fursa

  1. G

    Changamoto gani ulikutana nayo lakini ikageuka kuwa fursa ya kukufikisha?

    Habari zenu wataalam, Najua wengi wetu tumepiga hatua tulipo sasa baada ya kukutana na changamoto fulani huko nyuma ambayo imekua ni fursa. Kuna kijana wa karibu nilikua namuona ana jitihada sana katika masomo ya habari (chuo kikuu) nilipojaribu kumuuliza ni kipi kinachomfanya awe bize zaidi...
  2. mwagito25

    Fursa ya mboga mboga na matunda Dodoma

    Habarini wana jamvi. Kutokana na kukua kwa kasi ya kuridhisha kwa jiji la Dodoma, kuna mahitaji yanayoongezeka kutokana na umuhimu wake kwa maisha ya binadamu ya kila siku. Uhitaji wa mboga mboga na matunda unakua kwa kasi kubwa. Uhitaji huu ni wa wote, yaani wauzaji na wazalishaji. Kwa wale...
  3. mwagito25

    Tuchangamkie fursa za kununua ardhi mapema

    Habarini wanajamvi, kama wewe ni muumini katika kuwekeza ardhi basi chukua hii. Chuo kikuu cha ardhi kinatarajia kujenga chuo kishiriki kikubwa saana jijini Dodoma. Eneo walilolenga kujenga lipo wastani wa 25km kutoka njia kuu(lami). Wakazi na wakulima wa eneo hilo tayari washaanza kuandaliwa...
  4. PendoLyimo

    Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) umetoa Fursa kwa Wadau nchini

    Na Celina Mwakabwale- UCSAF Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umetoa wito kwa wadau wa Mawasiliano nchini wakiwemo wamiliki wa redio hasa radio jamii, runinga na huduma za waya (cable tv) kuchagamkia fursa zinazotolewa na Mfuko huo ili kuboresha usikivu wa vyombo vyao kwa lengo la kuwezesha...
  5. Makirita Amani

    Jinsi ya kuwagundua Matapeli na fursa zao zisizo sahihi kwako

    Zama tunazoishi sasa ni zama ngumu mno ambapo mtu usipokuwa na msingi imara utaishia kuanguka vibaya. Fursa ni nyingi mno, lakini nyingi siyo fursa za kweli. Fursa hizo zinahamasisha na kutamanisha kwa sababu unaona kabisa wengine wakinufaika nazo. Kumbe hiyo ni sehemu ya mtego wa kukunasa ili...
  6. J

    Askofu Gwajima: Ukiwa uchumi wa kati unapoteza fursa nyingi za upendeleo hivyo ni rahisi sana kurudi kwenye uchumi wa chini

    Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima amesema watanzania wengi hawaelewi athari za nchi kuwa uchumi wa kati. Ni kwamba unapoingia katika kundi la uchumi wa kati zile fursa zote ulizokuwa unapata kama nchi maskini zinatoweka na usipokaza buti ni rahisi sana kurudi kwenye uchumi wa chini. Chanzo: TBC...
  7. Lord Denning

    Rais Samia, kuna Fursa nyingine huko 'Kazungula Bridge'

    Amani iwe nawe Mama yangu. Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan. Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka...
  8. Kaudunde Kautwange

    Fursa zipo nyingi sana, 5 Online Projects

    Habari wana board! Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee! Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT...
  9. boniuso

    Fursa ambayo kila mtu anaiona hiyo siyo fursa

    MAKOSA 3 AMBAYO WATU WENGI HUFANYA WANAPOWEKA MALENGO Kila mtu hujiwekea malengo yake kwa kukusudia kubadilisha maisha yake lakini malengo mengi huwa hayatimii Watu wengi huwa hawajifunzi ila huiga na kufanya vitu kwa sababu wameona kuna watu wanafanya Kama utakuwa miongoni wa watu wengi...
  10. Red Giant

    Ili kuitumia vizuri fursa iliyotolewa na Kenyatta inabidi taratibu za kupata passport zirahisishwe

    Binafsi nashauri kigezo pekee cha kupata passport kiwe ni kuwa na kitambulisho cha NIDA tu. Tukiendelea na urasimu uleule hatutaitumia hii fursa vizuri. Watu kibao wanafanyabiashara Kenya ila shida ni utambulisho. Nina jamaa zangu Wamasai walikuwa wanapeleka sandals Kenya ila wanasema walikuwa...
  11. Soma Vitabu Tanzania

