Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu.
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu.
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe