Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
Wamakonde manafeli wapi?
Ipi?Kwanza mimi na Aza na Wewe amemkosea Mwenyenzi Mungu ndio sahihi hiyo yako umekosea Toa Boriti lako kwanza
Sawa kakaUliposema tu "Wamakonde mnafeli wapi?" nikaona kua hata wewe umefeli,kwani Hamonize ndio anawakilisha wamakonde wote? kama ni lawama basi zielekeze kwa muhusika pekee na sio kwa jamii yake nzima.
Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Kama ni kweli bas ni zumbukukuUnamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
We dini gani na kama huna dini. Kagoogle kusudu nini?Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.
Image mtu kuuwa uraiyani anaita mtu hatari, na mtu huyohuyo kuuwa maelfu kwenye vita anaitwa shujaa.
Umejuaje hiyo ni ishara ya kusujudu?
Kamq ni kweli bas ni zumbukuku
Kumbe 🤣Anataka kumla tu, Kajala si alimsujudia hivyo hivyo!
ni Mungu sio mungu.Ipi?
Sawa mkuuni Mungu sio mungu.
yaani kosa la hamonise ndo wamakonde wote wamefeli? acha ujumuishiUnamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Hahahaha!!! Nahisi tafsiri tu na mtizamo wake ndo anataka uwe wa jamii nzima, unaweza sema kitu frani NI dhambi then kwa wengine ikawa kinyume chake.Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.
Image mtu kuuwa uraiyani anaita mtu hatari, na mtu huyohuyo kuuwa maelfu kwenye vita anaitwa shujaa.
Umejuaje hiyo ni ishara ya kusujudu?