dini

  1. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa dini msipende kusikiliza makutano, mkisikiliza makutano mtaishia kumsulubisha Yesu kama Ponsio Pilato alivyofanya. Msikilizeni Mungu

    Baadhi ya viongozi wa dini wameanza kujitumbukiza kwenye kusikiliza makutano wanasema nini yaani watu wengi wanasema nini ili kutafuta sifa kwa makutano.Hii kitu imepelekea wao kutelekeza wito wa Mungu walioitiwa kwenye kazi zao za kichungaji na kiaskofu nk Ponsio Pilato alikuwa msomi na...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21

    THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA OFFICE OF THE VICE CHANCELLOR P.O. Box 23409 Tel: 255-22-2668992/2668445 Dar es Salaam, Tanzania Fax: 255-22-2668759 http://www.out.ac.tz E-mail: vc@out.ac.tz WARAKA WA TAHADHARI YA MAAMBUKIZI YA COVID 19 NA 21 8 Februari 2021, Dar es Salaam, Ndugu...
  3. Mnyatiaji

    JamiiForums Tanzania Je, ilikuwa mpango wa Mungu Afrika kutawaliwa ili tupate Injili au kujua dini?

    Nimekuwa nikijiuliza hilo swali apo juu mara kadhaa kama tusingetawaliwa kuanzia waarabu mpka mkoloni mzungu inamaanisha hizi dini zisingekuepo.Je,hayo yalitokea kama mapenzi ya Mungu?
  4. BAK

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa dini anayemshauri...

    ANASHANGAA MHESHIMIWA LISSU KUSHAURIWA NA ASKOFU KWA KUWA HAMJUI ASKOFU ANAYEMSHAURI RAIS MAGUFULI! Ukiongea na Askofu Mwamakula uwe makini sana kwa sababu anatunza kumbukumbu vizuri. Hebu fuatilia mazungumzo yake na mmoja wa viongozi wa dini siku kadhaa zilizopita. Kiongozi wa Dini: Nimesikia...
  5. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye Corona Tanzania viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu, wanaamini sayansi

    Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania. Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie. Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa...
  6. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini tunawabadilisha watoto wetu majina asilia baada ya ubatizo au kubadili dini?

    Wasalaam, Hivi kwanini mtoto alizaliwa anaitwa Mkwavinyika lakini baada ya kufanyiwa ubatizo anaanza kuitwa Paulo. Au mtu alizaliwa anaitwa Mushaija lakini baada ya kutaka kumuoa Maiumuna anasilimu na kuanza kuitwa Juma. Sasa nataka kufahamu haya yote yanatokana na nini: Je, majina yetu asilia...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif Sharif ungewasikiliza viongozi wa dini!

    Nimeona clip ya Maalim Seif akianza ziara Pemba. Nimemuangalia usoni nimeusilikiza ujumbe wake na kwa yote anataka umoja wa Wazanzibari. Lakini, nakumbuka wakati wa kampeni tulionyeshwa jopo la viongozi wa dini wakimtembelea Seif Sharif Hamad lakini pia hatukuonyeshwa jopo hilo likimtembelea...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Tujuzane mbinu mbalimbali wanazotumia baadhi ya viongozi wa dini wasio waaminifu kulaghai ili kujipatia "unyumba"

    Matukio mengi yamekuwa yakisemwa yakiwahusisha viongozi wa dini kuwaingilia wanawake na hata wanaume! Yamkini mama zetu, Dada zetu na hata wake zetu hawa huwa hawachukulii maanani kwakuwa wanakuwa kiroho zaidi kwa kuwaamini watumishi; lakini yanapowatokea wanaumia na kutunza siri ili kuepuka...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Ingeundwa Wizara ya Dini ambayo ingesimamia mahusiano ya dini na siasa

    Katika baadhi ya nchi kuna Wizara ya dini ambayo inaratibu mambo yote ya dini yanayohusiana moja kwa moja na siasa. Viongozi wa dini wanaopendelea siasa kama akina askofu Bagonza, askofu Mwamakula, Shehe alhad Salum, askofu Gwajima nk nk hiyo ndio inakuwa forum yao ya kuongelea badala ya...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa dini usihubiri amani ya kisiasa bali hubiri amani ya Mungu

    Ndugu zangu kuna tofauti kubwa kati ya amani ya kisiasa na amani ya Mungu. Amani ya kisiasa inapatikana kwa kufuata sheria zilizomo ndani ya katiba ya nchi. Wakati Amani ya Mungu inapatikana kwa kutii sheria za Mungu na kuyafuata na kuyatii maandiko ya Neno la Mungu. Amani ya Mungu...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa viongozi wa dini siku ya Chrismass!

