digital

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums kushiriki mjadala wa “ICT for Promoting Digital Security and Data Privacy”, leo Novemba 8, 2023

    Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa' Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
  2. Roving Journalist

    Wiki ya AZAKI: Kodi kubwa ni kikwazo katika maendeleo ya Dijitali

    Topic: Masterclass: Business and Human Rights in Digital Era. Speakers: Jovina Mchunguzi, Godfrey Munisa and Maxence Melo (JamiiForums) JamiiForums inashiriki katika CSO week inayofanyika Arusha ambayo inatarajiwa kuisha leo, Oktoba 27, 2023. Siku ya leo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums...
  3. Roving Journalist

    Tanzania Digital Rights Coalition: Official Statement Against Restriction of VPN Use In Tanzania

    The Tanzania Digital Rights Coalition, a united front of organizations committed to upholding and promoting digital rights, unequivocally condemns the recent statement issued on Friday, 13 October 2023 by the Tanzanian Communication Regulatory Authority (TCRA) restricting the use of Virtual...
  4. Suley2019

    EAC-EU develop joint roadmap to foster digital transformation in East Africa

    The East African Community (EAC) and the European Union (EU) have today kicked off the 1st EU-EAC Regional Conference on Digital Transformation in the East African Community, in Arusha, Tanzania. Both sides committed and agreed to foster a human-centric digital transformation in East Africa to...
  5. Mkurugenzi Wa Mashirika

    Ujio wa kozi ya Digital Chemistry

    Digital chemistry, au kemia ya kidijitali, inahusu matumizi ya teknolojia ya digitali kuchunguza na kuelewa mifumo ya kikemia. Hii inaweza kujumuisha utumiaji wa programu za kompyuta, algorithms, na teknolojia zingine za digitali kusaidia katika uchambuzi wa kimatibabu, maendeleo ya dawa, na...
  6. R

    Anayejua inakouzwa mizani midogo ya digital (Bathroom scales) Sehemu za Kariakoo

    Wakuu naomba msaada wenu. Natafuta mzani mdogo wa battery wa kupima uzito kwa ajili ya mgogwa kwa jina la kibiashara inaitwa bathroom scale. Tafadhali nisaidie kunijulisha ni maduka yapo ya nauza hizo bidhaa hapa Kariakoo au hapa Dar es Salaam.
  7. Jamii Opportunities

    Digital Inclusion Expert at Universal Postal Union September, 2023

    Position: Digital Inclusion Expert Grade: P2 Type of Contract: Fixed-term (Non-Core) Appointment Duration: Until 31 December 2025 Organizational Unit: Policy, Regulation and Markets Directorate (DPRM) Digital and Trade Policy Duty Station: Bern Switzerland Schedule date for taking up...
  8. Jamii Opportunities

    Knowledge Management, Communications, and Digital Learning Specialist at Chemonics International

    Position: Knowledge Management, Communications, and Digital Learning Specialist Responsibilities include: • Implementing the project communications strategy, ensuring production of quality of project communications and marketing media, and providing editorial assistance and quality control...
  9. Jamii Opportunities

    Digital Implementation and Support Officer at Exim Bank Tanzania

    Position: Digital Implementation and Support Officer Reporting to: Assistant Manager – Digital Product Design and Support Department: Information Technology and Digital Transformation Region: Dar es Salaam Hours of Work: 8am – 5pm Monday to Friday. 8am – 1pm Saturdays. Additional hours as...
  10. M

    Matangazo mengi ya TPA kwenye digital platforms ni ya nini?

