Kibongo ukimiliki gari tu hata kama ni passo basi inahesabika 'umeshatoboa'.
Hapo sasa ndugu, jamaa, marafiki na hata serikali wanaamini 'umeshatoboa'.
mtu akiwa na shida ya uongo/ukweli jina lako ndo linakuwa pale juu ukihesabika lazima utatoa msaada kwa sababu tayari wewe 'umeshatoboa'...