kadendu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 519
- 337
Nianze kwa kukupa pole na majukumu ya kitaifa, nikupongeze pia kwa kuimudu vema wizara yako kwani unamsaidia vema mh Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli.
Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?
Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?
Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.
Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.
Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.
Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?
Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?
Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.
Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.
Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.