Duu chadema nao wachukue jkt walioko mtaani waunde jeshi lao la itikadi ya kazi zao na act wachukue mgamboHapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za chadema ambao wanakikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020View attachment 1501631
Bendela ni kitu gani? Au unamaanisha bendera?Hapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za chadema ambao wanakikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020View attachment 1501631
Hapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za chadema ambao wanakikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020View attachment 1501631
Hii ndo tz nchi yenye udongo wa dhambiHapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za chadema ambao wanakikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020View attachment 1501631
Umedanganywa kibwege sana !ccm inajua kuwapoteza maboya sana,sasa mada zitakuwa hizi rasmi.
Mimi nakubali,sababu najua mlengwa ni nani sio mimi.Umedanganywa kibwege sana !
Tumbo likamyonga akafa uku anajikunaHerode Agripa alisifiwa sana na watu kufikia hatua ya kmfananisha na mungu licha ya matendo yake ya kinyama na unyanyasaji. Unajua kilichotokea?
Matendo 12:21-23
CCM wana woga mkubwa kwa CHADEMA.Hapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za CHADEMA ambao wana kikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020
Hili siyo jeshi tena ni shina la CCMHapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za CHADEMA ambao wana kikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020
Mama angu aliapa kabisa kwamba siku nikiingia jeshi la polisi nitafute na mama yangu mwingine maana ana amini ni kazi ya laanaSitatamani mwanangu afanye kazi ya polisi.Ni kazi ya kisisiemu na ni kazi ya kudharaulika sana ktk jamii, hata ukiwa msomi ndani ya mavazi ya polisi unaonekana mwanafunzi wa awali.
#Newactivist Kilwa94
Kwa nini barabarani wasiweke? Kuna mtu ana hati miliki ya nchi hii? Vijana wa kitanzania acheni ubumunda!Mngeenda kuweka pale ufipa wakaja kutoa apo Sawa ila Bara Baran achen lawama Bana
Wkazane tu kuhujumu shughuli za upinzani. Hii ni dalili nzuri ya: "Freedom is coming tomorrow."Hapa makada watiifu wa CCM Same wakishusha bendela za CHADEMA ambao wana kikao cha ndani kuelekea uchaguzi mkuu 2020