traveller_me
New Member
- Nov 14, 2013
- 4
- 1
Nimekuwa nataabika na tatizo hili kwa muda Sasa... Kila nikitoka kuoga basi dakika kumi nitakuwa nawashwa sehemu mbali mbali za mwili tena katika hali ya kukera kabisa.. hii husababishwa na nini
Hilo tatizo tunalo wengi ni kama allergy dawa ni kuoga maji moto.Nimekuwa nataabika na tatizo hili kwa muda Sasa... Kila nikitoka kuoga basi dakika kumi nitakuwa nawashwa sehemu mbali mbali za mwili tena katika hali ya kukera kabisa.. hii husababishwa na nini
Dawa na kuoga maji ya uvuguvuguNimehangaika na huo ugonjwa na nimetumia kila dawa lkn bado ugonjwa uko palepale. Kujikuna mpaka kichefuchefu na kuwa na hasira