gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. Youbettersleep

    Yanayoendelea Tanzania ni matokeo ya kitu gani?

    Tafakari tu bila kukaza fuvu.....tusome comment
  2. Mwachiluwi

    Ni somo gani umejifunza katika maisha

    Hell Je ni somo gani umejifunza katika maisha ungependa wajifunze wengine pia distance relationship ina nionyesha kuwa ni kwanini bank ina tawi kila sehemu. Vipi kwa upande wako
  3. Trainee

    KERO Maliasili mfumo wa maombi ya Vyuo una shida gani?

    Nimeregister nikapewa username, password na control number ya malipo. Baada ya kufanya malipo yakapokelewa na meseji nimepata kabisa lakini nikienda kulog in naletewa notification pale juu kwamba nifanye malipo! Nikilog in mfumo hauendelei mbele wala haufunguki niweze kuingia kwenye akaunti...
  4. X

    Kuna huu upuuzi wa kuvaa miwani meusi siku ya maziko au misibani. Hivi wenzetu mnaotinga sunglasses misibani mna shida gani?

    Hivi wenzetu tunaokutana misibani mkiwa mmevaa sunglasses siku za maziko mnaweza kutuambia sababu ya kuvaa ni nini? Wengi ukiwauliza hawana sababu yoyote yenye mashiko ni kuiga iga tu mna ushamba mwingi sana. Hata mkienda kugoogle bado sababu mtakazoleta hazina maana yoyote wapuuzi tu...
  5. Trainee

    Hivi Serikali ina mpango gani kwenye mikopo ya elimu?

    Hivi Serikali ina mpango gani na hawa vijana kwenye mikopo ya elimu? Kuna utaratibu mpya wa kupata barua za utambulisho kwenye mfumo maalumu wa serikali unaitwa NAPA Lakini watendaji wa vijiji hawajapewa mafunzo yoyote kuhusu huo mfumo Matokeo yake vijana wanashindwa kufanya lolote kwenye...
  6. Kigger

    Unakubali zaidi channel gani kwe azam other channels?

    Kwenye azam other channel kuna channel zaidi 40 ambazo zinapatikana free na wingine wanalipia izi channel zinapatikana ata zuku decoder na CONTINENTAL DECODER Sibuka Abood tv Rabbi tv Tz Gospel Tv Top tv Africa swahil tv nk Je ni channel gani unaifatilia zaidi ?
  7. Youbettersleep

    Aina gani ya gari inafaa kuanzia maisha?

    Enheeeh wajomba naombeni msaada ni aina gani ya gari nafaa kuanzia maisha kama kijana mwenye mshahara wa 2M? Nilijichanga nikafikisha kiasi fulani nataman kupata gari ila nawaza aina ipi ya gari itafaa na yenye less service n maintenance. Kuna fundi aliniambia Nissan Dualis nilipozifuatilia...
  8. Tech Max

    Huduma gani unahitaji ya IT? website, computer,blog,social media,n.k

    Huduma gani unahitaji ya IT? Napatikana: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  9. M

    Ni maeneo gani mazuri Kwa wageni kutembelea jijini dar?

    Wapendwa wana jf mara yangu ya mwisho kutembelea jijini dar ilikuwa 2013, baada ya kustaafu ningependa kwenda kuosha macho na kurelax kidogo baada ya ajira kukoma. Je nitembelee maeneo yapi na niandae bajeti ipi? Ningependa kukaa wiki nzima
  10. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Kuna watu awatumii nguvu wakitaka mambo yao yanawaendea tu. Ukiuliza wanasema ni kudra za mwenyezi Mungu kwa hiyo dawa ni kumuomba Mungu bila kuchoka. Niwapeni tu mkasa kuhusu maisha yangu. Mimi ni mtu ambaye nna uhakika nimekumbwa na mkosi au gundu. Nna miaka mingi sana najitafuta ili niweze...
  11. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 Kwa anayefahamu bei ya jumla ya MANANASI na MACHUNGWA kutoka kwa wakulima wa KIWANGWA- CHALINZE naomba anijuze. Natanguliza shukrani 🙏🏽🙏🏽
  12. Traxtion

    Kuoga kuna faida gani?

    Wakuu tangu niko mdogo nimezoeshwa kuoga kila siku ila sijawahi kuona faida yake Vipi kama nisipooga nitanuka halafu baada ya miezi harufu itakata na sitanuka tena. Si itakuwa niko huru maishani mwangu. Nakuwa sihitaji kuoga tena. Kwani uchafu ukizidi kwenye ngozi kuna madhara gani ya kiafya...
  13. Sigara Kali

    Njia gani nzuri ya kumfukuza mwanamke alieng'ang'ania ghetto??

    Kama inavyosomeka hapo juu Kuna demu kaja hapa ghetto wiki sasa inaisha haoneshi dalili ya kuondoka Nawaza nitumie njia gani ambayo haitaleta lawama kwa upande wangu pindi nitakapomtimua huyu demu. Kuna wale wakongwe wa kufukuza wanawake ving'ang'anizi kwenye nyumba nipeni mbinu 2 3 zisizo na...
  14. Powell Gonzalez

    Hivi paka Dar wana shida gani? Yaani paka anakimbizwa na panya?

    Hii ni maajabu, yaani paka anapigwa na panya hadi ana kimbizwa 🤣, niko hapa kariakoo naona paka kapigwa na panya na kukimbizwa juu,hasa najiuliza panya akimkamata paka atamla au? siamini nachokiona. Hii ni kwa paka wa Dar tu au hata wamikoani wameanza tabia hii ya kuchekesha?
  15. ELI COHEN

    Ukimuuliza mdada yoyote, hivi ni kiumbe gani haswa una hisi kinadhalalisha wanawake, atajibu haraka "wanaume", ila ukweli halisi wanaujua moyoni mwao.

    Hivi ni kweli kuna kiumbe ambacho kinaongoza kujidhalalisha chenyewe alafu tena kilalamikia matokeo yake🤣
  16. Gulio Tanzania

    Kuna Siri gani mabosi wengi kutokutaka kukaa ofisi

    Hili jambo nimeliona kwa muda mrefu mabosi wengi wenye maduka kutopenda kukaa ofisini duka kubwa lakini boss haoni hofu yoyote kuwaacha vijana hata mwezi mzima bila wao kukaa dukani Wapo wanaokaa madukani lakini kijana ndiye anawaachia kuhudumia wateja na kupokea pesa Huu ni mfumo tofauti na...
  17. Jidu La Mabambasi

    Tuliopitia jeshini: huyu mpiga bugle ya Last Post utampa adhabu gani?

    Makamanda nipeni mrejesho. Mpiganaji kazikwa bila heshima.
  18. M

    Dada yangu ana mtaji wa wa Milioni 30, unamshauri afanye biashara gani?

    Dada yangu ana Milioni 30 ataka kufanya biashara nimeshindwa mshauri afanye biashara gani Nimekuja kwenu mtoe ushauri wa mawazo ya biashara
  19. kyagata

    Ni style gani ambayo wanawake huwa wanaiogpa?

    Wakuu,kidumu chama cha Mapinduzi? Hivi ni style gani ya kugegedana ambayo wanawake huwa wanaiogopa sana?
  20. M

    Hivi kwa mfano nchi za Ulaya wakilupuana na manyuklia wazungu watakao baki hai unahisi wakimbilia bara gani kati ya Afrika na Amerika kusini?

    Kichwa cha habari cha husika ..maana kwa hesabu za haraka haitapita miaka 50 bila hili kutokea
Back
Top Bottom