    Walezi wetu kiroho wametueleza nn leo makanisani? Huku Kagera mafundisho yamejikita kwenye Mambo makuu manne; 1. Tuombe toba kwa Taifa letu 2. Tusameane 3. Tujifunze kuwasikiliza walio na mawazo tofauti na sisi 4. Tumuenzi kristo kwa kupendana ..huko ulipo Mambo ya rohoni yaliendeshwa...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Unyonyaji na utapeli wa madhehebu ya dini

    UNYONYAJI NA UTAPELI WA MADHEHEBU YA DINI. Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Angalizo; Makala hii inaweza isimfae kila mtu, hasa wale watu waliofunga fikra zao. Ikiwa wewe ni mmoja wao watu hao, tafadhali usisome jumbe hii. Lau kama unahitaji ukombozi wa Kifikra, uwanja ni wako. Kila mmoja ana...
  13. Leak

    JamiiForums Tanzania Ugomvi wa WCB na media, Wakazi amtaka Babu Tale kutotumia dini kuficha maovu yake. Aahidi kumuanika asipo sema ukweli

    Wasalaam, Wakazi amemtaka Babu Tale kusema ukweli kuhusu ugomvi wa Diamond na baadhi ya media kuliko kujificha nyuma ya dini . Namnukuu wakazi kupitia ukurasa wake wa instagram "Ndugu @babutale kama umeamua kufunguka kuhusu machafu yanayotokea nyuma ya pazia kwenye tasnia, BASI FUNGUKA... Ila...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

    Hii sasa ni kali. Awali Naibu waziri wa fedha ilibidi arudie kula kiapo zaidi ya mara 5 kwa sababu sehemu iliyoandikwa "Baraza la Mawaziri" yeye alitamka " Baraza la Mapinduzi" Kali ya mwaka ni huyu Naibu waziri wa madini Francis Ndulane ambaye amekuwa akisoma kiapo huku akitetemeka na hivyo...
  15. BAK

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula: Viongozi wa dini ndani ya TBC

    VIONGOZI WA DINI WATUMIA TBC KUTOA MAONI YAO KUMSIFIA RAIS MAGUFULI. Tarehe 9 Desemba 2020 majira ya Saa 9 asubuhi. Nipo katika runinga nikitazama na kuangalia kipindi maalum katika TBC. Kuna viongozi wawili wa dini, Askofu Sylivester Gamanywa wa WAPO Mission International na Sheikh Swed Twaib...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Matsai: Watanzania tunatambuana kwa Utanzania wetu na siyo Dini zetu, serikali ijenge fly over Jangwani!

    Mchungaji Matsai wa Kanisa la KKKT Kimara amewataka watanzania waendelee kuwa wamoja kwani nchi yetu haina dini ila watu wake ndio wana dini. Matsai amesema hayo mbele ya Waziri wa uwekezaji Prof Kitila Mkumbo na Naibu Spika Dr Tulia Ackson aliyeshiriki ibada Kanisani hapo. Kadhalika mchungaji...
  17. D

    JamiiForums Tanzania Uwaziri siyo jinsia; haiwezekani kisa Jinsia tuwe na Mawaziri wabovu. Ili tusonge mbele tunataka viongozi makini bila kujali dini wala jinsia

    Nazidi kuwasihi Watanzania wenzangu! Hoja zingine za kipuuzi tuziepuke! Ajenda ya 50 kwa 50 Pasipo uwezo binafsi haina maana! Inchi inahitaji maendeleo, Tunaelekea kwenye kasi ya kufanya kazi usiku na mchana Wanaume wenye uwezo mkubwa wapo wengi mlitaka waachwe ili wakateuliwe wanawake kisa...
  18. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania; Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huku? Ni kupitia biashara pekee ama kuna njia nyingine za ziada zilitumika? Orodha ifuatayo ni baadhi tu...
  19. Superbug

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Dini hususan Kanisa Katoliki, Je, nikifoji cheti cha ndoa na mkajua nimefoji mtanipa adhabu gani?

    Kanisa Katoliki Tanzania naomba mnijibu. Nikifoji cheti cha ndoa au Kipaimara au Komunio au Ubatizo japo nilikuwa Mtoto (kwa ubatizo) na mkajua kabisa nimefoji, Je, adhabu yangu ni ipi? Je, nitakaribishwa Kukomunika ? Au na mathalani niwe na cheo labda Mbunge au Mkuu wa Mkoa. Je, dhambi yangu...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Unganeni kukikataa kikundi hiki kabla hakijakomaa zaidi ya hapa na kuwa kikundi cha hatari zaidi

    Huu sasa ndio muelekeo kwenye Taifa moja katika Bara fulani ambako kuna chama fulani cha siasa sasa kimebaki chama siasa jina tu, ila kiuhalisia chama hicho kimegeuka kikundi cha watu wachache kilichokamata serikali (dola) katika nchi hiyo, na kinaweza fanya lolote pasipo hofu utadhani nchi hiyo...
Back
Top Bottom