Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Ninahitaji mtaalamu wa kunifanyia marekebisho, nilinunua gari mnada wa TRA likiwa halina ufunguo(ulipotelea mezani kwao) katika mazingira hayo nililazimika kulibeba kwenye crane hadi garage, na kwakuwa gari lina immobilizer nahitaji mtaalamu wa kunifanyia mambo mawili 1.
Kunitengenezea ufunguo -gari ni audi A4 v6 2.4 Quattro toleo la 1999 (2) Aondoe huo mfumo wa Immobilizer ili aweze kuliwasha/ vinginevyo nahitaji kuendesha tu haya mengine maelezo! hivyo afanye akijuacho ili ufunguo atakaonipa uwe unaweza kuwasha gari na kuzima.
Naamini nimeeleweka.
Ahsante na karibu wataalamu.
Kunitengenezea ufunguo -gari ni audi A4 v6 2.4 Quattro toleo la 1999 (2) Aondoe huo mfumo wa Immobilizer ili aweze kuliwasha/ vinginevyo nahitaji kuendesha tu haya mengine maelezo! hivyo afanye akijuacho ili ufunguo atakaonipa uwe unaweza kuwasha gari na kuzima.
Naamini nimeeleweka.
Ahsante na karibu wataalamu.