Nimeona clip ya Maalim Seif akianza ziara Pemba. Nimemuangalia usoni nimeusilikiza ujumbe wake na kwa yote anataka umoja wa Wazanzibari.
Lakini, nakumbuka wakati wa kampeni tulionyeshwa jopo la viongozi wa dini wakimtembelea Seif Sharif Hamad lakini pia hatukuonyeshwa jopo hilo likimtembelea mgombea wa CCM.
Naamini kuna ujumbe ambao Seif alipelekewa, naamini ulikuwa ujumbe mzito.
Siasa ni ngumu
Lakini, nakumbuka wakati wa kampeni tulionyeshwa jopo la viongozi wa dini wakimtembelea Seif Sharif Hamad lakini pia hatukuonyeshwa jopo hilo likimtembelea mgombea wa CCM.
Naamini kuna ujumbe ambao Seif alipelekewa, naamini ulikuwa ujumbe mzito.
Siasa ni ngumu