gari

  1. M-FINANCE

    Nataka Mkopo wa haraka wa Milion 4.5 naweka gari Dhamana

    Nataka mkopo wa 4.5m Kabla ya saa 10, naweka gari dhamana, kwakweli nina shida ya haraka, Mashart ntayafuata atakayo Gari ni Vits new model ya mwaka 2009, Napatikana Dar as salaam
  2. mwanamwana

    Kibiti: Rais Magufuli aamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance

    Rais Magufuli akiwa Ikwiriri wakati akitoka kwenye Mazishi ya Mzee Mkapa, baada ya kusikiliza kero za wanaikwiriri hususani suala zima la afya ameamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance mpaka hapo halmashauri hiyo itakapopata machungu na kutengeneza...
  3. JituMirabaMinne

    Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

    Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1. Kijani/Blue 2. Njano/Rangi ya machungwa 3. Nyekundu Namba moja ipo tu kwa ajili ya kukupa taarifa...
  4. Pdidy

    Gari la mtangaza nia wa CCM, Enock Bwigane lapata ajali. Dereva aaga dunia

    NDUGU yangu NAJUA hunijui Omba Salii funga sanaa UKIONA vita imeanza hivi MDA WA kujifunga mkanda na Mungu ama upande WA pili asimame NA wewe mpaka MWISHO WA kampeni POLENI sana wafiwa pole sana kaka ERICK kwa kuhairbikiwa GARI Aliefariki ni dereva wake === Gari ya Mtangazaji wa TBC Enock...
  5. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine ya gari lako kuzimazima (Engine Stalling)

    Asilimia kubwa ya matatizo ya engine kuzimazima yanasababishwa na components za umeme kama Sensors, Valves, solenoids n.k. Engine inaweza kuzima muda wowote mfano wakati ipo idle, wakati unaaccelerate, wakati unafunga brake n.k. Sababu zote zinazoweza kupelekea tatizo hili zinaingia katika...
  6. blakafro

    Gari mbili za tani 3.5 box body zinakodishwa. Hesabu Tsh. 65,000 kwa siku

    Wakuu rejeeni kichwa cha habari hapo juu, gari zinakodishwa kwa town trip na zinapatikana Dar es Salaam. Moja ina tani 3.5 aina ya TATA nyingine ina tani 3 aina ya Mitsubishi Canter. Gari zinafaa kwa shughuli mbalimbali kama kubebea soda, maji, gesi na bidhaa nyingine nyingi. Hesabu kwa siku...
  7. FrankLutazamba

    Wajuzi wa magari nisaidieni, ninunue gari aina gani na rangi ipi. Nina milioni 12

    Wapendwa Nina milioni 12, ila nashindwa kufanya maamuzi, ninunue aina ipi ya gari na rangi ipi nzuri, wenye uzoefu mnaojua ambalo halili mafuta na siyo la kuchoka haraka. Asanteni.
  8. JituMirabaMinne

    Hii ndio sensor kuu katika gari (master sensor)

    Gari ina sensor nyingi sana kama MAF sensor, MAP sensor, A/F sensor, IAT sensor, ECT sensor, TPS sensor, CPS, VSS n.k. Lakini katika hizo sensor zote kuna sensor moja tu ambayo ndio sensor kuu (master sensor). Ukuu wake unatokana na sababu kwamba sensor hiyo hutumika katika operations nyingi...
  9. YEHODAYA

    Watanzania hutembea miendo mirefu kwenda kazini kwa miguu Marekani mtu katembeaa kilomita chache tu kwenda kazini kapewa gari na kuitwa mfano wa kuiga

    Watanzania hutembea miendo mirefu kwenda kazini kwa miguu Marekani mtu katembeaa kilomita chache tu kwenda kazini kapewa gari na kuitwa mfano wa kuigwa na Kila mmarekani!! Toa maoni
  10. JituMirabaMinne

