Unaambiwa usiku mwili hautakiwi ule ushibe sana halafu ukalale ni sawa na gari ujaze mafuta full tank halafu ukapaki
Unaambiwa mazoezi siyo adhabu asubuhi baada ya ufanya mazoezi hutakiwi kujipongeza kwa kulala usingizi kama ishara ya kupumzika ni sawa na gari uliwashe na kupiga mares kibao...
Ndugu wazalendo nawasihi kwa Upendo Mkuu Kama unataka Gari nzuri na kwa Bei nafuu ni Bora kuagiza kuliko kujilipua Yard ambako Gari zinakua zimetumika Sana Zanzibar Kisha zinavushwa Bara wanaondoa zile Plate number za kule na kupeleka carwash na kupulizia perfume ukijichanganya imekula kwako...
Ni gari aina ya toyota sprinter, unapozungusha steering wheel (msteringi 😂) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti.
Na kama vp tusaidiane bajeti ya kutegemea, nsije pigwa na mafundi.
MREJESHO
Sehemu ya kwanza alikopeleka...
Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.
Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye...
Namiliki babywoka jamii ya IST, Swift, Honda Fit au Passo.
Asubuhi napowasha gari au mfano gari nimepaki mahali muda mrefu, nipokuja kuwasha gari si inakuaga P?
Okey, sasa nashika gear lever naweka Reverse kutoa parking/getini. Kisha nikipeleka D au L au 2 ili niondoke, gari inafanya kama...
Tunalalamika tu kwamba ulinzi wa Rais wetu ni babu kubwa, hebu tuangalie ulinzi wa role model wake, Kisha turudi kwenye kujadiliana, kukosoana na kikubwa zaidi kuelimishana, sitarajii matusi kwenye uzi wangu Mtakatifu.
Leo sio Bugatti, Mclaren wala Koenigsegg , mambo this time yako tofauti na hii ni rekodi ya tangu mwaka 2018.
Devel Motors yenye makazi yake mjini Dubai waliachia huo mdude 2018 wenye top speed ya 310 mph ( 500 km/h ) 😃 😃
Model: 2018 Devel Sixteen
Year: 2018
Top Speed: 310 mph (500 km/h)...
Baada ya muda mrefu kuteseka na daladala hatimaye Nimeagiza chuma , chombo ipo kwa bahari unakuja inavuka bahari kutoka Japan
Nimenunua manual ili kuepuka kuazimwa ovyo .
Chombo iyo 14m lazima niwatembezee moto
Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa
Ni imara na haikati misumeno
Ina watts 550
Ina sehemu ya kusagia nyama
Ina warranty mwaka mmoja
Bei 1,350,000 tu
Tunapatikana kariakoo ndanda st
Tunadeliver free kwa dar pia.
Call/text/WhatsApp 0656666662.
Wakuu poleni na hongereni kwa majukumu.
Nisiwachoshe nimechoka na hekaheka za boda boda nina bajet ya mil 5 naweza kupata gari used iliyo vizuri? Mimi ni bonge kidogo sitaki Passo wala Vits.
Nashukuru.
Watu wengi wanaoendesha magari aina ya Alteza ama Subatu wana matatizo, ni watu wanaopenda kusikika ama kujulikana kama wapo, watu wanaopemda kutambulika uwepo wao, kwa kitaalamu tunaita Histrionic personality disorder (HPD) ama attention seeking disorder.
Mtu yeyote ambaye anapenda kutambulika...
Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Afisa ardhi wilaya ya Nyangwale Agustino Sibeye kwa kuwagonga na gari wanafunzi wanne wa shule ya msingi Ibambilwa na kufariki dunia wakati wakivuka barabara kuelekea shuleni.
Kamanda wa polisi mkoa wa Geita Hanry Mwaibambe amesema afisa huyo wa ardhi...
Sijui mimi ni mshamba au vipi! Lakini ukweli ni kuwa inaonesha unga huo umekuwa dili, unatolewa sana.
Sasa je, hakuna madhara kwenye gari lililotolewa huo unga?
Ni Zlatan Milisic ambae ni UN Resident Coordinator kwa hapa nchini na ameandika hivi kupitia twitter:
Fake UN plates! I wish to clarify that cars with UN license plates reported in Hai today at more than one location have nothing to do with the UN. They are not UN cars; these are not official...
Habari za muda wakuu, Naomba kupata ufafanuzi ni jinsi gani TRA wanacalculate kodi endapo itatokea gharama za CIF uliyonunulia gari imekuwa kubwa kuliko ya kwenye calculator yao.
Ni kiungo wa nkana crispin mulenga kafariki jana kwa ajali kacheza juzi meci ya charity shield dhidi ya indeni team iliopanda daraja ambayo anachezea mcheaji wa zamani wa utoplo fc Juma abdul,kwenye picha huyu hapa yuko mbele ya ramadhani singano messi
IST/Vitz/Swift/Honda Fit
Ninamiliki moja kati ya hizo babywoka.
Nachotaka kujua ni je: Gari yangu itakua na matatizo sehemu ama ndio kawaida ya hizi babywoka.
Siku za weekend demu wangu huwa anakuja kunitembelea getto (mitaa ya Ubungo Riverside).
Jioni namrudisha kwao, anaishi Bunju na dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.