Kungekuwa hakuna dini, binadamu walio wengi wangewehuka

Kungekuwa hakuna dini, binadamu walio wengi wangewehuka

Miguel Felix Gallardo

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
2,449
Reaction score
4,478
Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu.

Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo yao yatatimizwa kama wanavotamani.

Maisha hayapo fair ila kwakua imani inanguvu kuliko LOGIC hawa GREAT ELITES waliamua kucheza na saikolojia ya mwanadamu kwa kuanzisha DINI na wakaigawanya gawanya ili Ukifeli kuwa huku, utaangukia kule, na ukifeli kule, utaangukia kwingine. All in all, kila mtu awe na sehemu ya kumpa faraja. Maana maisha ya dunia bila faraja, wengi wangekata ringi na nati zingekuwa loose balaa😀

Ila kiuhalisia hakuna kitu kama DINI.Yaani viongozi wote na ELITES wote dini kwao ni tool ya kufikia mipango yao.
 
Una uhakika hivi tulivyo bado hatujawehuka?
Kuna unafuu angalau.

Imagine watu wangekuwa wanafanya kazi J3 mpaka J2.Ok lets say hata wakiishia ijumaa. Bila dini kuwepo kungekuwa vurugumai balaa.Wengi kwenda kanisani au msikitini kunapunguza stress kuanzia mwanzo tu wa maandazili.

Yaani mtu anavyopasi nguo tena anachagua zile classic kwenye wardrobe yake.Hii ni psychologic relief mchakato unaendelea mpaka anapofika huko anapayuka,wengine wanacheza all they hope what they are doing is wat God wants, wengine wanatoa hela zao yote hii ni kutafuta unafuu wa hisia flani zinazowatatiza.

Sasa ukifatilia wale wasioenda huku na hawafanyi vitu kama kwenda club au bar kurelax.Hawa wengi huwa wanachizi.Yaani at some point binadamu lazima utafute kitu cha kukiegemezea madhaifu yako( kwa watu wa dini wao wamemchagua shetani😄) na utafute kingine cha kujustify mazuri au yanayoenda vizuri( kwa watu wa dini wamechagua mungu).
 
Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu.

Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo yao yatatimizwa kama wanavotamani.

Maisha hayapo fair ila kwakua imani inanguvu kuliko LOGIC hawa GREAT ELITES waliamua kucheza na saikolojia ya mwanadamu kwa kuanzisha DINI na wakaigawanya gawanya ili UKIFELI KUWA HUKU UTAANGUKIA KULE NA UKIFELI KULE UTAANGULE KWINGINE.ALL IN ALL KILA MTU AWE NA SEHEMU YA KUMPA FARAJA.MAANA MAISHA YA DUNIA BILA FARAJA WENGI WANGEKATA RINGI NA NATI ZINGEKUWA LOOSE BALAA😀

Ila kiuhalisia hakuna kitu kama DINI.Yaani viongozi wote na ELITES wote dini kwao ni tool ya kufikia mipango yao.

Maskini wa akili na fikra watajazana kuja kuniattack.Dear zombies i welcome you all,tukutane kwenye comment👇
Bangi ingekuwa na wateja sana dini isingekuwepo. Unavuta mibange yako unapata faraja..
 
Ila dini sio empty words aisee, kuna watu walishakata tamaa imani kupitia dini ikawapa uvumilivu na sasa hivi wanatoa ushuhuda tu.
Ndio maana nakwambia dini ni means ya kumneutralize binadamu asiwe soo WILD.

Hao walipitia mikwamo flani na wakafall kwenye dini.Hiyo imesaidia KUNUMB hizo pain zao.

Kikubwa kabisa dini inachofanya ni KUSELL HOPE, HATA HUKU AFRICA,ASIA NA SOUTH AMERICA POST COLONIALISM AND SLAVE TRADE DINI ILIONEKANA KAMA A MAJOR PSYCHOLOGIAL SEDATIVE AND TOOL TO NUMB PAIN KUTOKA KWA JAMII ZILIZO ATHIRIWA NA SLAVE TRADE AND COLONIALISM.
 
Hili suala sio jepesi hivyo. Binadamu amekuwa na imani tokea enzi zile alipokuwa akiishi mapangoni.

Kilichotokea ni kwamba zile imani zilipitia mageuzi. Tulianza kwenye mizimu, tukaja kwenye dini za miungu mingi, sasa tupo kwenye dini za mungu mmoja. Pia kadri jamii zetu zilivyozidi kuwa kubwa, tuliunda dini za kitaasisi ili kuwafikia watu vizuri.

