Mbeya: CHADEMA Digital yatikisa, Wazee kwa Vijana wamiminika kujisajili

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,366
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)

Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu.

Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe

Screenshot_2023-12-13-22-34-32-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-34-22-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-34-12-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-34-01-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-33-51-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-33-40-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-33-30-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-33-20-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-33-07-1.png
Screenshot_2023-12-13-22-32-43-1.png
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)

Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .

Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe

View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
We jamaa na Lucas mwashambwa ni kama pipa na mfuniko
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)

Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .

Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe

View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)

Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .

Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe

View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Wakati wao wanaficha a mafichoni ngoja sisi tuendelee na kazi ya Ukombozi kimya kimya
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)

Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .

Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe

View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
viongozi wote wa Chadema ni form failure wote kuanzia yule Dj mpaka yule mwizi wa magari
 
Kunifananisha na huyo chawa ni kunidhalilisha , uliwahi kuona uzi wa Mwashambwa ulioambatanishwa na ushahidi wa picha ?

Mtu wa juzi chawa mnamfananishaje na mimi wa Zamani , nitukaneni matusi mengine jamani siyo hayo
Vikorombwezo vyenu..........dabo impakti vandame
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)

Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .

Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe

View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Computer zachemka!!!! Kila kitu nyie ni deal tu!!!

Mwenyekiti anajenga magorofa kwa Ruzuku lakini kwenye vifaa vya kazinanunua computer za mitumba!!

Ila wachaga aisee
 
Back
Top Bottom