Waziri Mwanasheria Kabudi tusaidie, toa Elimu ya Haki yetu Kisheria

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Kwa nini Mkuu wa Mkoa, Wilaya au mtu yoyote yule apige viboko Mtanzania mwingine ? Nani anampa hiyo haki, kwa Sheria gani ? Waziri Kabudi tuokoe hapa kujua haki zetu, Mkuu wa Mkoa akinipiga kibogo niende wapi kushitaki ? Tafadhali Waziri Kabudi ongea na mshua, tunadhalilishwa sana na weusi wenzetu, Tanzania ukigusa mnyama wa Hifadhi unaenda Jela sasa iwje tunachapwa viboko hovyo?

1608198713584.png
 
Wewe huna haki nchi hii.

Jukumu lako ni kufanya kazi, kutii mamlaka na kulipa kodi tu.

Unaanza kuhoji hoji, unatumika na mabeberuuuuu siyo?
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.
Kiazi wewe, kwani wazazi si wapo, au umeambiwa hawana mikono.
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.
Waalimu au wazazi wanakuwa wako wapi? Sheria gani inayompa mkuu wa Wilaya hayo uliyosema?
 
Kwa nini Mkuu wa Mkoa, Wilaya au mtu yoyote yule apige viboko Mtanzania mwingine ? Nani anampa hiyo haki, kwa Sheria gani ? Waziri Kabudi tuokoe hapa kujua haki zetu, Mkuu wa Mkoa akinipiga kibogo niende wapi kushitaki ? Tafadhali Waziri Kabudi ongea na mshua, tunadhalilishwa sana na weusi wenzetu, Tanzania ukigusa mnyama wa Hifadhi unaenda Jela sasa iwje tunachapwa viboko hovyo?

View attachment 1652173
Uliona ni halali Tundu Lissu kupigwa risasi halafu unajifanya kushangaa watu kupigwa viboko?
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.
Akili ingekuwa ni kiungo cha uzazi, WALLAH UNGEKUWA HUZAI..!!
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.
Hata akiua mwanafunzi mwenzake anatandikwa yanaisha
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.
Sio wote waliochapwa ni watoto/wanafunzi wengine ni watu wazima wa chuma chakavu.
Hata hivyo kuna muongozo wa wa kuchapa viboko shuleni,je aliufuata au yeye yupo juu ya sheria ?
 
Siyo kwamba Kabudi pekee ndiye mwanasheria huko sirikalini.

Wafuatao pia ni wanasheria: Mwalimu, U. Pinda G, Ndumbaro, D., Simbachawene, G., Luoga, F, Tulia, A.M., Kilagi, A., N.k n.k
 
Tatizo lako umekosa hekima, hauna uwezo wa kupambanua mambo kwa harakaharaka umekariri sheria bila kuzielewa. Mkuu wa wilaya ametoa adhabu ya viboko kama mzazi. Amechukua nafasi ya mzazi kuwachapa kwasababu ya utovu wa nidhamu.

Pia mkuu wa wilaya amechukua nafasi ya mwalimu kutoa adhabu. Tatu adhabu za viboko shuleni ni jambo la kawaida na ni sheria mwanafunzi kuadhibiwa kwa viboko. Mwanafunzi adhabu zake sio za kwenda mahakamani labda kama kosa hilo linahusisha mazingira ambayo sio ya shuleni.

Kesi zote za shuleni zinamalizwa na walimu na viongozi wa shule huko huko. Ukianza kuleta habari za kupelekana mahakamani kesi za shule basi tutakua na kesi nyingi mnoo huko mahakamani.

Unaandika hivyo kwa sababu anayepigwa viboko siyo Baba yako, kama Mkuu wa Wilaya angepiga viboko Baba yako nadhani ungekuja kivingine, ...
 
Sio wote waliochapwa ni watoto/wanafunzi wengine ni watu wazima wa chuma chakavu.
Hata hivyo kuna muongozo wa wa kuchapa viboko shuleni,je aliufuata au yeye yupo juu ya sheria ?

Hata kama ni watoto, Sheria gani inaruhusu Mkuu wa Wilaya kuchapa watoto wasio wake ? Mimi siyo Mwanasheria lkn logic inaniambia kwamba Jukumu la kuadhibu la Mahakama, au ?
 
Back
Top Bottom