Ujumbe kwa madereva gari za serikali, mtatumaliza huku mabarabarani

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,732
3,372
Wengi wenu mnaendesha utafikiri mna hatimiki ya barabara. Hamjali si tu usalama wenu lakini kwa vitendo vyenu mnahatarisha usalama wa wengine waliopo barabarani.

Kama mmejichoka kumbukeni sisi bado tunapenda kuishi na kuenjoi ugali.

Mwenzenu mmoja katukosakosa leo asbh apo kwenye kona ya gari nyingi alikuwa kafatana na mwenzake wako mbiombio utafikiri wenzao wakimbiza mwenge inaelekea kuna sehemu wanawahi.

Muda wote mmekuwa watu wa mambio tu, fulu kuwasha vingora na kupiga honi za uongouongo na kutafuta njia za kuwapita wengine bila hata kuangalia kama ni salama, kifupi hamna tofauti na boda.

Jamani kama mna haraka si mngekuwa mnawahi kutoka basi. Kama muda wa kumfata bosi ni saa moja asbh kwanini sasa wewe unatoka bado dakika tano au dakika kumi. Wew toka mapema kumi na moja au kumi na mbili uko tusisumbuane barabarani.
 
Wengi wenu mnaendesha utafikiri mna hatimiki ya barabara. Hamjali si tu usafiri wenu lakini kwa vitendo vyenu mnahatarisha usalama wa wengine waliopo barabarani.

Kama mmejichoka kumbukeni sisi bado tunapenda kuishi na kuenjoi ugali.

Mwenzenu mmoja katukosakosa leo asbh apo kwenye kona ya gari nyingi alikuwa kafatana na mwenzake wako mbiombio utafikiri wenzao wakimbiza mwenge inaelekea kuna sehemu wanawahi.

Muda wote mmekuwa watu wa mambio tu, fulu kuwasha vingora na kupiga honi za uongouongo na kutafuta njia za kuwapita wengine bila hata kuangalia kama ni salama, kifupi hamna tofauti na boda.

Jamani kama mna haraka si mngekuwa mnawahi kutoka basi. Kama muda wa kumfata bosi ni saa moja asbh kwanini sasa wewe unatoka bado dakika tano au dakika kumi. Wew toka mapema kumi na moja au kumi na mbili uko tusisumbuane barabarani.
Na maagri yao hayazimwi hata kama limepaki. Linanyonya kodi zetu
 
Wengi wenu mnaendesha utafikiri mna hatimiki ya barabara. Hamjali si tu usafiri wenu lakini kwa vitendo vyenu mnahatarisha usalama wa wengine waliopo barabarani.

Kama mmejichoka kumbukeni sisi bado tunapenda kuishi na kuenjoi ugali.

Mwenzenu mmoja katukosakosa leo asbh apo kwenye kona ya gari nyingi alikuwa kafatana na mwenzake wako mbiombio utafikiri wenzao wakimbiza mwenge inaelekea kuna sehemu wanawahi.

Muda wote mmekuwa watu wa mambio tu, fulu kuwasha vingora na kupiga honi za uongouongo na kutafuta njia za kuwapita wengine bila hata kuangalia kama ni salama, kifupi hamna tofauti na boda.

Jamani kama mna haraka si mngekuwa mnawahi kutoka basi. Kama muda wa kumfata bosi ni saa moja asbh kwanini sasa wewe unatoka bado dakika tano au dakika kumi. Wew toka mapema kumi na moja au kumi na mbili uko tusisumbuane barabarani.

"Jamani kama mna haraka si mngekuwa mnawahi kutoka basi. Kama muda wa kumfata bosi ni saa moja asbh kwanini sasa wewe unatoka bado dakika tano au dakika kumi. Wew toka mapema kumi na moja au kumi na mbili uko tusisumbuane barabarani."
 
Haya magari ya serikali kwakweli yanakera sana huko barabarani. kwanza madereva wake wanaendesha kwa fujo, wanahatarisha usalama wa watumiaji wengine wa barabara, hawafwati alama na taa za barabarani, wanapita upande wowote wa barabara, wanapita kwenye njia za mwendo kasi, wanapaki sehemu yoyote wanayojisikia. Alafu Traffic police wanawaangalia tu.

ukiwachomekea wanakuletea ubabe. Kuna mmoja wa gari la jeshi alinifanyia faulo afrikana pale, nikamvizia nikamchomekea moja kubwa pale kunduchi mmbuyuni, akafunga breki kwa nguvu, tairi zikalia pale, almanusura agonge watu, akashuka akataka nishuke kwenye gari, nikakataa, nikawa nasubiri aje mlangoni kwangu, nimpe kubwa moja alafu nikajisalimishe polisi pale mtongani, yani sikuiyo nilikuwa tayari kwa lolote. Bahati alishtuka akarudi kwenye vieite lake jeupe akasepa. We mjeda kama upo humu unasoma hapa ujue una bahati sana, siku ile nlikua naondoka na wewe! Pimbi we!
 
Wengi wenu mnaendesha utafikiri mna hatimiki ya barabara. Hamjali si tu usalama wenu lakini kwa vitendo vyenu mnahatarisha usalama wa wengine waliopo barabarani.

Kama mmejichoka kumbukeni sisi bado tunapenda kuishi na kuenjoi ugali.

Mwenzenu mmoja katukosakosa leo asbh apo kwenye kona ya gari nyingi alikuwa kafatana na mwenzake wako mbiombio utafikiri wenzao wakimbiza mwenge inaelekea kuna sehemu wanawahi.

Muda wote mmekuwa watu wa mambio tu, fulu kuwasha vingora na kupiga honi za uongouongo na kutafuta njia za kuwapita wengine bila hata kuangalia kama ni salama, kifupi hamna tofauti na boda.

Jamani kama mna haraka si mngekuwa mnawahi kutoka basi. Kama muda wa kumfata bosi ni saa moja asbh kwanini sasa wewe unatoka bado dakika tano au dakika kumi. Wew toka mapema kumi na moja au kumi na mbili uko tusisumbuane barabarani.
We raia ndo utatoka mapema sisi ni mbio tu ..na una bahati hii Ni LX ngao 80mm
 
Hapo kwenye kona ya magari mengi ndio wapi?. Hapa Mwanza kuelekea kona ya Nyegezi au?.

Kama ulikuwa kwa mguu,Sasa mkuu gari zinakuja mbio mbio bado umezubaa tu barabarani?. Tambueni magari yameongezeka mara 100 ya uwezo wa serikali kutanua barabara. Magari yameongezeka kwa kasi lakini barabara bado ni zile zile,na ni nyembamba.

Hivyo kama unatembea kwa mguu iwe ni asubuhi au jioni tafuta njia mbadala badala ya hizi main road.

Pia kama una chombo cha moto kama una uwezo wa kuepusha ajali jitahidi wewe kuiepusha kwa haraka,ikiwemo kupita mbali kwa mguu. Usiwategemee hawa madereva,kila mmoja ana zake.
 
Back
Top Bottom