Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Walezi wetu kiroho wametueleza nn leo makanisani?
Huku Kagera mafundisho yamejikita kwenye Mambo makuu manne;
1. Tuombe toba kwa Taifa letu
2. Tusameane
3. Tujifunze kuwasikiliza walio na mawazo tofauti na sisi
4. Tumuenzi kristo kwa kupendana
..huko ulipo Mambo ya rohoni yaliendeshwa vipi.......
Huku Kagera mafundisho yamejikita kwenye Mambo makuu manne;
1. Tuombe toba kwa Taifa letu
2. Tusameane
3. Tujifunze kuwasikiliza walio na mawazo tofauti na sisi
4. Tumuenzi kristo kwa kupendana
..huko ulipo Mambo ya rohoni yaliendeshwa vipi.......