dodoma

  1. Chibudee

    Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

    Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino
  2. G Sam

    Ghafla bin vuu Serikali yote imehamia Dodoma, matamko yote yanatolewa ndani ya viunga vya ugogoni!

    Yani kila kiongozi wa serikali sasa yupo Dodoma. Tunaona mpaka kumbe waziri mkuu au Rais anaweza kuongea na wasaidizi wake nchi nzima akiwa tu Dodoma. Ila kiukweli nilikuwa sijui kama Rais Magufuli yupo Dodoma hadi nilopomuona leo. Mara ya mwisho aliishia hapo kati hapo kwenye lile daraja...
  3. kavulata

    Kwanini Mwl. Nyerere alishindwa kuhamia Dodoma?

    Wazo la kuhamahamishia serikali Dodoma lilikuwa la Mwl. Nyerere wakati ya awamu ya kwanza. Lakini hata baada ya kuliongoza taifa kwa muda mrefu alishindwa kuitekeleza mdoto yake ya kuhamia Dodoma. Ndoto ya kuhamia Dodoma pia haikutimia kwenye awamu zingine 3 (miaka 30) zilizofuata na...
  4. digba sowey

    Daraja linalounganisha Dodoma na Morogoro limevunjika, hakuna mawasiliano ya barabara

    Daraja la Mkange katika Kijiji cha Magubike wilayani Kilosa mkoani Morogoro limebomoka kwa mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha mawasiliano kati ya Dodoma na Morogoro kukatika. ====== Daraja la Kiyegeya lililopo wilayani Gairo kati ya Magubike na Kiegeya Barabara ya...
  5. Victor Mlaki

    Dodoma: Kila mwezi wanafunzi wa kike 16 wanapata mimba Dodoma

    Hii idadi siyo ndogo kuna haja ya jamii kuamshwa ili kutambua mchango wa elimu kwa Mtoto wa kike kwa kuangalia mrejesho wa elimu kwa mtu binafsi na kwa jamii yake "private rate of return and socia returns".. Elimu pia ina faida msambazo kwa jamii "spill over benefits".Kuna haja elimu ya...
  6. F

    Uwanja wa ndege unaojengwa Dodoma ni wa hovyo hauna hadhi ya kuwa wa Kimataifa. Je, ufikiri na maono(vision) ya viongozi wetu una walakini?

    Nimesoma kuwa uwanja wa ndege wa kimataifa utagharimu dola za kimarekani 272 Millioni. Details zinaonyesha kuwa uwanja utakuwa na uwezo wa kupitisha watu Milioni moja tu kwa mwaka (1,000,000 passengers). Hicho kiasi cha abiria kwa mwaka ni kidogo sana kulingana na gharama za pesa hizo. Dodoma...
  7. Ole

    Msalato International Airport

    Africa's ambitious infrastructure: Tanzania secures $272m for new airport ''Several African countries, and the African Union itself have prioritised infrastructure development as a means of integrating the continent and connecting people to markets, with an objective of lifting millions out of...
  8. kavulata

    Tumeshahamia Dodoma lakini...

    Wazo la taifa kuhamishia shughuli zake Dodoma ni la siku nyingi tangu serikali ya awamu ya kwanza. Sababu kubwa ya kuhamia tuliyoelezwa ni kuwa Dodoma ni katikati ya nchi, hivyo Watanzania wengi ingewawia rahisi kufika Dodoma na kuhudumiwa kwa haraka. Wakati wazo hili linatolewa miaka hiyo...
  9. Fiziolojia

    Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

    Kuna habari zinazosemekana kuwa mzee Makamba na Abdulrahman Kinana (makatibu wakuu wa zamani CCM) wanaweza kuhojiwa na kamati ya maadili CCM leo hii jumatatu ya tarehe 10 February, 2020. Hii ni baada ya wazee hao wakongwe wa chama hicho kuwachomesha mahindi wajumbe wa kamati ya maadili kwa siku...
  10. Suley2019

