Unapoweka switch on kwenye gari lako ni vizuri ukahakikisha angalau taa hizi zifuatazo zinawaka kwenye dashboard ya gari lako. Taa hizo ni
1. Check engine
2. Oil pressure
3. Airbag
4. Coolant temperature
5. Battery
6. Automatic Transmission Temperature (Kama ipo)
7. ABS
In fact, Ni...
Mtangazaji wa Wasafi media aaliyah Mohamed azawadiwa gari na uongozi wake kwa kuonesha ufanisi mkubwa wa kazi.Ikumbukwe kuwa aaliyah ndiye mtangazaji wa kwanza kuajiliwa na Wasafi media na kabla ya hapo alikuwa anafanya kazi pale palipokuwa Ni office ya WCB label sinza .Baada ya kuonwa vizuri na...
Make: Eicher
Mode: truck
Model number: MC2B6
Year of manufacture: 2017
Engine Capacity: 3298
Fuel used: Diesel
Seating capacity: 3
Mileage: 15868
Price 32 Millions
Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa, unaweza kuja kuiona, inapatikana Tabata Kinyerezi, Dar es Salaam.
kwa mawasiliano zaidi 0713626992
Kwa yeyote anayeuza gari aina ya Toyota Wish au Toyota Volt basi mteja ushampata.
No C/D
Wasiliana na mimi kwa sms/whatsapp/ call 0699494650
DSM
Update1
*Nahitajii raum au ist namba d offer ya mteja million 6,
Whatsap picha 0699494650
A Japanese company has announced the successful test drive of a flying car.
Sky Drive Inc. conducted the public demonstration on August 25, the company said in a news release, at the Toyota Test Field, one of the largest in Japan and home to the car company’s development base. It was the first...
@mod nilikusudia kutumia neno "onyesho"
Licha ya Japan kukumbuwa na majanga ya kila aina, ila wao huko kwao hufanya mambo ya kiajabu sana yanayohitaji ubongo, Waafrika huku tuna kila kitu ila bado huwa tumechelewa balaa...
The SD-03 flying car
A Japanese company has announced the...
Habari wakuu Mwenye gari zuri no kuanzia B Nipo DSM kama upo nicheki.
Lakini lazima twende TRA,na polisi kwa ajili ya ukaguzi wa umiliki pia kutest gari umbali mrefu lisije kwenda kilomita moja likachemsha.
gari ndogo za kawaida isiwe
\
passo
vits
ist
Wakuu habari.
Nina safari ya kwenda Arusha siku ya Jumatano ama Alhamisi. Sasa naomba kujua basi ambalo ni luxury au basi semi luxury zuri lenye uhakika. Ni muda sijasafiri hiyo barabara, hivyo naomba kujua ni basi gari zuri na lenye huduma nzuri na zenye uhakika.
Ahsante.
Ilikuwa ni sehemu ya parking ya magari mengi sana, nilishangaa kila nikifumgua gari kwa remote , kuna gari nyingine kama mita 10 toka nilipo nayo ikawa inatoa mlio kama inafunguka, nikifunga kwa remote na yenyewe inatoa mlio kwamba inafunga sambamba na ile inayolengwa. Nikarudia hilo zoezi la...
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Mh. Tundu Lissu, leo ametembelea Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuchukua gari lake ambalo limehifadhiwa na Jeshi la Polisi Mkoa huo jaribio la mauaji...
Mwenyekiti wa timu ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Morogoro mjini kwa tiketi ya CHADEMA na dereva wa mgombea Ubunge wa Morogoro mjini Bi Devotha Minja wamekamatwa na Polisi muda huu huku mgombea huyo akisakwa baada ya kuwatoroka polisi.
Inadaiwa gari yake pia imekamatwa na ilikuwa ni katika...
Wakuu naomba ushauri wenu especially kwa anaejua. Nataka kununua gari kwa Mara ya kwanza, naishi Nyasa Ruvuma ambako barabara ni rough Sana. Naomba kujua gari gani dogo la bajeti rafiki linaloweza kuvumilia mazingira haya na kula mafuta kidogo?
Je, gari yako inatetemeka engine ikiwa ya baridi?
Je, engine ya gari yako inamisi inapokuwa ya baridi?
Je, gari yako ukiwasha inazima yenyewe mpaka uwashe mara kadhaa au uwashe na kupiga resi mara kadhaa ndio itulie isizime?
Kwanza kabisa kama ukiwasha gari unakimbilia kupiga resi basi...
Luke Marklin: CEO wa Bellhops Moving aliyemzawadia gari yake binafsi (Ford Escape) mfanyakazi mpya aliyetembea zaidi ya miles 20 ili awahi kazini.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the...
Nitampa kura Lissu au mgombea yeyote wa chama cha upinzani kwakuwa nataka kuona changes ndani yangu na ndani ya Tanzania.
Licha ya kuwa na nyumba ambayo nimeijenga kwa mkopo ninaokatwa kwenye mshahara wangu na gari niliyonunua kutokana na kusave posho kidogokidogo kura yangu kwa Lissu...
imeziba barabara ya Kilwa. Ni katikati ya Kipati na saba saba kwa Mpili
Inasemekana lilimshinda dereva na kuhama barabara na kuparamia nyumba na kuharibu mali za watu.
Kuna foleni kubwa sana.
UPDATES
Eneo ambalo gari liliaribu jana
Wakuu,
Nini kinaweza sababisha gari kutoa moshi mwingi wakati unawasha gari? Hili tatizo limeanza karibuni, haikuwa na hiyo Tabia, moshi ni mwingi sana huwezi kupaki ukaja kuwasha mbele ya watu. Itakuaibisha maana utadhani inaungua. Ukianza kuendesha unaisha au unabaki kidogo. Moshi ni...
Make : subaru
Model : Legacy
*Bei Mil 9.5 tu.
Engine code : Ej 20 non turbo
Engine capacity : 2000
Manufacturing year : 2005
Transmission semi automatic
Sport rims☑
Air conditioner ☑
Booster with projector light 💡☑
Real and front disc brakes ☑
Muffler with crazy sounds ☑
piga simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.