Binadamu ana akili kubwa na huu ni mzigo kwake. Kuna mengi asiyoyaelewa, yanamshangaza na kumuogopesha. Hivyo siku zote anahitaji kuamini kwenye jambo kubwa zaidi yake.
 
Ndio maana nakwambia dini ni means ya kumneutralize binadamu asiwe soo WILD.

Hao walipitia mikwamo flani na wakafall kwenye dini.Hiyo imesaidia KUNUMB hizo pain zao.

Kikubwa kabisa dini inachofanya ni KUSELL HOPE, HATA HUKU AFRICA,ASIA NA SOUTH AMERICA POST COLONIALISM AND SLAVE TRADE DINI ILIONEKANA KAMA A MAJOR PSYCHOLOGIAL SEDATIVE AND TOOL TO NUMB PAIN KUTOKA KWA JAMII ZILIZO ATHIRIWA NA SLAVE TRADE AND COLONIALISM.
Yes, na Hope kwa mtu asiye na hope ina thamani ya juu sana. It worth it.

Kuna Matajiri wamelipa mamilioni wawe freezed just wakihope huko mbeleni itakuja tech ya kuwa unfreez. HOPE imewafanya wakakubali kufa kwa kugandishwa.
 
Jamii zenye kiwango duni cha dini kwa sasa ndizo jamii bora zenye haki, maendeleo na ustaarabu zaidi kuliko jamii zenye kiwango kikubwa cha dini. Mfano China, Japan, Ulaya hasa nchi za Scandinavia,

Nchi zenye kiwango kikubwa zaidi cha dini kama za Africa mfano Nigeria, Africa Kusini, Tanzania na za Asia mfano Pakistan ndizo zina kiwango kikubwa zaidi cha Watu waliowehuka.
 
Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu.

Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo yao yatatimizwa kama wanavotamani.

Maisha hayapo fair ila kwakua imani inanguvu kuliko LOGIC hawa GREAT ELITES waliamua kucheza na saikolojia ya mwanadamu kwa kuanzisha DINI na wakaigawanya gawanya ili UKIFELI KUWA HUKU UTAANGUKIA KULE NA UKIFELI KULE UTAANGUKIA KWINGINE.ALL IN ALL KILA MTU AWE NA SEHEMU YA KUMPA FARAJA.MAANA MAISHA YA DUNIA BILA FARAJA WENGI WANGEKATA RINGI NA NATI ZINGEKUWA LOOSE BALAA😀

Ila kiuhalisia hakuna kitu kama DINI.Yaani viongozi wote na ELITES wote dini kwao ni tool ya kufikia mipango yao.
Kama huamini dini ina maana huamini chanzo chako?Tuambei sasa wewe je binadamu na viumbe vyote asili yake ni nini?je vimetokea tu pasipo kuwa na chanzo chake?
 
Jamii zenye kiwango duni cha dini kwa sasa ndizo jamii bora zenye haki, maendeleo na ustaarabu zaidi kuliko jamii zenye kiwango kikubwa cha dini. Mfano China, Japan, Ulaya hasa nchi za Scandinavia,
Bado natafiti hawa macho madogo na ulaya wanawezaje kustahimili stress za kimaisha bila kuwa na wakumuangushia lawama( Shetani)😄
 
Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu.

Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo yao yatatimizwa kama wanavotamani.

Maisha hayapo fair ila kwakua imani inanguvu kuliko LOGIC hawa GREAT ELITES waliamua kucheza na saikolojia ya mwanadamu kwa kuanzisha DINI na wakaigawanya gawanya ili UKIFELI KUWA HUKU UTAANGUKIA KULE NA UKIFELI KULE UTAANGUKIA KWINGINE.ALL IN ALL KILA MTU AWE NA SEHEMU YA KUMPA FARAJA.MAANA MAISHA YA DUNIA BILA FARAJA WENGI WANGEKATA RINGI NA NATI ZINGEKUWA LOOSE BALAA😀

Ila kiuhalisia hakuna kitu kama DINI.Yaani viongozi wote na ELITES wote dini kwao ni tool ya kufikia mipango yao.
naandika ukiwa wapi? mewahi kutembelea nchi nyingine kama China, Ulaya na Japan? Kama bado siku ukipata uwezo nenda ndiyo utajua ijumaa, jumamosi na jumapili ni siku za aina gani kidini.
 
Back
Top Bottom