    Kalibia mwezi mzima sasa naona matangazo mengi ya TPA kwenye digital platforms hasa hasa Google Ads(Youtube, search engine, e.t.c). Nashindwa kuelewa, haya matangazo ni ya nini? Na mbona hatujawahi ona matangazo yenu kipindi cha nyuma? Hata kama tunaitaji mwekezaji. Huyu DP World hawezi kuwa...
  11. J

    Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (namba ya kipekee) kufikia uchumi wa kidigitali

    Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (unique number) kwa ajili ya utoaji wa huduma nchini katika ujenzi wa mfumo wa utambulisho wa kidigitali kufikia uchumi wa kidijitali Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
  12. Tanzanite Digital Agency

    Jinsi Ya Kuanza Digital Marketing 2023, Anza Leo Fursa Hii Ya Mtandaoni

    Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
  13. olimpio

    Rais Mwinyi aongoza kikao cha jumuiya ya madola kinafanyika zanzibar kuhusu mageuzi ya kidigitali

    Kuanzia jana na leo , kuna kikao kikubwa sana kinachofanyikia Zanzibar ,kilichoratibiwa na wizara ya TEHAMA chini ya waziri Nape Nnauye Pamoja na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar. Jumuia ya madola inafanyia kikao hicho kwa mara ya kwanza nchini Tanzania , haya yakiwa matunda ya jitihada za...
  14. KJ07

    Zifahamu digital footprints (nyayo za kidigitali)

    Salaam wakuu, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale katika hali ya kuhakikisha kinapatikana chochote kitu. Turudi kwenye mada, Umeshawahi kudukuliwa au kusikia mtu amedukuliwa kimtandao? Miongoni mwa sababu zinazoweza kuchangia kuhatarisha usalama wako wa kimtandao ni nyayo zako katika...
  15. Mathanzua

    Central Bank Digital Currency (CBDC) is the endgame. But do you know the implications to humanity? Read more here

    “Let me issue and control a nation’s money and I care not who writes the laws.” - Mayer Amschel Rothschild Central Bank Digital Currency (CBDC) will end human freedom. Don’t fall for the assurances of safeguards, the promises of anonymity and of data protection. They are all deceptions and...
  16. chiembe

    Baada ya startv kusimamisha watangazani wake, hivi hao waandishi wameshindwa kuja na digital platform yao kama Millard?

    Nadhani hawa waandishi wakiji-organise, wanaweza kuunda online TV nzuri tu, wasikariri kuajiriwa, tena wametapakaa nchi nzima, na Wana connection ya vyanzo vya habari
  17. Brightburn

    Ibu Digital: Natoa huduma zifuatazo kidijitali!

    Habari zenu waheshimiwa! Natangaza huduma zangu zifuatazo; NB: Sina ofisi, kwasasa natoa huduma kidijitali. Ila kwa waliopo DSM wanaweza kuonana na mimi (ikiwa watahitaji) Kimara Temboni maana ndio makazi yangu. Huduma zangu; Natengeneza PDF ya document yoyote, iwe kitabu, cheti, cv...
  18. Mathanzua

    And So It Begins: Digital Currency Becomes a reality in our lifetime.

    In mid-November, while the whole world was focused on the Ukraine crisis, the US midterms or whatever other “big story” the media decided was more important, a truly momentous shift took place in the global financial system. It might seem like a small step on the surface, but it has the...
  19. NetMaster

    kwenye laptop ni kiwango kipi cha audio kinatosha kwenye kuangalia movie kati ya 768 kpbs, 320 kbps, 128 kbps au 64 kbps ?

    kwenye audio kuna option ta 32 kbps, 64 kbps, 128 kbps, 320 kbps na hii DD+ atmos 768 kbps. Nimevutiwa na namba kubwa, laptops zetu hizi za kawaida kuna haja ya kushusha huo mzigo wenye 768 kbps ??
  20. N

    AIBU: Digital Manager wa Yanga adanganya Mayele kuitwa Mfalme wa Dhahabu na Canal Sports

    Naam, ni mwendo wa ma uongo na ma propaganda kwa kwenda mbele toka utopoloni, lakini kwa kudra za Mungu tumejipanga kuwaumbua wasambaza propaganda za uongo, may God help us! Ona huyu afisa wa UTO SC anadanganya mchana kweupe hadhar.ani, shame on you Mangi Shayo
Back
Top Bottom