Habari wana JF, Naona hoja za TRA ijapo natatizika kujua kama hii mamlaka inawatafuta watu walioagiza bidhaa mfano Magari kwa TIN ya kawaida na wanafanyia biashara biadhaa zilizoagizwa bila kulipa KODI au wanawatafuta hata wale wanaolipa KODI vizuri ijapo hawajabadilisha TIN zao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.