi na kumchukua...
Kwa kifupi harmonize ana muonekano wa kishamba sana yani hata afanyeje hawezi kubadilika hata mambo anayoyafanya ni kishamba sana yani ni ya ajabu mpaka anajiaibisha kila kukicha.
Hata akipiga picha huwa hapendezi ana vimapozi flani hivi vya kindezi ndezi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mpangilio wa mambo yake pia ni...
Mimi nimeona nisiwe mnafki huyu mmakonde akitulia huwa anafanya unyama Sana,
tangu asubuhi wimbo naurudia rudia tu.
Japo marioo naye hajapoa lakini nachelea kusema harmonize kamfunika marioo Sana mule.
Hii ni moja ya collabo bora Sana maana imejumuisha vichwa viwili na wala sio vilaza..
Kwa...
Koh koh koh, yooooo jeshiiiiiiii , views for everibadeee
Cha ajabu jamaa hajali kabisa na anajiona tembo, kapost kwenye page yake kujipongeza huku akila mafegi kho!! Kho!! Kho!!
Views milioni 1.3 hizo ndani ya sekunde 30😳😳 ..... Koh koh koh, Konde gang mziki umewashinda kihivyo mpaka mnunue...
Kama ilivyo kawaida, kwenye maisha, kila mtu ana nafasi au zamu yake ya kung’ara na kutaradadi. Ndivyo ilivyo katika maisha ya kila mtu haijalishi taaluma ama kitivo.
Katika ukanda wa Afrika mashariki, tasnia ya Sanaa ndio inaendelea kukua kila uchao, huku wasanii wapya wakikaribishwa katika...
Huyu konde boy alimkubali sana JPM kama watanzania wengi walivyomkubali hadi akaamua kuchora bonge la tatoo mguuni
Konde boy sio msaliti kama vijana wengi walianza kumnanga JPM alipofariki .
Hii picha alipiga juzi kwenye Tuzo za kilimanjaro, ambapo alichukia Tuzo tatu
USSR
The unstoppable musician,The musician with megahit songs,The favorite musician of everyone who loves good music in Tanzania and East Africa in General, Harmonize,I pray to this dude to reunite with his old lover so that he can't get depression.
Ahlan wa Sahlan
Katika kuperuzi mtandaoni nimekutana na habari zinazotrend zinazomuhusu mwanamuziki Harmonize aka Bakhresa kuwa anapigana juu chini ili aweze kurudiana na muigizaji Kajala.
Kwa haraka haraka mtu anaweza kusema kuwa Harmonize anatafuta kiki ili atrend mitandaoni ila kwa jicho la...
Usiku wa jana kijana Harmonize kuna video zilisambaa na picha akionyesha kumsujudia Madam Ritha angalia hiyo picha hapo
Chanzo cha kumuabudu mwanadamu mwenzake anasema eti Madam Ritha baada ya kumkataa bongo star search ndio amemfanya afike hapo alipo
Kwa sasa hata mziki wake amekuwa hana...
Msanii wa Bongo Flava, Harmonize ameandika kupitia mtandao wake wa instagram sifa za Bakhresa na kusema Bakhresa ni mchapa kazi na hachagui biashara yoyote na kumsifia zaidi kwa kusema hana hulka ya kutembea na wafanyakazi.
Msanii huyo aliandika ujumbe mrefu wa kuelezea maana ya wimbo wake...
Mzee wa kuahirisha matukio
Kaanza Konde Mgahawa sijui uliishia wapi, mwaka juzi baada ya kuzindua Afro East Mlimani City, akasema mwezi wa tano 2020 atafanya show taifa siku ikafika kimya, akaja tena na idea ya kufanya show siku tatu mfululizo mwezi wa 11, 2020 huku akipewa support na EFM siku...
Naam,hayawi hayawi yaweza kuwa.
Katika suala la mshikamano katika jambo Fulani basi tofauti huwekwa pembeni na kuungana pamoja kutekeleza Hilo jambo kilolo mbele yenu.
Tangu taarifa za kuumwa kwa legend P Jay zitoke nimeshuhudia maelfu ya watu wameguswa mno na taarifa hizo mpaka kufikia hatua...
Harmonize ameanza kuipigia promo show yake ambayo inafanyika mnamo wa tarehe 5 March, katika matangazo hayo amewa-list wasanii wengi wa nje na wa ndani, ila Jux na Darrasa wamem-maindi baada ya kuyaweka majina yao bila ya kuongea na management zao.
Mimi ni shabiki sugu sana wa muziki haswa Bongofleva.Nilianza kuelewa muziki toka Niko mtoto Sana.
Lakini toka nimeanza kufuatilia muziki kamwe sijawahi ona msanii mwenye sauti nzuri na iliyo tamu kupitiliza Kama ya Cheed wa Kondegang.Kiukweli huyu mwana kajaliwa na sauti ya kipekee ambayo Ni...
Bado anaendelea kutoa video akiwa-tag wababe wa muziki wa bongo WCB ili iwe rahisi kuwafikia watu wengi.
Kiukweli kufanya muziki bongo bila support ya WCB hauwezi kutoboa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.