Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Feb 17, 2023
908
1,064
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?

InShot_20230315_100509644.jpg
 
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.

Image mtu kuuwa uraiyani anaita mtu hatari, na mtu huyohuyo kuuwa maelfu kwenye vita anaitwa shujaa.

Umejuaje hiyo ni ishara ya kusujudu?
 
Bange mbaya sana, madawa ya kulevya na kutrend vonawatoa akili sana hawa vijana wanafanya mambo ya hovyo
 
Back
Top Bottom