    Jifunze hapa jinsi ya kuzivuta fursa na kuzitumia ndani ya muda mfupi

    JIFUNZE HAPA: Jinsi Ya Kuzivuta Fursa Na Kuzitumia Ndani Ya Muda Mfupi. Unakwama Wapi Mpaka Sasa Hujui Jinsi Ya Kuzivuta Fursa? Huzioni fursa lakini wenzako wanaziona na kuzitumia je, unajua tatizo ni nini? Ulichofichwa kwa muda mrefu leo unakwenda kukifahamu na kukitumia ipasavyo. Angalia...
  12. Lord Denning

    Rais Samia, kuna Fursa ipo kwetu kwenye Uchumi wa Gesi, ichangamkie haraka

    Nakusalimu tena kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama yangu! Ni nadra sana Mimi Lord Denning kuandika nyuzi mbili humu ndani Ila leo imebidi nikuandikie humu maana nimegundua kuwa wewe ni mwanachama na mpenzi wa hili jukwaa! Nimeandika ushauri wangu kwako juu ya reformation...
  13. N

    Fursa Kwenye Mradi wa bomba la Mafuta - Hoima Kwenda Tanga

    Ndugu wadau.. Kutokana na fursa zilizopo kwenye ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima kwenda Tanga.. Naomba kupata uzoefu wenu kuweza kujua namna ya kuweza kushiriki kwenye hiyo keki.. Ninahusika na biashara za bima .... ambavyo najua kutakuwa na fursa mbalimbali za kushiriki kwenye mradi...
  14. L

    Biashara ya mtandaoni imeibuka kuwa eneo la fursa mpya nchini Kenya

    Biashara ya mtandaoni imeibuka kuwa eneo la fursa mpya nchini Kenya Na Kelvin Isenye Ogome Kutokana na ongezeko la matumizi ya simu tamba na za kisasa pamoja na kuimarishwa kwa mtandao, imekuwa rahisi kwa idadi kubwa ya Waafrika kutumia mtandao katika maisha yao ya kila siku, kama vile...
  15. Infantry Soldier

    Wape Watoto fursa ya kujifunza masuala mengine katika maisha mbali na masomo ya darasani

    Habari za wakati huu jamiiforums Stories nyingi sana za KGB na zile zingine ambazo ninaandikaga kule jukwaa la jamii intelligence ni zile ambazo nilizisoma mwaka 2006 nikiwa kidato cha sita. Kipindi hicho hakuna smartphones lakini nilikuwa ninaiba muda kisha ninakwenda internet cafe moja...
  16. Sky Eclat

    Mazao jamii ya maharage ni fursa nzuri ya biashara

    Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na watu wa dini na race zote. Licha ya mabara mengi kuwa watumiaji wazuri wa mazao haya, Afrika ya...
  17. B

    Vyama vya siasa acheni kulia lia fursa kamili ya mabadiliko ni sasa

    Yote ni dhahiri mno na tunayaona kote bungeni na hata serikalini: "Dhuluma dhidi yetu haziwezi kuachwa ziondoke zenyewe au kuachiwa mtu aje na huruma zake kuziondoa au kuachiwa kudra zake mola." Tumefikishwa hapa kwa sababu ya unyonge wetu, woga wetu, ujinga wetu, hofu zetu, utengamano wetu...
  18. Mathias Byabato

    Fursa Bomba la Mafuta kwa watanzania-UPDATES

    Wakuu. Tanzania na Uganda zimesaini mkataba wa mwisho kuanza ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani bandari ya Tanga nchini Tanzania . Ni heshima Kubwa nchi yetu ya Tanzania kupata fursa hii ya bomba la mafuta kupita nchini Tanzania ambao utapita mikoa 8, Wilaya...
  19. Mchambuzi

    Urais wa Mama Samia Suluhu Hassan: Changamoto na fursa zilizopo

    Mjadala wetu utakuwa na sehemu SITA kama ifuatavyo: Kufuatia utangulizi, sehemu ya kwanza itaangalia kwa kifupi historia ya nafasi ya Makamu wa Rais katika jamhuri ya muungano wa Tanzania. Katika hili tutaangazia vipindi viwili muhimu katika historia ya Jamhuri ya Muungano Tanzania: -Kipindi...
  20. Kurzweil

    Jifunze fursa 6 za biashara mtandaoni

    Hivi sasa teknolojia imekua ndio kila kitu hakuna mahali unapitia pasipo kutumia teknolojia, hiyo inadhirisha kuwa uwezekano wa kufanya biashara mtandaoni ni mkubwa sana cha msingi ni kujua ni vitu gani vya kufanya ili kuweza kuongeza kipato chako. Kwa kuanza basi ni vyema nikwambie kabisa kuwa...
Back
Top Bottom