LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 121
Nimeona watu kadhaa wakifanikiwa kwenye hili (nchi ya wengine)
Sio kwasababu Mimi nimeshindwa kujaribu Basi nisitoe nafasi kwa wengine. Hasa Tanzania. Sijui sheria ikoje lakini hii inaweza mpa mtu mkate na kubadili maisha yake na wengine kuwapa ajira. Bongo jua Lipo (yearly round)
Beach life is part of our life in Tz (Dar/Znz)nk. Kuanza na miamvuli hata 3 tu kujaribu
Kulipisha kwa lisaa Au kwa siku, naamini kwenye public beach(coco)/maziwa(mwanza) kutakua na namna ya kupata FURSA
(sijajua taratibu kwa hapo tz)
Kama itamfaa mtu mshirikishe
Nimeiweka kwa wepesi lakini kwa maelezo zaidi twaweza eleweshana
Sio kwasababu Mimi nimeshindwa kujaribu Basi nisitoe nafasi kwa wengine. Hasa Tanzania. Sijui sheria ikoje lakini hii inaweza mpa mtu mkate na kubadili maisha yake na wengine kuwapa ajira. Bongo jua Lipo (yearly round)
Beach life is part of our life in Tz (Dar/Znz)nk. Kuanza na miamvuli hata 3 tu kujaribu
Kulipisha kwa lisaa Au kwa siku, naamini kwenye public beach(coco)/maziwa(mwanza) kutakua na namna ya kupata FURSA
(sijajua taratibu kwa hapo tz)
Kama itamfaa mtu mshirikishe
Nimeiweka kwa wepesi lakini kwa maelezo zaidi twaweza eleweshana