MATUNDA YA DEGREE ZETU NI MUDA KUYAONYESHA.
Na, Robert Heriel
Nafikiri huu ndio wakati uliosubiriwa kwa kipindi kirefu, wakati wa kuliinua taifa hili katika nyanja zote za maisha, kiuchumi, kijamii, kisiasa, na kiutamaduni.
Kama taifa hatuwezi kufikiri jambo moja wakati wote, kufikiri jambo...