    Dodoma: Waziri Mkuu asema Mikoa 18 imeathiriwa na mvua

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, mbali na kusababisha vifo, imeathiri barabara 73 na madaraja kwenye mikoa 18 nchini. Picha: Baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mvua nchini. Amesema reli ya Tanga hadi Arusha, na Dar es Salaam hadi...
  11. Bonde la Baraka

    Ofisi zimehamishiwa Dodoma pamoja na watumishi ila Mawaziri na Wakuu wa taasisi wapo Dar es Salaam

    Hapa siwashitaki mawaziri na wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali kwa Rais Magufuli, maana yeye mwenyewe yupo kote kote. Ukweli ni kwamba Dodoma wapo watumishi na maafisa wa kawaida tu, wakuu zao huenda Dodoma kuchungulia na kufanya kazi zenye ulazima wa kufanyia huko tu. Kila wiki tupo nao...
  12. beth

    Miundombinu mibovu yakwamisha magari 100 barabara ya Dodoma - Iringa

    Magari zaidi ya 100 yamekwama katika eneo la Mpunguzi jijini Dodoma nchini Tanzania kwa zaidi ya saa nane baada ya magari matatu ya mizigo kunasa kwenye tope kutokana miundombinu mibovu ya barabara iliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne Februari 4...
  13. beth

    Dodoma: Serikali kuanzisha kiwanda cha mafuta ya bangi

    Serikali imesema tayari imepata wawekezaji wawili ambao wanataka kuwekeza nchini kiwanda cha kuchakata mafuta ya bangi yanayotumika kwa matibabu. Hayo yalielezwa jana bungeni Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angella Kairuki wakati wabunge wakichangia mijadala ya...
  14. Kinyungu

    Serikali ipi imehamia Dodoma?

    Kila siku mambo muhimu ya kiserikali yanafanyika Dar es Salaam, lakini tumeambiwa na kutangaziwa kuwa serikali na bwana mkubwa Rais wamehamia rasmi Dodoma. Mawaziri wanaapishiwa Dar Mabalozi wanaapishiwa Dar Mabalozi wa kigeni wanawasilisha hati zao za viapo Dar Rais muda wote yupo Dar...
  15. sabuwanka

    Heko Rais Magufuli kuhamishia Serikali Makao Makuu Dodoma

    Kwa takribani wiki nzima nilikuwa makao makuu Dodoma kwa shughuli binafsi , nimebahatika kutembelea mji wa Serikali, Nzuguni, Ihumwa , Stendi Mpya, Udom, Mipango, Mbwanga nk. Nimegundua kasi ya ujenzi wa miundo mbinu ni kubwa kuliko awali na kuna ongezeko kubwa la watu ambao wanajenga nyumba...
  16. U

    Ona CRDB Dodoma aibu, teller wapo 8 halafu watatu tu ndio wanatoa hudumu kwingine kutupu

    Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller. Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/ que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa. Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu...
  17. Mwanahabari Huru

    Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

    Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo. --+ MWANAFUNZI MUYAGA TUNGU ANAYEDHANIWA KUPIGA PICHA ZA KUONYESHA TATIZO LA MAJI UDOM MIKONONI MWA POLISI...
  18. Luqman mohamedy

    Hivi Makao Makuu ya nchi ni Chato au Dodoma? Mzee anatuchanganya

    Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato. Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii. Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato? Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu. Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo...
  19. 0

    Nauza kiwanja Dodoma Nala-Lugala

    Kiwanja kimepimwa..ni kwaajili ya shule (nursery) kina ukubwa wa square meter 2786. Bei ni 6000@square meter 1 (maongezi yapo) kwa yoyote alokua interested anicheki watsap no 0755322896
  20. beth

    Dodoma: Mabasi yapigwa marufuku kuruhusu abiria kujisaidia ovyo

    Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepiga marufuku mabasi ya abiria kuruhusu abiria kuchimba dawa (kujisaidia) kwenye maeneo yasiyo rasmi, na kwamba endapo wakibainika watapigwa faini ya Sh. 200,000 au kifungo cha miezi sita jela. Sambamba na hilo, imeagiza mabasi hayo kupuliziwa dawa za kuua...
Back
Top Bottom