ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Katika Nchii ya Tanzania linapokuja suala la muziki na wanamuziki wanaweza Kuimba nyimbo Kwa kizungu nadhani harmonize ni mmoja wa wasanii hao, ameweza kutoa hit song nyingi alizoimba kizungu kuliko hata msaniii namba Moja wa Tanzania yaani Diamond Platnums ambaye hajui kabisa kuimba kwa kizungu.
Japokuwa Harmonize ametengenezwa WCB nilikuwa nikitarajia Diamond ndie aliemfundisha Harmo kuimba kizungu, lakini iweje WCB nzima Diamond na Mbosso tu ndo hawajui Kuimba kizungu, Zuchu anajitahidi na Rayvanny ila hawajafika kwa Harmonize.
Kati ya mawe ya Harmo aliyoimba kizungu ni pamoja na Single again, Influencer, bedroom, serious love, miss bantu. Namsihi Diamond amtafute Harmonize apewe shule
Japokuwa Harmonize ametengenezwa WCB nilikuwa nikitarajia Diamond ndie aliemfundisha Harmo kuimba kizungu, lakini iweje WCB nzima Diamond na Mbosso tu ndo hawajui Kuimba kizungu, Zuchu anajitahidi na Rayvanny ila hawajafika kwa Harmonize.
Kati ya mawe ya Harmo aliyoimba kizungu ni pamoja na Single again, Influencer, bedroom, serious love, miss bantu. Namsihi Diamond amtafute Harmonize apewe shule