    Njia sahihi ya kuangalia level ya ATF kwenye gearbox ya gari yako

    Kama huwa unaangali level ya ATF kwenye gari yako kama unaangalia Engine oil basi unakosea sana. Hata mimi nilikuwa na mawazo kama hayo mpaka nimekuja kujua kuwa kumbe huwa nakosea. Kwa asilima kubwa ya magari njia sahihi ya kuangalia level ya ATF ni wakati engine ina joto, gari ipo kwenye...
  11. dosama

    Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

    Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo 7.07.2020. Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya CCM
  12. D

    Picha: Gari la serikali na mafuta ya serikali mtu anatumia shangingi hilo kwenda kulewa na kubebea malaya kwa Kodi za walala hoi

    Kuna watu wamepinda nyie acheni. Pamoja na mkwara wa waziri mkuu lakini wapi! SHANGINGI hilo, jana usiku mtu kalewa nalo chakali!
  13. F

    Natafuta kazi ya udereva, nina akaunti active Uber, Bolt nk

    ....
  14. dvj nasmiletz

    Nataka gari mpya toka showroom.. namba d

    Nina milion 1 na laki 3..maelewano yapo ila isizidi milion 1 na laki 4
  15. blakafro

    Gari mbili aina ya TATA na Canter (New Model) Box Body Tani 3.5 zinakodishwa kwa mkataba

    Wakuu kwema? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza juu hapo kuna gari zinakodishwa kwa kazi za mkataba. Gari zipo mbili ya kwanza ni TATA ya tani 3.5 na nyingine ni Canter New Model ya tani 3 zote ni box body. Gari zinafaa kwa shughuli mbalimbali kama kubebea soda, maji, gesi na bidhaa...
  16. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine ya gari kumisi (Engine Misfire), Sababu zake na baadhi ya solutions zake

    Tatizo la engine kumisi(engine misfire) linaweza kusababishwa na mambo mengi sana kama vile, damaged, worn au bad spark plugs, weak ignition coil, broken, clogged au no current katika injector nozzle, fuel pressure regulator, fuel pump, vacuum leaks, sensors kama MAF, MAP, O2, IAT, ECT n.k. In...
  17. Miss Zomboko

    Maofisa wa UN wasimamishwa kazi kwa kufanya ngono kwenye gari la ofisi

    Umoja wa Mataifa (UN) umewapeleka likizo bila malipo wafanyakazi wake wawili ambao wanakabiliwa na kashfa ya kufanya vitendo vya ngono katika gari ya kazini nchini Israel. Maafisa hao walipigwa picha ya video katika gari ambayo ilikuwa ina nembo ya UN- katika mji wa Tel Aviv katika mtaa wa...
  18. Suley2019

    Gari nne likiwemo lori la mafuta zimegongana na kusababisha ajali Mlandizi, mmoja afariki

    Gari nne likiwemo lori la mafuta zimegongana na kusababisha ajali katika eneo la Mlandizi mkoani Pwani usiku wa kuamkia leo Julai 2, na kupelekea kifo cha mtu mmoja na majeruhi watatu, abiria wanaotokea Dar es Salaam wameshauriwa kutumia barabara ya Bagamoyo. Akifafanua zaidi kuhusu tukio hili...
  19. C

    Msaada gari imegoma kuwaka ghafla

    Habari zenu, Nipo na project yangu kufanya engine conversion ila sasa nimekwama njiani. Nimeweka engine ya 2jzge non vvti kwenye gari, siku za mwanzo, mafundi walifanya wiring na wakajaribu kuiwasha ikakubali fresh. Kwa vile ilikuwa kuna vitu vyengine kama exhaust nlikuwa sijamaliza...
  20. JituMirabaMinne

    Mambo haya yanaweza kuharibu battery ya gari yako. Ni vema kuyaepuka

    Vitu vifuatavyo vinaweza kuharibu battery ya gari yako. 1. Kuweka battery yenye low capacity ukilinganisha na battery ambayo imekuwa recommended kwenye Specifications za manufacturer Baadhi ya watu anaweza kuweka battery ambayo ni ya low capacity ukilinganisha na battery iliyokuwa recommended...
Back
Top Bottom